mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Siyo kweli, hizo ni hospitali na kuna saa za kuona wagonjwa!! We jiandae tu na PPE yako ukaangalie wagonjwa. Uwapelekee na matunda nkNgonjera za wanasiasa hizo ,sehemu zote zinalindwa na JKT na hautakiwi kurandaranda katika hayo maeneo uliyoyataja!!
Your argument is very weakAkihutubia Taifa(sina hakika kama ni sahihi kusema hivi) tokea Kanisa la KKKT Usharika wa Chato leo asubuhi, Rais Magufuli amelitangazia Taifa na ulimwengu kuwa mtoto wake ni miongoni mwa waliougua na kisha kupona Corona yumo mtoto wake hapo hajasema ni yupi.
Hii ni aina ya Kiki mbovu ambayo wanaompangia Rais (kama taasisi) kipi aseme na kipi asigusie wanaendelea kumpotosha. Anna Mgwira alipopata Corona alisema na kujitenga, amepona juzi akatutangazia na tumempa pole, lakini Leo ghafla mtu anajitokeza eti na kwangu kulikuwa na mgonjwa amepona Jana. Iwe kweli au uongo lakini kutuambia sasa hivi ni kutaka tuamini haogopi huu ugonjwa huku akiendelea kujificha kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakamata vichwa vya habari karibu duniani kote,hapo kama ni ulaya ya bariadi mkuu haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujui unalozungumza wewe njoo na takwimu mwaka jana walikufa watu wangapi kuanzia jan-may kisha fanya comparison ,numbers dont lie mkuu ,namba ikiwa tofauti lazima ndio unaweza kuconclude kwamba vifo vimeongezeka au vimepungua na kufanya more analysis ,naomba majibu kuanzia jan-may 2019 walikufa watu wangapi in general na mwaka huu jan -may wamekufa wangapi kisha tufanye analysis.Hao wanasheria na mawakili walikuwa hawafi ila wameanza kufa kwa corona tu! It does not make any sense!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui mwanae amegundulika kwa kutumia kipimo gani?Huyu mzee tumsamehe tu. Huenda hayuko sawa kichwani. In fact hayupo sawa kichwani!
Sawa nyie teteeni uovu ila tunachoshukuru kwamba huu ugonjwa ni noma unatwanga kwa wale wale wapiga mapambio wa MEKO.Siyo kweli, hizo ni hospitali na kuna saa za kuona wagonjwa!! We jiandae tu na PPE yako ukaangalie wagonjwa. Uwapelekee na matunda nk
*CROSS-EXAMINATION*
(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.
🔹 *Mheshimiwa* Ndio
(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa
🔹 *Mheshimiwa* Ndio.
(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.
🔹 *Mheshimiwa* Ndio.
(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.
🔹 *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.
(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.
🔹 *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
Mkuu wewe ndio hujui lolote unalozungumza. Tanzania ni kweli inaagiza baadhi ya bidhaa kama malighafi ya "Palm oil" toka Malaysia, lakini uagizaji wa mchele na mahindi ulishasimamishwa muda mrefu, sasa hivi tunazalisha zaidi ya matumizi yetu na ziada tunaeauzia majirani.Mkuu acha mihemko.kama hujui sema usaidiwe,watanzania tunatumia mikate,chapati mandazi na vitumbua kila siku ngano inalimwa wapi hapa Tanzania na kwa kiwango gani? Mafuta ya kupikia ukiacha ile clude sunflower oil mnayotumia ninyi wanyonge ni kiwanda only My.meru na murzah oil ndo wabazalisha refined sunflower oil na ni kidogo sana All palm oil is refined from imported clude oil toka Malaysia.Mchele.Serikali ikiamua tu kuzuia imported rice wengine wenu hamtaweza kununua.Nimekupa tu bidhaa chache
haaa haa inaudhi sana*CROSS-EXAMINATION*
(1) *Wakili:* Unakubaliana na mimi kuwa tuna maabara moja tu ya kupima virus vya Korona hapa Tanzania.
🔹 *Mheshimiwa* Ndio
(2) *Wakili:* Na unakubaliana na mimi kuwa mahabara hiyo ipo kwenye uchunguzi na hivyo haiwezi fanya kazi kwa Sasa
🔹 *Mheshimiwa* Ndio.
(3). *Wakili:* Unakubaliana na mimi pia hospitali zote pamoja na Aghakan na Regency zinaitegea maabara ya taifa kupima Virusi vya Korona.
🔹 *Mheshimiwa* Ndio.
(4). *Wakili:* Sasa mwambie mheshimiwa hakimu iliwezekana vipi Aghakan kutoa negative na muhimbili positive.
🔹 *Mheshimiwa:* Hata mimi mwenye ninashangaa imetokeaje.
(5). *Wakili:* Pia ieleze mahakama umejuaje kuwa wagonjwa wa wa Virusi vya Korona wamepungua ikiwa maabara ipo kwenye uchunguzi.
🔹 *Mheshimiwa:* Mhe. Hakimu ili swali gumu sana, ninaomba kwanza nishauriane na wataalamu wangu kabla ya kujibu swali hili.
Mnajidanganya kwa kujiaminisha kwamba Kenya inawategemea,njaa zetu ndo zinatusumbua zaidi na Wala si kwamba tunahuruma sana.Tunaangamia kwa kukosa maarifaMkuu wewe ndio hujui lolote unalozungumza. Tanzania ni kweli inaagiza baadhi ya bidhaa kama malighafi ya "Palm oil" toka Malaysia, lakini uagizaji wa mchele na mahindi ulishasimamishwa muda mrefu, sasa hivi tunazalisha zaidi ya matumizi yetu na ziada tunaeauzia majirani.
Kuhusu sukari, sasa hivi tunazalisha 75% ya mahitaji yetu, juhudi zinafanyika kuhakikisha ikifika mwishoni mwa mwaka Kesho tuweze kujitosheleza kwa sukari.
Hivi Mkuu ulishasikia wapi kwamba nchi imekumbwa na njaa kutokana na upungufu wa sukari?, sukari sio chakula, ila ni kiungo muhimu katika mapishi, unaweza kula mkate, chapati, maandazi bila sukari, kitakachopungua ni ladha ya chakula.
Kuhusu ngano, ni kweli kwamba baadhi ya viwanda, hasa vya Azam vinaagiza ngano toka nje, hii ni kutokana na kwamba, Azam anatengeneza bidhaa kwa ajili ya kuziuza nchi nyingi sio Tanzania pekee, kwahiyo ngano inayozalishwa Tanzania haimtoshi.
Mwisho ni kwamba, sisi tunazungumza kufunga mpaka wa Kenya na Tanzania, Kenya italazimika kutafuta Chakula toka nchi zingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama korona hakuna basi msituambie tvae barakoa wala kutakasa mikono kwa maji tiririka au "Santaiza" maana hata tukifa kwa korona sio ajabu maana malaria ,ukimwi, tb nazo zinaua!! Turudi kama awali basi toeni tamko basi msituambie tunawe mikono,waambie wizara ya afya wastop tangazo la mpoto maana hali ni shwari sasa.
Aisee! Huyu mzee bana ana mikogo na ujuaji kwa sana kwenye kila jambo, kwa hakika ata liangamiza taifa kwa u-much know wake.
Yaani anajikuta yeye ni Alien.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu turudi kama awali tu.
yani jina unalotumia na comment zako ni kichwa na mguuKwa nini mnalilia data za corona? Mna ajenda gani na data hizo? Mbona siwasikii mkitaka data za magonjwa mengine kama TB, ukimwi, cancer nk??
Sent using Jamii Forums mobile app