Naona unafuatilia Sana...comment zako Kila baada ya dakika Kama siyo sekunde chache...tehtehteh congratulationsAnasema mbona watu wa ukimwi hawatengwi kama corona. haaaa haaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unafuatilia Sana...comment zako Kila baada ya dakika Kama siyo sekunde chache...tehtehteh congratulationsAnasema mbona watu wa ukimwi hawatengwi kama corona. haaaa haaaaa
My friend Kenya wapo very transparent wametangaza new cases 57 Na kati ya hao kuna 12 Truck driversHaushangai kenya wanatangaza watanzania madreva wenye COVID 19 lakini hawatangazi wakenya wangapi wamepata maambukizi mapya ndani ya masaa 24? Ingia kwenye internet - Worldometer uone wana wagonjwa wapya wengi zaidi ya hao kwa mbali!!! Ni sawa na kumwona mwenye boriti kwenye jicho lake halafu anamcheka mwenye kibanzi jichoni, haushtuki? Unaruhusiwa kwenda kwenye hospitali ukajionee hali halisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
That is to the extreme...you are not seriousKamzidi IDD amini dada
Wewe usiyeJijua kama mwoga baki ndani na wanao!Shida ni kwamba mtatuambukiza in the end
HaA😀😁😂😄😄😃
Ni vigumu kujua maambukizi halisi katika nchi zinazoendelea kwa sababu nchi nyingi hazina vitendea kazi kama nchi za wenzetu.Hiyo sana toa. Wanaopona ni wengi kuliko wagonjwa wapya na mwisho wa siku wataisha. Ninawashangaa watu kuikomalia Tanzania wakati si miongoni mwa nchi zenye maabukizi. Hata majirani zetu wa kaskazini mashariki wana maambukizi mengi zaidi. Afrika maambukizi mengi yako Afrika ya kusini, Afrika ya kaskazini na Aftika Magharibi. Sisi Afrika mashariki ikiwemo nchi yetu maambukizi ni kidogo sana. Lakini dunia nzima inapigia makelele nchi yetu utafikiri wana hasira fulani na sisi vile! Huwezi kuwasikia wakizungumzia nchi zenye maambukizi kwa maelfu!! Watukome!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama korona hakuna basi msituambie tvae barakoa wala kutakasa mikono kwa maji tiririka au "Santaiza" maana hata tukifa kwa korona sio ajabu maana malaria ,ukimwi, tb nazo zinaua!! Turudi kama awali basi toeni tamko basi msituambie tunawe mikono,waambie wizara ya afya wastop tangazo la mpoto maana hali ni shwari sasa.Kifo ni kifo tu!! Kwa nini hao wanne waliokufa na corona (kama ni kweli maana humu uongo mwingi sana) unawashadadia sana. Kuna watu wengi zaidi wamekufa kwa magonjwa mengine kama malaria, Cancer, TB nk mbona hao huwazungumzii? Hao sio watu? Hao hawakuumi?? Hapo tu ndipo panaposhangaza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe kigezo cha ushauri wako! Vinginevyo utakuwa umepiga ramli!Sishauri vyuo kufunguliwa sasa hivi, wasubiri walau tarehe 1 mwezi wa 7.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Kwanini?Kwa hotuba hii ya Magu lazima wale nyumbu wa nchi jirani wajiharishie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngonjera za wanasiasa hizo ,sehemu zote zinalindwa na JKT na hautakiwi kurandaranda katika hayo maeneo uliyoyataja!!Amealika watu wanaotaka kuhakikisha ukweli wa taarifa yake waje wajionee wenyewe!! Na amesema ndugu ndio watakuwa wanazika, kwa hiyo hakuna kificho!!
Anayepinga kwa mfano idadi ya wagonjwa waliobaki hospitali mbalimbali si aende huko hospitalini akajionee mwenyewe! Aende Amanda, mlonganzila nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipotoshe Ndugu...Hajasema hivyo...Amesema Kama Hali itaendelea kuwa hivi yaani ikiendelea kuwa nzuri atafungua vyuo na michezo...which means Kama Hali itageuka na kuwa mbaya hatafungua..kasemaa ana,weza ruhusu week ijayo vyuo kufunguliwa
Uko sahihi...Ukimsikiliza Mzee magufuli lazima umushukuru Mungu kutupa yeye anatupa ujasiri kwakweli,Mungu ambariki sana.
Nimecheka Sana....Mbona kama hofu inatoka kabisa kuhusu. Korona ngoja tuendelee kumsikiliza mheJPM
Watu washajionea na kugundua genge la wanaomzunguka meko wanatuongopea,Dar kuna wagonjwa 408 wa korona ,Moro 300+,Arusha ,200+ halafu mnatuambi wapo 6 na hapo hamjafanya mass testing na pia hamjawajumlisha wale madereva wa mipakani waliokutwa na FUTA.WKama hauamini idadi ya wagonjwa waliobaki kwenye hospitali mbalimbali si uende huko mloganzila ukajionee! haukatazwi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vipi?Nasikia Arusha imezizima
[emoji16][emoji16][emoji16] mkuu uzalendo umeongezekaNajivunia sana kuwa na Rais Shupavu na Imara kama DR. Magufuli, natembea duniani huku nikijiamini kuwa nina ongozwa na mtu Imara sana.
Kwa mara ya kwanza Imani yangu ya uzalendo Kwa nchi yangu imeongezeka mara dufu ktk kipindi hiki cha awamu hii yatano chini ya Magufuli.
Kwa mara ya kwanza nimeliombea Nchi Yangu Tanzania pamoja na Rais wetu dua maalum. haijawahi kutokea bali yote yametokana na Mtu mwema na Mwenye hofu ya Mungu kuongoza nchi yetu.
Ni wapii ambako watu hawafii kwa Corona? Umeambiwa na Nani kuwa data za Corona TZ zinafichwa?Watalii kutoka nchi gani??? Ni nchi IPI iliyonaakili timamu itaruhusu rain wake waje/warisk maisha Yao Tanzania.....Hivu unadhani hawajui kuwa Tz watu wanakufa kwa Corona na Data zinafichwa?????
Endeleeni kujitekenya