Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

Tatizo wewe ni msahaulifu, hivi uliwahi kumuona hata kwa dakika mbili tu makamba anatoa pole au kulaani kitendo cha kupigwa risasi Lissu, au kutekwa wananchi, au kuwekwa jela wapinzani akiwemo Zitto mwenyewe, kuuawa wananchi n.k.?
Hakuwahi kuongea chochote kuhusiana na dhahama zote hizo,so na yeye matatizo yake apambane nayo mwenyewe na dingi ake.

Full stop.
 
siku moja weekend nilikua na wageni wakiwepo wazazi wangu na vijana wangu wawili nikajitusu kwenda kukodi CD nikaipenda ya VAN'DAMEZ nikiwa najiamini kabisa nikampa kijana mmoja akaiweke kwenye kwenye deki na huku nikimuagiza alete na remote ya deki hahaha ile imeanza tu hata remote haijanifikia alaula! dah! kumbe ni PORN aisee sikua na namna zaidi ya kuisukuma TV idondoke
 
Inasikitisha sana...

Ni kweli kabisa... ila hapo naona kuna neno "Dhaifu" limetumika tena... hili neno sii lina jinai ndani yake?

Bunge liliitwa "Dhaifu" habari yake haikua ndogo...


Cc: mahondaw
 
Naunga mkono hoja.
 
nimependa makamba ambavo hajaenda leo ikulu kama watumbuliwa wengine huwa ni lazima waendee kusujudu kijana kaonesha kuwa ikulu kaanza kuingia kitambo so si lazima akasujudu
 
Aibu kubwa sana jamani. Huyu vipi? Mbona hadi watoto wanajua kuwa January kaonewa! Bora angepiga kimya tu. Hii sasa inatia hasira. [emoji35]
 

Haaaahaaaaa….kwani hata wewe ni lazima ujibu kila kitu anachozungumza Rais? At least ukienda Kigoma labda.

una baadhi ya wana siasa mna mikono yenu kwenye matatizo ya rushwa na wizi wa mali ya umma yaliyokithiri Tanzania. Manahangaika sababu hamjazoea kula bila kukomba mboga
 
Huu uchapakazi ni pamoja na ule wa ku injinia goli la mkono?
 
Aibu kubwa sana jamani. Huyu vipi? Mbona hadi watoto wanajua kuwa January kaonewa! Bora angepiga kimya tu. Hii sasa inatia hasira. [emoji35]
Nani aliyemuonea? Kuchaguliwa na kutenguliwa si ridhaa ya anayechagua kwa katiba ya nchi yetu?
 
Zitto hujakosea kuhusu ubunifu wa huyu jamaa maana kaibuka na usanifu wa Waraka wa makatibu wakuu wawili wastaafu Adonia wa zama za Magufuli katika ubora wake.
 
Jibu kuhusu hili
 
ila wewe mkuu Zitto ndiye kiboko hasa cha JPM.

naona huwa unampaga za uso kiasi kwamba si yeye mwenyewe wala system yake wote huwaga wana paralyse kabisa wasijue cha kukufanya wala kukujibu.

mkuu kongole sana - umewaweza haswa na wanakuogopa mnoo.

wewe na another fearless Lissu mkifanya collabo 2020 patachimbika!
 
Zitto unamtetea January? Haaa, rafiki yako unayepeana majungu na kumsema vibaya JPM katumbuliwa, sasa ZZK si umchukue aingie ACT ww si mwenyekiti..!! Hii nchi vituko vingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…