simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Sielewi kuhutubia taifa lazima uwe rais? Nadhani muhimu ni idadi ya wasikilazaji. Mfano A ameongea amesikilizwa na watanzania 10. B amenguruma amesikizwa kwa makini na watanzania 20. B atakuwa ametimiza kwa ufanisi zaidi azma yake ya kuhutubia watanzania.Hivi Mbowe nawe mbona anasemaga "anahutubia taifa"? Kwani nayeye rais