Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
wakati yeye kakimbia ofisi tu inayolindwa na kutunzwa kwa hali ya juuanasema bibilia ina mambo yote tuitegemee. Anamsifu Dr.Shoo kutofunga makanisa. Mchungaji mwema hakimbikii kondoo wake.
inashangazawakati yeye kakimbia ofisi tu inayolindwa na kutunzwa kwa hali ya juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahutubia taifa akiwa kanisani mkuu uelewi wap !!!? Mbona wakengeukaMbona mnatuchanganya wakuu. Magufuli atahutubia taifa au ndiyo kashahutubia kanisani?
π€π€π€π€π€anasifia waumini kutovaa barakoa,anasema Mungu ndio mtetezi wa kweli
Daaah jamaa utafikiri sio binadamu wa kawaidaanasifia waumini kutovaa barakoa,anasema Mungu ndio mtetezi wa kweli
Yaani anapoteza watu hapa na watu ndio wanaenda kujiachia. jamaa naona kaamua kuacha watu waangamieanasifia waumini kutovaa barakoa,anasema Mungu ndio mtetezi wa kweli