Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

Sasa mhehishimiwa Zitto, mimi ninashindwa kuelewa kuwa je wewe unahusikaje katika utendaji wa makamba na pia namna magufuri anapoamua nani afanye nae kazi.

Maana naona kama umekuja hapa kumtetea makamba as if una personal interest na yeye. Sasa kama mheshimiwa rais kaona haijafaa kufanya nae kazi na pia kuna lile swala la mazungumzo ya simu ambayo imeonyesha wazi kuwa huyu huyu January makamba alikuwa ana mipango ya hila inaendelea huko kando, why unataka mheshimiwa raisi ati amuache tu aendelee kuwapo.....?!

Sasa kimsingi nataka tu nikwambie raisi ni taasisi kamili. Sasa wanainchi tunafanya maelekezo yake.... Subiria muda wake utapita na ninyi mtapata wasaa wa kuongoza na kuhoji hayo maswala yenu ya kipolisi.
 
Wewe ulikuwa nae huko ofisini akichapa kazi au kujipendekeza tu na haujui hata unalosema.

Kama ni mchapakazi mchukue ukachape nae kazi wewe
 
Mpumbavu mwenyewe, hapo nimetaja mambo mengi tu ila kwa sababu wewe ni mpumbavu huuoni ukweli
 
CAG akamatwe kwa kuleta data feki maaan zitto sio CAG
 
Hatunywi sumu,
hatujinyongi ccm mbele kwa mbelee.
Wacha waisomee namba ehh ccm ni mbele kwa mbelee.
 
well spoken mr.zitto keep it up[emoji1474]
 
Mzee rudi kwenye mikeka kule kuna friend game nyingi tu
 
Wewe ulikuwa nae huko ofisini akichapa kazi au kujipendekeza tu na haujui hata unalosema.

Kama ni mchapakazi mchukue ukachape nae kazi wewe
ni jinsi gani watanzania hatupendi kukubaliana na hali halisi, tusiendekeze chuki hata sehemu ambayo haina chuki, inawezekana anaka na mapungufu yake mengine ya kibinaadamu ilakwenye suala la uchapaji kazi January kwa kweli hakunaga kabisa
 

Hapo kwenye bold, kwamba wapinzani wangeandamana au ................. inawahusu? Mana ndio silaha walioitumia sana. ila Impact ipo sio lazima uione leo
. Japo kuwa wamedhibiti mana kila mtu akijaribu kuangalia uwezekano wa kuhama NI MOTO, Wazichape umoumo
 
Si ACT wala CHADEMA wala CCM mimi ni mwanachama wa Zitto kama Zitto.


Kwa hili Mh. Zitto naomba ukae kimya tu.


Waparuane akili zikae sawa wenda watasikia walalahoi wanahitaji nini.


Ndege au Kuongeza kuajili walimu vijijini
 
Zito! sometimes unazingua babu! waache wachomane wao kwa wao!
Anamvizia January Makamba ! 🤔 Du ! Zitto mtu mbaya sana. Kwenye uchaguzi walisema January ndio alikua anadukua matokeo ya kura, Leo amekua waziri Bora kipenzi cha watu daa ! Mchikue tuuu ! Sio kumpambapamba !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…