Inaambukiza pia kupitia mate mate yanayotoka mdomo ni. Usipokuwa na barakoa mate yanaweza kutuma na kutua ukutani, juu ya meza, kwenye kutasa ni. Anaeyashika mate haya ni rahisi kupata maambukizi.COVID haimbukizwi kwa kupitia kinywani tu hata ukivuta oxygen kama kuna mtu aliyenayo karibu yako unaweza kabisa kuipata. Kumbuka kuna wengi wanayo lakini ni ASYMPTOM na ukiwa jirani na mtu aliyenayo huku wewe umevaa 😷 unapunguza percentage ya kuambukizwa toka 100% hadi 4% that’s HUGE. Please protect yourself and your loved ones.
Duuh hamna aliyeváa Barakoa hata mmoja. Hii ni hatari sana aisee
Maoni ya nini na mtu aliyechaguliwa na watu milioni nane kasema ...Rais Magufuli ametangaza kufungua vyuo, Michezo na kidato cha sita kuanza masomo Juni 1, 2020, amesema pia mikusanyiko hiyo itasaidia kupata 'herd immunity'.
Nini maoni yenu?....
Umesema kweli.Kila mtu ashinde mechi zake za maisha
Tunashukuru.Vyuo tarehe 1-6-2020
Baba kasema
Pamoja na yote MAGUFULI anamuamini YESU na kwamba yeye ni mkuu kuliko ugonjwa na imani yake ndiyo imetuponya watanzaniaUelewe! Barakoa hutumika sehemu ambazo hakuna uwezekano wa kukaa mbali mbali kiasi cha angalau mita moja kati ya mtu na mtu kama vile kwenye vyombo vya usafiri wa umma.
Nasikita mfumo umeshakua distorted tayari, Ngoja tuonewe mzee vipi cheko? 😀
[emoji23][emoji23][emoji23]hayo mambo mengi ndo mtihan kwao , sema wakujielewa changanya na uchaguzi !!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Barakoa zina short and long term effects ujue. KKama si lazima sana is better kutokuvaa.Hahahaa hahahaaaaa Magu kawachimba beat hakuna kuvaa barakoa. Haki ya Mungu huyu mzee ana shida sana!