Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Sindano imekuingia barabara safi sana..
siku nyingine usirudie kushindana na mawe..
utaishia kupasuka msamba....
 
Eee Mungu mpe Coronavirus asife wala asipone, kwa jinsi anavyo wazihaki waja wako kwa ukweli anaujua na ndio maana amejifucha.
 
my God
 
yapo mambo namuunga mkono moja kwa moja tunao watendaji wengine wenye dhamana lkn hawawajibiki ipasavyo kiasi wanasababisha vifo na taharuki kwa kuwa wanajifanya kama vile HATUISHI NAO.

Mfano mnazuia maiti na kuzizika nyinyi kwa kisingizio maiti itaeneza Corona, hili halijakaa sawa hata kidogo.

Mm naandika haya nikiwa Mhanga wa ugonjwa huu , na nasema wazi nilikuwa naogopa sana kuwekwa karantini hospital niliamini ndiyo kifo changu kitakuwa huko.

Nami nilipambana na mke wangu na jamaa zangu kwa kujifukiza, chai ya tangawizi ,limao, karafuu , pamoja na lishe ya mfululizo, bahati nzr sikuwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Hosp, wanatakiwa madaktari, wauguzi na ndugu na jamaa wanatakiwa waungane kwa pamoja kumuuguza mgonjwa.

Mh Maghufuli ( PERMASHARP) siyo siri anatufanya tubadirike, kiutendaji na kimtazamo. Tuache kukariri na kufanya mambo kwa mazoea.
 
Nyerere pekee ndio alifaidi kuongoza watanzania wajinga, hakuna rais mwingine atapata bahati hiyo. Watu wameshaamka muda mrefu. Huyu ni kama anaanika nguo kavu.
Mkuu endelea kuomboleza vifo vinavyo tokea kwenye page ya kigogo tafafadhali
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga Sana hawa watu, dj na kundi lake walikimbia bunge wakiogopa Corona halafu wakarudi bungeni Tena!! Yaani akili za hawa watu zilishatekwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapuuzi sana..watu hii ni nchi yao lakini yanatamani Rais wetu eti aongoze kwa kufuata matakwa ya nchi zingine,yani kiufupi hayataki nchi isonge mbele yanawaza turudi nyuma..kungekua na uwezekano ya kutafuta mamtu kama haya then hadharani achapwe viboko siku nzima kwa kuhujumu nchi na kuisema mabaya nje ya mipaka.enzi za manabii hawa walikuaga wanapondwa mawe

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Kenyatta "Tumefunga mipaka yote ila magari makubwa ya shehena za mizigo yanaruhusiwa kuvuka baada ya madereva kupimwa Korona hapo mpakani "

Sasa sijui hamkumuelewa kennyata au mmekariri kurusha vijembe tu
Wananchi wenzako pamoja na rais wenu hawaelewi kingereza. Makosa Uhuru aliyofanya ni kukosa kuzungumza kwa kiswahili. Hawa mbumbumbu lazima uwe makini nao maana wanaweza kukinukisha kwa jambo dogo tu
 
Yaani anapoteza watu hapa na watu ndio wanaenda kujiachia. jamaa naona kaamua kuacha watu waangamie

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kupoteza tuseme ukweli,binafsi nikiivaa nashindwa kupumua vzr na ninapata maumivu makali ya kichwa hadi niitoe, nyuma ya matumizi ya barakoa kuna madhara pia tena makubwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

mbna spain ligi lisharudi toka jana ama mnasubiri mbowe awatangazie zile shule zake alizojenga kwa ruzuku za chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…