sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Chige,
Magufuli hakujua impact ya Covid-19 .au labda aliuona kama mafua tu ya kawaida.
Sasa kushtuka amejikuta hakujiandaa kupambana na Covid-19.
Kibaya zaidi hakutenga pesa za kutosha ,serikali yake inategemea misaada ya wasamalia wema anaowabeza kwa ku supply masks zenye Corona, na fumigation isioua Corona virus.
Watanzania tunaweza kuwa na ujinga lakini sio mapumbavu ki vile.Ni nyakati ngumu lakini we shall overcome.
Magufuli hakujua impact ya Covid-19 .au labda aliuona kama mafua tu ya kawaida.
Sasa kushtuka amejikuta hakujiandaa kupambana na Covid-19.
Kibaya zaidi hakutenga pesa za kutosha ,serikali yake inategemea misaada ya wasamalia wema anaowabeza kwa ku supply masks zenye Corona, na fumigation isioua Corona virus.
Watanzania tunaweza kuwa na ujinga lakini sio mapumbavu ki vile.Ni nyakati ngumu lakini we shall overcome.