OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
mzaha wa hatari sanaHuyu mzee hajafahamishwa vizuri kuhusu huu ugonjwa,mbona analeta mzaha hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzaha wa hatari sanaHuyu mzee hajafahamishwa vizuri kuhusu huu ugonjwa,mbona analeta mzaha hivi
Hatimaye umeushtukia mchezoWanafunzi wakae mguu sawa
Nayaona masomo yakirejea June!
Cheki TBC yupo hewaniMbona mnatuchanganya wakuu. Magufuli atahutubia taifa au ndiyo kashahutubia kanisani?
Kwani ameanza kuongea na kutamka niliyosema?Unaongea baada ya kumsikia mkuu siyo?
Maana haya ni marudio
Kamzidi IDD amini dadaMagufuli akiongea dunia inasimama na kujadili hotuba yake
Kuna Nchi fulani zinataka kuleta mchezo hatutazihurumia
hawawezi kuachaHii lazima kina Uhuru, Kagame watakuwa wanasikiliza live.
daah nimeshangaa sanaaMagufuli anasema mtu ameshakufa anapimwa korona ya nini. hii ni mbinu ya hovyo na ajabu sana. Anashangaa kwa nini mtu asizikwe na ndugu.
Ni jambo jema!Magufuli yuko Geita ambayo iko chini ya Askofu wa Katoliki Niwermugizi Askofu huyo alipiga marufuki waumini wasisali kwa hofu ya corona akawafingia makanisa kwa imani yake haba KKKT
Geita hawakufunga sababu hawaabudu corona wanaabudu Mungu
Magufuli uzalendo umemshinda kaona aende zake kusali KKKT Geita
wanfunzi mm sio😐😐 mkuu.Si unafurahia kusaini boom?
Atatoa taarifa za mapapai fenesi kupona covid baada ya kupima tenaAtakuwa anapiga nyungu mda huu ili badae aje kutisha taifa.
Nenda chamwimo au magogoni.
Sent using Jamii Forums mobile app