Njia ya mwongo fupi. Aibu!Ulishaenda Ilala ukaangalia jinsi kulivyo? Kwahiyo Zungu naye alikuwa mahabusu? Rais Magufuli anatumia jukwaa kudanganya waziwazi kwenye maeneo ambayo yalikuwa yamekaliwa na upinzani. Mbaya zaidi uongo wake ni mbaya sana!
Hata kama. Sisi DSM tuna uwezo wa kujenga mitaro mikubwa ielekee babarini. Kama alivyobomolea Kimara basi na huku mjini abomoe nyumba hasa zile zilizojengwa kwenye mkondo wa maji. Si ndiyo anayethubutu huyo eti ehhh? Shida moja ni kinyongo kwa kuwa DSM ni mkoa wa upinzani. Kama mkristu kweli aondoe vinyongo kwa wote asiyowapenda hasa wachaga utafikiri walimuibia mke. Chuki, vinyongo na visasi. Habari ya haki na uhuru hapo nimeweka komeo mdomoni.
Mkuu hakuna logic katika argument yako kulinganisha na mada hii.Hata kama. Sisi DSM tuna uwezo wa kujenga mitaro mikubwa ielekee babarini. Kama alivyobomolea Kimara basi na huku mjini abomoe nyumba hasa zile zilizojengwa kwenye mkondo wa maji. Si ndiyo anayethubutu huyo eti ehhh? Shida moja ni kinyongo kwa kuwa DSM ni mkoa wa upinzani. Kama mkristu kweli aondoe vinyongo kwa wote asiyowapenda hasa wachaga utafikiri walimuibia mke. Chuki, vinyongo na visasi. Habari ya haki na uhuru hapo nimeweka komeo mdomoni.
Taira wwElewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1603004
Hahaaaa😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
Serikali potovu sana hii inataka wabunge wafanye lobbying kupata maendeleo!?Elewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.
Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.
Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.
Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?
Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.
Kilaza ni wewe mwenyewe na jopo lenu la maamuma wenye Phd za kukaririMkuu humu jamvini wengi ni vilaza tu!
Hawaelewi haswa demokrasia inataka nini na limitations zake.
Bungeni ni mahali pa ku let off political steam, nothing else.
Mtu kama Halima akitegemea atapayuka tu na kitu kitatekelezwa , huyo basi hajui yuko pale kufanya nini.
Majimbo yote ya upinzani alikuwa akisema wazi ushauri yenu na mbunge wenu wa upinzani, sitoi hela.Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.
Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.
Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.
Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?
Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.
Mpumbafu wewe kodi nilipe,maendeleo niletewe kwa kufanya lobbying.Elewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandama na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Sio mbumbumbu tu! Ni zwazwa, zuzu lisilo na chochote kichwani! Hopeless kabisa huyu brwzaHuyu Magufuli Mwalimu wa chemistry ni mbumbumbu sana lakini yeye anajiona ana akili sana. Memory yake ndogo sana halafu anadanganyika kirahisi na waliomzunguka.
Urslf
Tueleze mafanikio ya Halima after 10 yrs.Serikali potovu sana hii inataka wabunge wafanye lobbying kupata maendeleo!?
Mie kilaza lakini wewe una PhD ya Ukilaza Original.Kilaza ni wewe mwenyewe na jopo lenu la maamuma wenye Phd za kukariri
Mko wengi wapmbf mnao fikiri kama wewe.Mpumbafu wewe kodi nilipe,maendeleo niletewe kwa kufanya lobbying.
Hatuhitaji hisani kupata maendeleo.
Tunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.
Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.
Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.
Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?
Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.
CCM kwisha habari yaoTunaweza kuneneana uongo lakini siyo wa kiwango hiki. Kama kweli waziri wako alikujibu hivyo kama unavyosema hapa basi huwa hufuatilii mambo kwa undani.
Na kama ulijua hili ila ukaamua tu kuwaacha wanakawe wateseke kwa sababu tu unamchukia muwakilishi wao basi machozi ya watu kama walilia yatarudi kwako.
Sasa basi, kuepusha dhambi, na kwakuwa jambo hili liligusa moja kwa moja maisha ya watu, ni vyema ukaomba radhi ili roho yako iwe nyepesi.
Mbunge anasema jambo ambalo linaathiri maisha ya watu kuwa kaliongea mara 15 bila utekelezaji. Je, ni chuki? Na kama ni chuki, tunaleteana chuki za kisiasa hadi kufikia hatua ya kuangamiza maisha ya watu? Kufanya watu wateseke?
Haya nimekuunganishia video ili uone kama utaamua kuomba radhi haya, maana jambo hili liliathiri maisha ya watu tena mara kwa mara.
We punguani kweli! Sijawahi kuona bunge la ajabu kwenye history ya Nchi hii kama hili la Ndugai na Tulia. Ni Bunge lililopoteza maana kabisa ya kuisimamia serikali. Serikali ilikuwa na nguvu ya kufanya chochote inachotaka. Bunge la kipuuzi! Na tuache unafiki tumefikishwa hapa kwa sababu ya watu wawili tu Ndugai na Tulia waliokuwa wakicheza ala za mpiga zumari Magufuri aliyekuwa akiwapa maelekezo ya kupingana na kila jambo linaloletwa na baadhi ya wawakilishi wa wananchiUna maana Bunge la Jamhuri ya Muungano ni kijiwe cha wapayukaji? Huna adabu kabisa