Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Waafrika hususani sisi wa-Tanzania hatujawahi kuheshimu na kujali muda kabisa, si viongozi (hata kama ni Rais) wala raia...

Sasa tangazo linasema saa 9:45 alasiri, lakini mpaka sasa saa 10:10jioni hii, hakuna lolote linaloendelea ktk platforms zote kama TV, social media, YouTube nk ambako mtu anaweza kuifuatilia hotuba hiyo....

Au "LIVE" maana yake nini jamani?
 
Kama kawaida TBC1 matangazo yanakatikakatika hawaeleweki.
 
Back
Top Bottom