ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hivi Tanzania Ni Ya Ngapi Kiuchumi kwa Nchi za Afrika Mashariki? Maana Tunajitapa As If Sisi Ndio Madon Wa Ukanda huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana, ila pia namlaumu kwanini hakutangaza mapema anasubiri mpaka mtoto apone ndio atangaze? Angefariki manake angesema alikufa kwa presha.Most likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.
Lionee kwani uhuru wa maoni ni fadhila?Halafu mnasema hakuna uhuru wa maoni ....
Sent from my iPhone using Tapatalk
Tuliletewa boya 🤣 🤣Aisee Hii Nchi Siyo Siri Mwaka 2015 Ilipatikana
Bora umeungana nami kwenye kujiuliza hilo swali. Hv ka dola nako kamepanda eee???Hivi Tanzania Ni Ya Ngapi Kiuchumi kwa Nchi za Afrika Mashariki? Maana Tunajitapa As If Sisi Ndio Madon Wa Ukanda huu
Mkuu kuwa siriaz bas kuweka kwake picha na jina ndio wewe unaamin hawez kuzusha yeye anawapima?Kuhusu corona anaweka hadi jina na picha ya marehemu hapo utasemaje sasa kama anazusha?
Mkuu,hongera sana,unazidi kuongoka.Huyu bwana ana agenda ya siri na anaicheza kwenye uhai wa Raia 41m. Hii ni zaidi ya siri na muda ndio utakao jibu nakuifumbuwa siri hii.
Taifa lipo vipande viwili wanao mwamini mtemi kwamba zile risasi wakipigwa zitageuka maji na kamwe hazito wadhuru. Kwa bahati mbaya wanao amini wanaenda vitani wanauwawa na hawarudi kumwambia Kinjekitile yule mganga wake ni fake. Wengi wakafa na mwishowe na yeye akauwawa.
Miaka imepita sasa tumempata kinjekitile wa dunia yakisasa amesema jifukizen chapa kazi. Well kwa njaa zetu tunachapa kazi ila kati yetu wengi watapotea nambaya hawato toa majibu ya kweli. Itakuwa ni hatari juu ya hatari.
Wenye akili wote waling'amua pale paleMost likely hapakuwa na kitu hicho. Ni kuhalalisha anayoyafanya kuhusu corona, kuzipa uzito sentensi zake za mitishamba na kuwa siyo kuwa anawasukumia wengine bali na yeye ndizo anazotumia.