Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, kama kweli ni mcha Mungu basi muombe radhi Halima Mdee na watu wa Kawe kwa uliyosema hadharani maana uligusa maisha ya watu

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, kama kweli ni mcha Mungu basi muombe radhi Halima Mdee na watu wa Kawe kwa uliyosema hadharani maana uligusa maisha ya watu

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.

Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.

Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.

Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?

Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.

 
Elewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandamana na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli. Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying. Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe. Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby. Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Ulishaenda Ilala ukaangalia jinsi kulivyo? Kwahiyo Zungu naye alikuwa mahabusu? Rais Magufuli anatumia jukwaa kudanganya waziwazi kwenye maeneo ambayo yalikuwa yamekaliwa na upinzani. Mbaya zaidi uongo wake ni mbaya sana!
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli. Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying. Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe. Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby. Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Kwa hiyo ulitaka atumie mkorogo ndio afanye hiyo lobbying au,hapo Hanna kingine zaidi ya ubaguzi
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli. Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying. Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe. Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby. Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Mkuu ukasome vizuri maana ya neno lobbying, kimsingi lobbying inafanywa na private groups Kama NGO

Mbunge Ni sehemu ya serikali akiwakilisha mawazo ya wananchi bungeni

Kama mbunge kawasilisha matatizo ya wananchi wake bungeni halafu serikali haijatekeleza ujue hapo Ni uzaifu wa bunge.

Mbunge akiongea bungeni haitaji ku lobby , Bunge linatakiwa lifuatilie utekelezaji wa hoja zilizotelewa na wabunge bungeni

Sasa kwa mfumo wetu mbovu eti mbunge afanye lobbying

Ndio maana cag aliyeondolewa kinyume cha utaratibu alisema Bunge letu ni dhaifu
 
Mbunge hajanisumbua mimi wala mawaziri wangu. Tunamsikia mbunge akiyasema huko bungeni na kuomba majibu kwa waziri.

Je waziri kamdanganya JPM? Hapo Hapo kumbuka JPM katuambia mkichagua mpinzani inakula kwenu na akatoa mfano wa Bunda. Naona labda Kawe nao walikuwa wana adhabu na sasa ili kutimiza nia yake ya kumpaisha Gwajiboy anawadanganya watu wa Kawe ili wamuone Halima hafai.

Katuona mafala anasema maendeleo hayana vyama hapo hapo hataki kusikia wabunge wa upinzani.
 
Magu mara zote kwenye kampeini zake anasema waziwazi kuwa hakuleta maendeleo kwenye majimbo yaliyochagua upinzani.
Na bado anawatishia wapiga kura kuwa endapo watachagua tena wapinzani wasahau maendeleo kabisa endapo atashinda katika uchaguzi huu.
Cha ajabu mtu huyo huyo anahubiri kuwa maendeleo hayana chama,yaani ni vigumu kumwelewa mtu Hutu.
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli. Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying. Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe. Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby. Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Public figures have to keep their words and that any decision you make in life you are responsible for it
 
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.

Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.

Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.

Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?

Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.

Magufuli kadanganya vingi sana kwenye kampeni hii
 
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.

Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.

Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.

Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?

Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.

Shame up on you Mr. President.
 
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.

Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.

Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.

Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?

Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.

Upuuzi mtupu, mwaka huu kijani kuanzia mwenyekiti wa serikali ya mtaa mpaka Rais ndio watanzania wanajambo lao Oct 28.
 
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli. Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.

LOBBYING, lobbying, lobbying. Elewa hilo.

Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe. Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.

Hana muda wa ku lobby. Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Atupeleki maendeleo majimbo ya upinzani, maendeleo hayana chama sasa tushike lipi.
This time msipotuletea maendeleo nanyi sahauni kuhusu kodi zetu
 
Magu mara zote kwenye kampeini zake anasema waziwazi kuwa hakuleta maendeleo kwenye majimbo yaliyochagua upinzani.
Na bado anawatishia wapiga kura kuwa endapo watachagua tena wapinzani wasahau maendeleo kabisa endapo atashinda katika uchaguzi huu.
Cha ajabu mtu huyo huyo anahubiri kuwa maendeleo hayana chama,yaani ni vigumu kumwelewa mtu Hutu.
Katiba yetu inasema haya:
13.-(1) Watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki,

bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa mbele ya

sheria.

(2) Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka

yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo

ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake.

(3) Haki za raia, wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya

watu yatalindwa na kuamuliwa na Mahakama na vyombo

vinginevyo vya Mamlaka ya Nchi vilivyowekwa na sheria au kwa

mujibu wa sheria.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania



(4) Ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu au

mamlaka yoyote inayotekeleza madaraka yake chini ya sheria

yoyote au katika utekelezaji wa kazi au shughuli yoyote ya

Mamlaka ya Nchi.

(5) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya ibara hii

neno "kubagua" maana yake ni kutimiza haja, haki au mahitaji

mengineyo kwa watu mbalimbali kwa kuzingatia utaifa wao,

kabila, pahala walipotokea, maoni yao ya kisiasa, rangi, dini,

jinsia au hali yao ya maisha kwa namna ambayo watu wa aina

fulani wanafanywa au kuhesabiwa kuwa dhaifu au duni na

kuwekewa vikwazo au masharti ya vipingamizi ambapo watu wa

aina nyingine wanatendewa tofauti au wanapewa fursa au faida

iliyoko nje ya masharti au sifa za lazima, isipokuwa kwamba neno

"kubagua" halitafafanuliwa kwa namna ambayo itaizuia Serikali

kuchukua hatua za makusudi zenye lengo la kurekebisha

matatizo katika jamii.
 
Back
Top Bottom