Hawezi kuangamiza taifa Bali litaangamia kwa upumbavu wetuAisee! Huyu mzee bana ana mikogo na ujuaji kwa sana kwenye kila jambo, kwa hakika ata liangamiza taifa kwa u-much know wake.
Yaani anajikuta yeye ni Alien.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafurahie kwenye kwa kigogo tafadhaliSasa inakuwaje anatuambia tuchape kazi wakati yeye yupo CHIMBO? Za kuambiwa Changanya na zako!!
Duh!Wewe huwezi kumuelewa, uwezo wako wa kupokea na kuelewa hoja Ni 20 Kb hotuba ya Rais Ni 500Gb halafu unakosoa hotuba badala ya kujikosoa kuwa na uelewa mdogo.
Nenda kafurahishwe na kigogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikaa kimya kajificha, akiongea akae kimya, wendawazimu hawa jamaa
Hivi mpaka sasa Tanzania;Wamepata ujumbe
kina nani hao?Ngoja niandae kabisa kahawa na kashata, natumaini kuna makombora lazima yatumwe kwa wale wanaojifanya kutuletea choko choko, wahenga walisema "Choko choko mchokoe pweza, Binadamu hutomuweza"
Spain league ipi kaka imeanza??kule spain ligi lilishaanza mda mrefu sana, yaani ni tunasubiri tu tamko ligi letu tz
Wewe usipomwombea hakipungui kitu! Kuna mamilioni ya watanzania takriban milioni sitini tunamwombea na tutazidi kumwombea!! Mungu wetu amejibu maombi.Haombewi yeyote hapa.Kila mtu apambane na kushinda mechi yake. Na maabara ipi mtoto wako ulimpima kama ya taifa uliipiga kwara? Atakayekuamini ni kwa hasara zake mwenyewe.
Hahaha.. Wanashida kweli,![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wafuasi wa kigogo hao, wana hofu ya kufa yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio zipo, hutaki?ana malizia hapa. Anaomba tuendelee kumuombea. anasema tusibaguane. Uchumi wetu unaenda vizuri. anasema Chato kuna taa za barabarani. haaaa haaa
Haya sasa acha kupanic!Vijibwa kama nyinyi ni hasara kwa taifa kwani hata kubweka kumtishia mwizi hamuwezi.
Nilikuwa namjibu mbwa mmoja wa huko lumumba aliyesema sijalazimishwa. Nikamwambia nimelazimishwa kimkataba wa kazi.
Niletee mamako nimlambe tigo. Hatajutia.
IPI?
Ni kipimo kile kile kilichokuwa wadudu katika mapapai na matemate ya mafenesi?Upimaji ulikuwa unaendelea lakini data reporting ndio ilisimama ili kuzichunguza zaidi. Wagonjwa wamepungua kwa sababu WAMEPONA!! Mungu amejibu maombi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ngoja nikapate taarifa sahihi za kigogo kuhusu korona19,nikisubiri zenu za ficha ficha jazz band tutazidi kuumia.
Loughing stock? Sisi hao au?HOTUBA NZURI ZA MAGUFULI? KWELI WEWE UPO MBALI NA UKWELI...HUYO LAUGHING STOCK ANAYESEMWA DUNIANI KWA UJINGA?
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kama umepata hela ya Ada tulia wengine hatuelewi pesa tutapata lini