Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Jamaa anakera sn mkuuMkuu umegonga kichwani kabisa. Jamaa hajui hata anachokifanya, tumekwisha kama nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anakera sn mkuuMkuu umegonga kichwani kabisa. Jamaa hajui hata anachokifanya, tumekwisha kama nchi.
So kila atakaeuliza idadi ya waliopimwa na yeye itabid akapiimwe??Nenda mwenyewe kapimwe
Wanapimwa ili watengwe ili wasiambukize watu zaidi punguani wahed wewe!
Ww mjinga sana ,hujui kila mkoa huwa una ikulu ndogo?
afu nawe ukakalisha wezere zako kabisa kusikiliza pumba?Tiyari kashazungumza pumba zake , kamaliza.
Wewe unavyoona Chamwino ilipo ndio makao makuu ya Mkoa wa Dodoma!??Kwa hiyo ikulu ya mkoa wa Geita ipo Chato ?Hivi makao makuu ya mkoa wa Geita ni Chato eeeh ?Unyelile.
Du hii serikali yetu Mungu anaio a. Sasa mvuke wa nyuzi joto 100 si unaondoka na ngozi kabisaChaguo ni la kwako wwView attachment 1427032View attachment 1427033
Its not over until its over...[emoji769]
Wenye AKILI wameshafunga biashara zao, I believe you didn't think through mkuu. Wasio na akili bado wanaganga njaa na biashara zao, sio? Hujatumia busara kufikisha ujumbe wako.Wapumbavu wakubwa zaidi ni wale wasiojua maana ya lockdown na kushindwa kujua kuwa itatokea automatically. Wenye akili wameshafunga biashara zao na hadi kuna dayosisi za makanisa wamesimamisha shughuli zao.
Mmmmh.Aliyetuletea hili janga 2015 alitukosea sana! Wapiga kura mlikosea sana! Wana CCM mlikosea sana na bado mnaendelea kukosea! Stupid!
Si bora uniue mapambio ni kwa Mungu tu.Komaa tu na TBC mzee
Waziri mkuu ametuambia Leo kuwa waliopona ni 11 na walikufa ni 10.kama vipi wizara ya afya ihamishiwe ofisi ya raisTaarifa iliyotumwa na mseamaji wa Ikulu kuhusu hotuba ya Rais Magufuli kasema"Anataka wizara ya Afya iwe inatoa takwimu sahihi maana ana taarifa waliopona ni zaidi ya 100 na walioambukizwa ni 284
My take,mpaka hapa nilipo binafsi nimeisha changanyikiwa,hii ni siku mbaya sijawahi ona
Hotuba ya waziri mkuu leo amesema waliopona ni 11
Waziri wa Afya wakati akionyesha wale 30 katika mikoa hajasema wamepona zaidi ya 100
Hapa Rais anakosoa wizara kutotoa takwimu sahihi (Which is which?)View attachment 1427030View attachment 1427031
Sent using Jamii Forums mobile app
Apa naona wapinzani kupigwa asubuhi na mapema uchaguzi wa Oktoba. Ila JPM the guy is genius... sema kumuelewa wachache ndiyo bado.
Umewaza vizuri, kuna agenda za siri zitajadiliwa...Personally naamini Magufuli kuwaita jamaa kwenda kule, kuna kikao cha siri dhidi ya baadhi ya wanasiasa na watu wanaoonekana ni wasumbufu.
Otherwise angeweza kuongea nao akiwa kule na wao wakiwa Dar.
Kuna agenda zaidi ya hii.
UmenichekeshaDu hii serikali yetu Mungu anaio a. Sasa mvuke wa nyuzi joto 100 si unaondoka na ngozi kabisa