KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
veca,
Umeandika mada yako vizuri. Mada ambayo wakuu wa JF wameona iimeze ile ya kwangu (kimakosa) kwa sababu hazifanani kabisa.
Pangekuwepo sehemu ya kukata rufaa ningewasilisha malalamiko yangu kwa huyo mfanya kazi aliyeunganisha ile mada na hii ya kwako. Nadhani hakusoma maudhui ya mada yangu, yeye kabwatuka tu na kuunganisha.
Sababu iliyonifanya niku'quote' hapa kwenye hiyo mistari ya mwisho katika hitimisho la mada yako ni kwamba binafsi sioni siasa yoyote anayoifanya Magufuli katika jambo lolote. Magufuli hajui siasa na sasa anaonekana ufahamu wake juu ya mambo mbalimbali hana kabisa.
Hata kisomo alicho nacho cha kiwango cha Ph>D. naona pia hakikumpa nafasi ya kupanua mawazo na kuwa na ufahamu mpana.
Rais Magufuli ni mvurugaji tu katika kila jambo analohusika nalo. Hakuna jambo analoweza kulifanya na akalikamilisha kwa utulivu, hata kama ni jambo zuri.
Umeandika mada yako vizuri. Mada ambayo wakuu wa JF wameona iimeze ile ya kwangu (kimakosa) kwa sababu hazifanani kabisa.
Pangekuwepo sehemu ya kukata rufaa ningewasilisha malalamiko yangu kwa huyo mfanya kazi aliyeunganisha ile mada na hii ya kwako. Nadhani hakusoma maudhui ya mada yangu, yeye kabwatuka tu na kuunganisha.
Sababu iliyonifanya niku'quote' hapa kwenye hiyo mistari ya mwisho katika hitimisho la mada yako ni kwamba binafsi sioni siasa yoyote anayoifanya Magufuli katika jambo lolote. Magufuli hajui siasa na sasa anaonekana ufahamu wake juu ya mambo mbalimbali hana kabisa.
Hata kisomo alicho nacho cha kiwango cha Ph>D. naona pia hakikumpa nafasi ya kupanua mawazo na kuwa na ufahamu mpana.
Rais Magufuli ni mvurugaji tu katika kila jambo analohusika nalo. Hakuna jambo analoweza kulifanya na akalikamilisha kwa utulivu, hata kama ni jambo zuri.