Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Chadema mko chini ya wizara ya mazingira?!Mkuu tuseme ukweli tu, umewahi kumsikia hata siku moja makamba analaani kupigwa risasi Lissu, kuteswa wapinzani, kutekwa wapinzani, kuuawa wapinzani n.k. eti leo kichwa cha panzi kasahau kila kitu anawatetea maccm
Hata akihama hawezi kugombea nafasi yeyote we unafikiri kwanini ameondolewa saivi na si kipindi cha nyumaTafadhali sana ndugu zito,
Usije ukamshauri bwana January kujiunga na upinzani.
Tunataka abakie huko huko ccm.
Januari usije ukaenda chama chochote ch upinzani.
Usije ukathubutu.
Baki hapo hapo.
Chezeni karata zenu vizuri.
Sijamsikia popote Rais Magufuli akitaja sababu za kumtumbua January. Ni kama vile unamlisha maneno!
Hapo zito anatumia ule msemo wa "The enemy of my enemy is my friend"Naona sasa umegeuka na kuwa mtetezi wa CCM, tumeshakudharau
Bora akae kimya na wewe ukae kimya kwa sababu tutagombana, lini ulimuona au kumsikia makamba analaani manyanyaso zidi ya upinzani, kupigwa risasi, kufutwa ubunge, kuuawa wapinzani n.k. sasa yeye Zitto anajifanya kimbelembele kuwatetea maccmHapana mkuu, kwenye issue ya Zitto kumchalenji JPM katika asemayo kuhusu January ni kweli kabisa.
Ni jambo baya sana mkuu wa nchi kusingizia mtu kwa vile anajuwa hawezi kubishana naye.
Kwenye mifuko ya plastiki Jpm anataka kujifanya alihusika wakati sio yeye maana imefanikiwa bila usumbufu kwa raia tofauti na operashini zake anazisema zina hitaji MTU kichaa kuzitekeleza.
Alisema, NEMC, Rufiji mikoko, miladi hewa NEMC, ucheleweshwaji wa vibari vya viwanda. Hizo ndizo sababu et.Sijamsikia popote Rais Magufuli akitaja sababu za kumtumbua January. Ni kama vile unamlisha maneno!
Sii yawekwe wazi! Mbona tumaneno maneno kama kitchen party?Mchukueni awasaidie kwenye chama chenu,usimpangie rais cha kufanya ,yapo maovu mengi nyuma ya pazia aliofanya January ,na sasa kalipwa,
Sisi ni watanzania tupo chini ya wizara zote kwa kifupi tupo chini ya serikali hiiKwani Chadema mko chini ya wizara ya mazingira?!
Wakati mimi natumia ule msemo wa ukiona maadui zako wanapigana waangamize wote, sio kumsaidia mmojaHapo zito anatumia ule msemo wa "The enemy of my enemy is my friend"
Kwahiyo amesema amemtumbua kwa sababu hizo?Magufuli abainisha sababu ya kumng’oa Makamba
MONDAY JULY 22 2019
Kwa ufupi
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametaja mambo matatu yaliyokuwa changamoto katika Wizara ya Nchi katika ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) akisema hayakutekelezwa kwa ufanisi kwa miaka minne ya utawala wake.
ADVERTISEMENT
By Elias Msuya, Mwananchi emsuya@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, John Magufuli ametaja changamoto zilizochukua muda mrefu kutekelezwa katika Wizara ya Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) ikiwa ni siku moja baada ya kumng’oa aliyekuwa Waziri January Makamba aliyeitumikia wizara hiyo kwa miaka minne mfululizo.
Miongoni mwa sifa alizojizolea Makamba katika uongozi wake ni kutekeleza katazo la mifuko ya plastiki tangu Juni 1 mwaka 2019.
Hata hivyo, akizungumza wakati wa kuwaapisha leo Jumatatu Julai 22,2019 George Simbachawene (Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira) na Hussein Bashe (Naibu Waziri-Kilimo), Rais Magufuli amesema katazo hilo lilicheleweshwa.
“Nakumbuka kwenye suala la plastiki lilichukua muda mrefu, mpaka miaka minne. Nikasaini halikutekelezwa, Makamu wa Rais (Samia Suluhu Hassan) akazungumza, halikutekelezwa, Waziri Mkuu (Kassim Majaliwa) akaenda kuzungumza bungeni halikutekelezwa. Mpaka hapa mwishoni nilipotoa amri ya lazima ndipo likaanza kutekelezwa,” amesema Rais Magufuli.
Ametaja pia suala fedha za miradi ya mazingira akisema kuna fedha zinazotolewa na wafadhili lakini hazitumiki vizuri.
Bahati nzuri utajifunza (Simbachawene) kwa Makamu wa Rais, ambaye ni msimamizi mzuri.
Hapana mkuu, kwenye issue ya Zitto kumchalenji JPM katika asemayo kuhusu January ni kweli kabisa.
Ni jambo baya sana mkuu wa nchi kusingizia mtu kwa vile anajuwa hawezi kubishana naye.
Kwenye mifuko ya plastiki Jpm anataka kujifanya alihusika wakati sio yeye maana imefanikiwa bila usumbufu kwa raia tofauti na operashini zake anazisema zina hitaji MTU kichaa kuzitekeleza.
Mkuu nimesikiliza vizuri na yote uliyoyaandika nimesikia ila sijasikia akisema kwamba kutokana na sababu hizo ndio kamtumbua January son of Makamba!Ulikuwa husikilizi au hukuelewa
Kasema kulikua na miradi hewa ya kupanda mikoko, matumizi mabaya ta fedha za wafadhili, na marufuku ya mifuko ya plastiki aliichelewesha kwa miaka 4 na hata lilipotekelezwa juzi ni yeye alimlazimisha
Sijui kama ni kweli au ni kumpaka matope jamaa, Makamba nae katia ngumu, kagima kwenda Ikulu leo kama watumbuliwa wengine wanavyohudhuria
Tunachozungumza hapa Zitto kama mpinzani aliwahi kumuona makamba anapinga kutekwa wananchi, kulaani kitendo cha kupigwa risasi Lissu, kulaani mateso kwa wapinzani, n.k. mbona yeye anajifanya kimbelembele kuwatetea maccmMkuu mimi mwenyewe siyo ccm kabisa ila nilimwuunga mkono January kwenye issue ya kukomesha matumizi ya Plastic kwa hiyo.