Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Wise words...
 
Reactions: BAK
Nimeogopa hapa nimemwona mkuu wa majeshi akiweka mikono usoni.Kagusa pua mdomo. Halafu li Kabudi linajisifu kutokuvaa Barakoa. Kumbe hawavai Barakoa kisa Boss wao kasema ?I thought ni kutoka mioyoni mwao.
Unaogopa vitu visivyo na maana

Senti bai yuzingi tecno T301
 
Mie nikiivaa napata mafua...Nimeshindwa
 
Mimi nijuavyo, kama umekaa na mwenye corona,hamuongei,yeye na wewe mnavuta hewa na kutoa kupitia pua uwezekano wa kukuambukiza ni mdogo.

Lakini muwe mnapiga story, mfano m acheza draft au karata mnaongea na kucheka. Hapo maambukizi lazima,maana unapoongea unatoa vapour ambazo zinakua na tinny droplets in aerosol form, na virus wanabaki hewan kwa dakika Kama 15 hivi.

Hapo maana yake Kuna uwezekano maambukizi yamekuwa ya kutosha kuachieve immunity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…