mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Totauti ni nini? Kinga ya ukimwi ni condom na Kinga ya corona ni barakoa. Pia maradhi yote yanasababishwa na virus. Tofauti ipo wapi hapo?Mkuu Kuna tofauti kubwa sana Kati ya corona na ukimwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Totauti ni nini? Kinga ya ukimwi ni condom na Kinga ya corona ni barakoa. Pia maradhi yote yanasababishwa na virus. Tofauti ipo wapi hapo?Mkuu Kuna tofauti kubwa sana Kati ya corona na ukimwi.
hili jambo kila nikifikiria nahuzunika sana. ndo maana nasema ili tuache kucheza na corona idondoshe mtu mmoja mkubwa tu akili zikae sawaNimeshangaa kuona anafurahi na kucheka kwa furaha kitendo cha waumini kutovaa barakoa kwenye mkusanyiko ule.
Hivi kweli huyu mtu ana nia njema na wale watu?
Adanganye ili iweje? Msiwe na hisia hasi kwenye kila jambo.
Mkuu ukimwi ili uupate kwa kiasi kikubwa ni lazima ukafanye ngono.katika huu ulimwengu wa watu waliostarabika nowdays hakuna wanaochangia nyembe Wala sindano.Ila corona unaweza kuipata popote na muda wowote.kiwango Cha barakoa kukulinda na corona ni kidogo sana.Barakoa inazuia mate mate kutoka kwa mwathirika yasiingie moja kwa moja mdomoni au puani kwako Ila haizuii hayo maji maji kuingia machoni au kutua kwenye nguo zako au kwenye gari yako au kwenye siti uliyokaa kwenye basi au daladala.kirusi kikiwa kwenye shati yako au suruali au siti anytime waweza kukichukua na kukiweka mdomoni,puani au jichoni.Totauti ni nini? Kinga ya ukimwi ni condom na Kinga ya corona ni barakoa. Pia maradhi yote yanasababishwa na virus. Tofauti ipo wapi hapo?
Ni sawa, mbona Makonda alimsema mtoto wa Mbowe....Vipi kuhusu huyo wa Magufuli mbona hakupelekwa kwenye vituo vya isolation kama wengine? Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni uchungu. Acheni double standard, tendeni haki ninyi watu.Ni dhambi mbele za Mungu kutokumuamini kiongozi wako kiasi hicho. Alikutenda nini?? Mbona tulimuamini Mh Mbowe aliposema mwanaye kila akipimwa bado anao??
What are you smoking?Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Ni dhambi mbele za Mungu kutokumuamini kiongozi wako kiasi hicho. Alikutenda nini?? Mbona tulimuamini Mh Mbowe aliposema mwanaye kila akipimwa bado anao??
sasa alijuaje kama ana corona? au alipeleka vipimo kenya?Si anapiga pushup mzee?
Taifa la wajinga na mang'ombeMost likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Hao watu au ng'ombe??Watu wanavyomchukulia Magufuli huku mataani, unawaonea huruma sana chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Most likely anasema kweli ndo maana amekaa kijijini miezi miwili akifukiza kumponya mtoto hata akasahau ofisi yake iko Dar bado haijahamia Dodoma. Ofisi ya Serkali lazima ina physical address moja tu na ni occupant ndo anaweza akawa hayupo kwa muda tu lakini ofisi inabaki palepale mpaka itakapohamia address mpya officially. Mambo mengi hayaendi Awamu hii kwa sababu ofisi nyingi muhimu ziko Dar na Dodoma ikiongeza gharama za uendeshaji na usumbufu kwa wananchi wanaohitaji huduma za occupants wahusika. Mtumishi akiwai likizo anakwenda kwao nje ya ofisi akimwachia MTU mwingine pale ofisini majukumu yake yote.Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
watoto wake.Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Rais sio RaisMtoto wa Rais sio Rais. Nani aliyekuambia anatembea kwenye hizo gari tena akiwa na ulinzi.
Hii umeleta takataka.[emoji112]
Sent using iphone pro max
This is none of your business go to hell!!Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.