Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Nikisikiliza kutoka Chato namuona mhe Magufuli akiwa imara zaidi.
Juzi nilitoa mada yenye kichwa chake "CORONA:SHULE VYUO VINAWEZA KUFUNGULIWA" ingawa mod wameunganisha na uzi mwingine... leo namsikia Mhe Magufuli akishindilia hoja kwamba soon ataruhusu shule na vyuo vifunguliwe [emoji1319][emoji1319][emoji1319]
Tusitishane...wale wa kupingapinga endeleeni sisi tunachapa kazi.
Kumbuka Mungu ndiye mlinzi wa maisha yako
akifa mtu wako wa karibu utaelewa somo, usimsifie mtu ambaye yeye mwenyewe kajificha mkoani huko, ogopa sana

kama anajiamini arudi Dar tuendelee na mapambano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mweshimiwa anaongea ukweli mtupu

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
We angalia,yani anapost kila anachosikia,Ukiangalia utamuoana yeye tu,halafu tazama sura yake,utajua tu yupo upande gani.
Kwani kuna shida mkuu? Wengi tunapata updates kupitia huu uzi.. binafsi siko karibu na TV wala redio.
 
Jamaa amekuwa mchungaji wa mahubiri.
 
amasema hakuna roko dauni wala baba yaje na roko dauni. wakimaliza kuji roko kule watakuja kuomba chakula.

anasema kama una mji mtu hawezi kukupangia cha kufanya. sisi tunaenda tunavyotaka. sisi ni taifa huru.

anashukuru na kuaga...anamsifia Ryabange hata mvi hana. Wakati yupo la 7 yeye alikuwa la 5
 
Back
Top Bottom