Magufuli hoyiiiiMwenyekiti anatatizo la memory huenda hata 1mb haifiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hoyiiiiMwenyekiti anatatizo la memory huenda hata 1mb haifiki
Nasikia Kuna minong'ono ya Serikali ya mseto ndani ya WanaCCM asiliaMagufuli hoyiiii
Kuwe na baraza jipya kabisaaa.....watanzania wamechoka kuona mawaziri walewale mpaka wanazeekea ktk uwaziriNasikia Kuna minong'ono ya Serikali ya mseto ndani ya WanaCCM asilia
Dodoma tangu Uhuru hakuna mpinzani mbona haifiki hata UbungoLobby lobby lobby.
Halima hili kashindwa kabisa.
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1603004
Hahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una maana Bunge la Jamhuri ya Muungano ni kijiwe cha wapayukaji? Huna adabu kabisaEkewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Jidula . Budget imetengwa mpaka lobbying ?! Kama ni hivyo akina Halima wanalaumiwa bure. Kwanini mpaka lobbying ?!Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Badala ya kumpaisha Gwajima kajidatisha mwenyeweMbunge hajanisumbua mimi wala mawaziri wangu. Tunamsikia mbunge akiyasema huko bungeni na kuomba majibu kwa waziri.
Je waziri kamdanganya JPM? Hapo Hapo kumbuka JPM katuambia mkichagua mpinzani inakula kwenu na akatoa mfano wa Bunda. Naona labda Kawe nao walikuwa wana adhabu na sasa ili kutimiza nia yake ya kumpaisha Gwajiboy anawadanganya watu wa Kawe ili wamuone Halima hafai.
Katuona mafala anasema maendeleo hayana vyama hapo hapo hataki kusikia wabunge wa upinzani.
Kuwa na kiongozi mkuu wa nchi ambaye anaongea kama masanja mkandamizaji ni hatari sana kwa usalama wa nchi.Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.
Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.
Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.
Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?
Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.
Kuwa karibu na mteja wako!Jidula . Budget imetengwa mpaka lobbying ?! Kama ni hivyo akina Halima wanalaumiwa bure. Kwanini mpaka lobbying ?!
Mleta mada umefanya vizuri sana kuambatanisha clip yenye maelezo ya Ndugu Halima akiwa bungeni. Nimeisikiliza mara tano CLIP hii kwa nia ya kuelewa ni namna gani Ndugu Halima alikuwa anaeleza kero na kutoa mapendekezo sahihi ya kutatua kero hizo.... anatatizo la memory huenda hata 1mb haifiki
Lakini safari hii kakwama kwa Toto Tundu!!Kila akidanganya Tundu anapangua vihoja vya Magufuli kwa hoja zenye mashiko!!Magufuli kadanganya vingi sana kwenye kampeni hii
Kwani uongo?Una maana Bunge la Jamhuri ya Muungano ni kijiwe cha wapayukaji? Huna adabu kabisa
Realpolitik!Nchi ya hovyo sana hii...
Maendeleo ya nchi hayana neno "LOBBYING",kama ni hivyo kuna sehem zitakua Dubai na zingine jehanam..
Yaani maendeleo ya nchi yanategemea utashi na maamuzi ya mtu na sio sheria za nchi na economic output ya eneo husika?
Ndio maana tunataka katiba mpya kama ya Kenya,kuna formula maalumu kila eneo lipate maendeleo kwendana na output yake na formula husika
Hakuna upumbavu eti wa mtu anaeitwa Magufuli akiamka kichwa chake kimemtuma NO,nasi ni NO as if hela zinatoka mfukoni mwake mwenyewe binafsi....
Nchi hii inahitaji KATIBA inayo guarantee yote haya na sio "LOBBYING" unayosemea hapa!
Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Mkuu humu jamvini wengi ni vilaza tu!Umenikumbusha chuoni, hii ni course kabisa inaitwa adivocacy and lobbying, hata upige kelele kiasi gani wananchi wanachotaka kuona ni impact yq hizo kelelem
Stupidity still rests with fools who shout themslves hoarse, then go to sleep expecting that somebody heard them in the first place!Stupid comment yaani bungeni kupayuka na hivi lobbying ipi unyoongea wewe kama Rais amesema kabisa akiwa bariadi kuwa hakujenga barabara ya lami lami bunda kwa sababu wananchi walichagua mbunge wa upinzani as if kodi ya wananchi ni pesa zake za mfukoni. Ni wazi kwamba kawe ni jimbo la upinzani pia ndiyo sababu Rais hakutekeleza miradi ya maendeleo. Anataka kutupangia wananchi muwakilishi wetu wa jimbo hilo haliwezekani sisi tutachagua tunayemtaka
Hivi mkuu hiyo lobbying ndio utaratibu wa ufanyaji kazi?Ekewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.