Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Kwa hali ilivyo na kwa UNYENYEKEVU MKUBWA napenda kuwasilisha ombi hilo kwako.
Ukiwa Amri Jeshi Mkuu naomba japo kwa siku 30 funga mipaka na zuia maroli kuingia nchini mwetu kwa muktadha wa tujitathimini na janga hilo baya la Corona.
Ama la angalau basi ktk mipaka yote elekeza mizigo yote ipakuliwe Mpakani na si vinginevyo!
Nawasilisha.
Ukiwa Amri Jeshi Mkuu naomba japo kwa siku 30 funga mipaka na zuia maroli kuingia nchini mwetu kwa muktadha wa tujitathimini na janga hilo baya la Corona.
Ama la angalau basi ktk mipaka yote elekeza mizigo yote ipakuliwe Mpakani na si vinginevyo!
Nawasilisha.