Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Ila amewafikishia mabeberu ujumbe murua kabisa bila kupepesa macho.. ni bora wapunguze riba kama sio kuwasamehe madeni yanayoelemea nchi za ki Afrika kuliko kuendelea kuwakopesha kwa riba kubwa wakati uwezo wao wa kupambana na majanga makubwa ni mdogo sana, huo ndio ukweli na msaada wa kweli lakini biashara za kukopeshwa na riba juu Ndio wazungu wamegeuza kama ni misaada wanatupa kumbe ni mikopo.
 
Moja ya masharti ilikuwa 'devaluation'', kusimamisha ajira (hiring freeze), Gov. restructuring etc.
Hakuna namna ila kukubaliana nao kama walivyokubali masharti ya watoto wa kike. Hao ndio wenye dunia

Hili la ' no lock-down kwaa Dar na Tanzania ' halihitaji nguvu wala misuli, litakuja lenyewe tu bila kupenda

Spain na Italy walikuwa wakaidi yakawakuta. Borison wa UK alikuwa kaidi yakamkuta hadi aliporudia ICU

Kwa Tanzania hakuhitajiki Tangazo, lockdown itatokea naturally, subirini tu ni suala la wakati.

Kitu kimoja cha kukumbuka, hili ni balaa asitokee mtu akakudanganya, Ni balaa kubwa sana

..halafu nimeona kama vile bwana mkubwa anadhani uchumi ni muhimu kuliko uhai wa watu wetu.

..ametumia muda mrefu kuzungumzia habari ya kusamehewa madeni, kuliko kuelezea hatua na tahadhari za kujikinga na gonjwa hili.

..nimesikiliza hotuba yake na sina uhakika kama alilitaja shirika la afya duniani, WHO.

..ndiyo maana naona amelenga zaidi kwenye FEDHA [ WB] kuliko kwenye AFYA / UHAI [ WHO] wa watu wetu.

..lingine ambalo limenishangaza ni kutokuwepo kwa uwakilishi mkubwa wa wataalamu na mabingwa wa masuala ya AFYA na UTABIBU. Badala yake kulikuwa na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.

..sikuona kama bwana mkubwa ameupa uzito mchango wa madaktari, wauguzi, na watumishi wengine wa sekta ya afya
 
Mkuiu, tuwe waelewa kidogo.

Kwanza, raisi Magufuli ni raia namba moja na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania.

Kutokana na hivyo basi, afya yake katika kipindi hiki kigumu ni lazima iiangaliwe na kupewa uzito wake kama ambavyo viongozi mbalimbali kama Donald Trump na Boris Jonnson na wengine ambao wameangaliwa afya zao na sasa wanaendelea na shughuli.

Waziri mkuu wa UK Boris Johnson aliwekwa ICU na akatoka ndani ya siku saba tu ni hiyo ni kwasababu huyu ni mtu muhimu anaendesha serikali.

Raisi Magufuli yaonekana iliamuliwa apumzike kwa sababu ambazo serikali inazo za kiusalama zaidi.

Pili Raisi amesema wazi kwamba Dar hakuna lockdown kutokana na kwamba ni mji wa kibiashara.

Hiyo ni soft lockdown kwasababu sehemu zingine kama mashule, madrasa na chekechea kumefungwa na sehemu zingine mambo yanaendelea kama kawaida.

Pia ni soft lockdown kwasababu njia ya usafiri wa anga ni ndege za mizogo tu ndizo zinaruhusiwa kuruka na kutua lakini si abiria.

Mwisho, Tanzania haiwezi kuiga hizo lockdown za nchi zilizoendelea hatujafika huko, ila tunafuata miongozo yote ya WHO kama nchi mwanachama.
Mkuiu, tuwe waelewa kidogo.

Kwanza, raisi Magufuli ni raia namba moja na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania.

Kutokana na hivyo basi, afya yake katika kipindi hiki kigumu ni lazima iiangaliwe na kupewa uzito wake kama ambavyo viongozi mbalimbali kama Donald Trump na Boris Jonnson na wengine ambao wameangaliwa afya zao na sasa wanaendelea na shughuli.

Waziri mkuu wa UK Boris Johnson aliwekwa ICU na akatoka ndani ya siku saba tu ni hiyo ni kwasababu huyu ni mtu muhimu anaendesha serikali.

Raisi Magufuli yaonekana iliamuliwa apumzike kwa sababu ambazo serikali inazo za kiusalama zaidi.

Pili Raisi amesema wazi kwamba Dar hakuna lockdown kutokana na kwamba ni mji wa kibiashara.

Hiyo ni soft lockdown kwasababu sehemu zingine kama mashule, madrasa na chekechea kumefungwa na sehemu zingine mambo yanaendelea kama kawaida.

Pia ni soft lockdown kwasababu njia ya usafiri wa anga ni ndege za mizogo tu ndizo zinaruhusiwa kuruka na kutua lakini si abiria.

Mwisho, Tanzania haiwezi kuiga hizo lockdown za nchi zilizoendelea hatujafika huko, ila tunafuata miongozo yote ya WHO kama nchi mwanachama.

Mkuu mimi sio wa kuongopewa,usifananize viongozi na vitu vya kijinga, video hapo juu Boris Johnson one week kabla hajapta coronavirus, yeye hakuenda kujificha chato, alikuepo Town na watu wake,
Pili Boris Johnson alikuepo isolation for 10 days, hospital one week na hivi sasa yupo one month off for recovery.
Tatu Trump bado yupo White House anapambana hajapenda Trump Tower kujichimbia kama jamaa alivyokimbia magogoni.
Nne hakuna hata advise moja ya WHO inayofatwa, si social distancing, isolation, lockdown, tracing etc.
Tano unasema hatujafikia stage ya total lockdown, so what the point kama kila mtu amesha kuwa infected na wengi wameshakufa ndio muende lockdown, juzi Makonda alikuwa anauliza yupi kafa kwa corona?
Leo aulize tena!
 

Mkuu mimi sio wa kuongopewa,usifananize viongozi na vitu vya kijinga, video hapo juu Boris Johnson one week kabla hajapta coronavirus, yeye hakuenda kujificha chato, alikuepo Town na watu wake,
Pili Boris Johnson alikuepo isolation for 10 days, hospital one week na hivi sasa yupo one month off for recovery.
Tatu Trump bado yupo White House anapambana hajapenda Trump Tower kujichimbia kama jamaa alivyokimbia magogoni.
Nne hakuna hata advise moja ya WHO inayofatwa, si social distancing, isolation, lockdown, tracing etc.
Tano unasema hatujafikia stage ya total lockdown, so what the point kama kila mtu amesha kuwa infected na wengi wameshakufa ndio muende lockdown, juzi Makonda alikuwa anauliza yupi kafa kwa corona?
Leo aulize tena!


Mkuu, sifahamu shida ni nini lakini naona kama hatuzungumzi lugha moja.

Kama waona Boris Johnson ni haki kujichanganya halafu akaambukzwa COViD-19 kisha kulazwa
ICU.

Isitoshe, Boris Johnson alikiri pia kuwa kuna nyakati tofauti ugonjwa ulipoanza, alikuwa akitembelea mahospitali na kusalimiana na kwa kushikana mikono na watu walokuwa na dalili au symptoms na huenda pia aliambukizwa na watu hao.

Pia Boris Johnson aliendelea na vikao vya baraza la mawaziri kama kawaida na ndipo waziri mdogo wa afya Nadine Dorries alitangaza kuwa ana dalili za COVID -19.

Baada ya huyu dada ndio akafuata waziri mwenyewe wa afya Matt Hancock na baadae mshauri wa serikali Dominic Cummings na kisha mganga mkuu wa UK.

Sasa Boris Johnson asingepona kama alikuwa akikaa meza moja na watu wenye dalili za ugonjwa.

Sasa yupi yupo salama huyo anaejichanganya au anaezurura mitaani ili aambukizwe ugonjwa?

Donald Trump na makamu wake wote wamepimwa na hawajichanganyi na hata kwenye press conference wahudhuriaji wote wako cleared na symptoms.

Sasa sielewi point yako imekalia wapi!
 
"Hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko corona"..., au hofu juu ya tishio jingine lolote.

Manufaa ya 'Lockdown' popote Tanzania katika hatua hii iliyofikiwa na ugonjwa haipo tena. Kwa hiyo kinachowezekana, na kinachppaswa kuwekewa nguvu zaidi ni hizo njia za kinga, kuvaa barakoa, kuepuka mikusanyiko ya watu, kunawa, kutumia sanitizer, n.k., haya ndiyo yanayohitaji kuwekewa nguvu zaidi ili kuzuia kuendelea kusambaa kwa ugonjwa ndani ya jamii kwa kasi kubwa.

Haya yakifanyika kwa ufanisi na bila ya vitisho, Tanzania tutapata ahueni hata kama hatutaweza kuukomesha ugonjwa moja kwa moja.

Baada ya kuunga mkono aliyosema rais juu ya ugonjwa huo, napenda pia kuwakumbusha waTanzania juu ya mapana ya "Hofu kuwa ugonjwa mbaya" juu ya jambo lolote lile.

Inatubidi waTanzania tuachane na hofu wakati tunapofanya maamuzi mhimu yanayotuhusi sisi na maslahi ya nchi yetu nzima.

Tunapopata fursa ya kuwachagua viongozi wetu watakaotuongoza, tusisukumwe na hofu na kulazimika kupoteza haki yetu ya msingi ya kuwachagua viongozi bila ya shinikizo lolote na wala vitisho vyovyote.

Na akitokea kiongozi anayetaka kupora haki yetu hiyo kwa kutumia mabavu ya vyombo tulivyomkabidhi ili nchi yetu iwe salama, lakini yeye anavigeuza viwe ndio kinga yake na kuvitumia kutunyanyasa, inabidi pia tuachane na hofu na kukabiliana naye na kumkataa.

Tukifikia hatua hiyo, kwa hakika tutakuwa tumeyasikia na kuyaheshimu maneno ya busara aliyotuambia kiongozi wetu juu ya ugonjwa wa coronavirus.

Nitoe wito kwa waTanzania wenzangu. Uchaguzi mkuu utakapokuja, ni lazima tuondoe hofu (ugonjwa mbaya).
Tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura kwa mtu yeyote tunayeona kuwa anafaa kutuongoza bila ya hofu, na hata bila ya kuogopa vitisho kama vitakuwepo.

Tukishafanya hivyo, ni wajibu wetu pia kuhakikisha kuwa hatutasita na kuwa nahofu namtu yeyote atakayetaka kufanya hila na kuzifanya kura zetu zisihesabike na kutulazimisha tukubali viongozi ambao hatukuwapa kura hizo.

Hii ndio kuondoa hofu inayoweza kutufanya kuwa wagonjwa.

MTanzania, hustahili kuwa na hofu. Rais wetu amekwishaeleza hiyo ni hatari zaidi kuliko gonjwa baya hata kuzidi coronavirus.
 
Na akitokea kiongozi anayetaka kupora haki yetu hiyo kwa kutumia mabavu ya vyombo tulivyomkabidhi ili nchi yetu iwe salama, lakini yeye anavigeuza viwe ndio kinga yake na kuvitumia kutunyanyasa, inabidi pia tuachane na hofu na kukabiliana naye na kumkataa.
Duh...!, japo naunga mkono hoja, ila washauri Watanzania kwa kuwaambia ukweli kwenye scenario kama hiyo, wanamkaaje and waandae kwa the consequences za kumkataa ni nini kitawakuta!
P
 
Hahaha hawa wanasiasa usiwaamini kila wasemacho. kumbuka hawa hawa walituambia Uchaguzi mkuu uko pale pale hata kama Corona itakuwepo hawahairisha. Hawa hawa wakatangaza kufunga shule na vyuo vyote nchini kuepuka maambukizi ya Corona.

Hawa hawa wanasiasa wanatuambia Ka Corona ni kaugonjwa kadogo na wala tusikaogope, badala yake tuchape kazi tu. hawa hawa walituambia Hakuna Corona tuendelee kuchapa kazi kwasababu hakuna ndugu zetu walio fariki kwa ugonjwa wa Corona.

Leo nimesikia Mkutano wa Chadema Dodoma umezuiliwa kwa sababu ya kuepuka maambukizi ya Corona. Leo Nimesikiliza hotuba ya Rais akisisitiza tuondoe hofu, Takwimu tunazoambiwa ni za uongo, alizo nazo yeye ndizo sahihi waliokufa kwa ugonjwa wa Corona ni 10 tu.

Tuliambiwa na hawa wanasiasa tuepuke misongamano, na tusisafiri hovyo kwenda popote pasipokuwa na sababu ya msingi, Leo tumeambiwa hatuwezi kufungiwa na hatuwezi kuzuiwa kufanya shughuli zetu, hivyo kusafiri ruksa na kufanya shughuli zetu ruksa, LAKINI tuchukue tahadali ya ugonjwa wa CORONA, upo hapo?!

Uchaguzi utawezekana tu ikiwa wale wanasiasa wasiotafuta cheap popularity watashriki, yaani CCM, NCCR na CUF, lakini wale wanaotafuta cheap popularity wakishiriki yani CHADEMA na ACT wazalendo, utaambiwa kuna CORONA.

Pay attention to details.
 
sirluta,
Na wewe umeamini hivyo? Kuna zao gani linaloiingizia nchi zaidi ya $300 millioni kwa mwezi. Hata utalii hauingizi kiasi hicho!

Naona umelibeba mzogamzoga bila hata ya kutumia akili kidogo kulifikiri.

Pato la nchi kwa mwaka ni kiasi gani, unajua?
Kama kiasi chote hicho kinalipwa, ina maana nchi haina matumizi mengine yoyote?

Halafu unadai ulikwenda shule?

Anapotoa taarifa kama hizo, ni watu kama wewe ndio mnaolengwa kuzipokea na kuzimeza, halafu mkiambiwa nyinyi ni majuha mnalkasirika.
 
Ila amewafikishia mabeberu ujumbe murua kabisa bila kupepesa macho.. ni bora wapunguze riba kama sio kuwasamehe madeni yanayoelemea nchi za ki Afrika kuliko kuendelea kuwakopesha kwa riba kubwa wakati uwezo wao wa kupambana na majanga makubwa ni mdogo sana, huo ndio ukweli na msaada wa kweli lakini biashara za kukopeshwa na riba juu Ndio wazungu wamegeuza kama ni misaada wanatupa kumbe ni mikopo.
Hivi nyinyi watu mnazo akili?
Nani kakulazimisha ukakope?

Kama unao uwezo wa kulipa US $300 kwa mwezi, unayo sababu gani ya kwenda kukopa?

Hivi hata aibu hamuioni kuzungumzia mambo ya kipuuzi namna hii?
 
IMG_2737.JPG
IMG_2738.JPG





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heko na shukurani zimuendee Mh. Raisi kwa ujasiri mkubwa katika vita hii ya korona.
Kwa kweli Watanzania tulikusubiri kwa muda mrefu kutatua matatizo yetu, yakujitakia na ya kuletwa, inatufariji.

Kwa mda mrefu humu jamvini nimekuwa mstari wa mbele kutetea Uwezo wetu, Uzalendo wetu na hekima zetu sote kupambana na wadumazi wa Rasilimali zetu, iwe ni watu, vitu n.k tupo pamoja na hata kutokubaliana na wale ambao wanapenda na kutaka tufuatilie na ku kopi and paste...hapo kiswahili kimegonga, kinyamwezi hiko! alikumhali, kuiga kila kitu kutoka nje!

Nina uhakika ujumbe umefika, niko na imani na wewe kwa kuwa imara na imani hiyo iwaendee vyombo vya usalama hususan Usalama wa taifa katika kuhakikisha Watanzania wanalindwa na tauni hili korona, Wizara ya Afya kwa umahiri na uadilifu wa Mh. Waziri😍 na wote katika sekta ya Afya. Mbarikiwe.
sina makuu,
Aluta Continua.
...ni speech nzuri.
 
Back
Top Bottom