Mtukufu magufuli hana kumbukumbu yeye hukariri vya cyprian Musiba na polepole bila kutafakari huropoka matokeo yake ni kujidhalilishaHuyu Magufuli Mwalimu wa chemistry ni mbumbumbu sana lakini yeye anajiona ana akili sana. Memory yake ndogo sana halafu anadanganyika kirahisi na waliomzunguka.
Acha hizo hayo madai yako hayana mashiko hata vigezo vyako ni vya kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM na polepole, Kwa watu wanaojitambua wanajua kikwazo kikuu kwa Halima mdee ni watekelezaji wa kero zote ambao ni meya CCM na mkurugenziccm waliopo kwenye halimashauri ya Kinondoni, Bungeni kila kitu kimefikishwa vizuriAuote!
Lobbying ndio. Demokrasia yenyewe.
1.Unapayuka bungeni
2. Unapata ahadi ya utekelezaji.
3.Unafuatilia kwa karibu vyombo vya utekelezaji na aliyeahidi bungeni.
Kuishia step no 1 ni kwa novices kama Halima, anapayuka bungeni bila ufuatiliaji.
Yeye anaishia kuandamana kwa mambo yasiyo wahusu wana Kawe halafu anaishia selo.
No time kufuatilia ya bungeni maana Halima ana makesi kibao yasiyowahusu wana Kawe.
Bora tumpunzishe aendelee na makesi yake anayoyahusudu, ili Gwajima afanye kazi tutakayomtuma.
Hata isambazwe mitandaoni kote Duniani wajue unafiki uongo wa CCM...yani hii clip inatakiwa itumike kwenye mikutano yote iliyobaki ya Lissu na Mdee ...watumie njia anyotumia Lema ya kuweka clip yote kwenye maspika makubwa wakati wa mikutano...na kuijadili kwa kina huku wananchi wakisikiliza kwenye maspika makubwa.....
Hili jambo linatakiwa likemewe kwa nguvu zote na lisipite hivi hivi...maana Halima na Lissu wote wameadhibiwa kwa tuhuma tu za kutokuwa wakweli kwenye matamshi yao...Sasa nao watume ujumbe kwa nchi kwa kuijadili hii clip kwa upana wake na nchi ijue.....
Mkuu mbona kama umelishwa sumu ya kupinga kila kitu.Acha hizo hayo madai yako hayana mashiko hata vigezo vyako ni vya kuishi kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM na polepole, Kwa watu wanaojitambua wanajua kikwazo kikuu kwa Halima mdee ni watekelezaji wa kero zote ambao ni meya CCM na mkurugenziccm waliopo kwenye halimashauri ya Kinondoni, Bungeni kila kitu kimefikishwa vizuri
Lazima wajipange hivyo endapo jumuia za kimataifa zitawakalia kooniNasikia Kuna minong'ono ya Serikali ya mseto ndani ya WanaCCM asilia
Majimbo ya CCM yana umasikini wa kutupwa hakuna jimbo la CCM lenye maendeleoKAMA INGEKUA MAJIMBO YOTE YA CCM YANA MAENDELEO MAZURI, BASI NINGEAMINI KAULI ZAKE ILA KWASASA ASITUDANGANYE ETI SEHEMU FLANI HAIJAENDELEA KISA IMECHAGUA UPINZANI.
MBONA MAJIMBO YA MKOA WA DODOMA YOTE YANATAWALIWA NA CCM LAKINI TUNASHUHUDIA JIMBO LA NDUGAI WANAFUNZI BADO WANAKAA CHINI NA HAWANA MADARASA YA KUSOMEA?
Hapa miccm yaweza kusema yalipelekwa huko na Halima mdee
Ndiyo maana Ndungai alipiga bilion 12 akiwa india akamgawia Tulia kisha kumpiga marufuku CAG kusogelea hesabu za bunge akashinikiza mtukufu magufuli amtoe CAG kafaraWe punguani kweli! Sijawahi kuona bunge la ajabu kwenye history ya Nchi hii kama hili la Ndugai na Tulia. Ni Bunge lililopoteza maana kabisa ya kuisimamia serikali. Serikali ilikuwa na nguvu ya kufanya chochote inachotaka. Bunge la kipuuzi! Na tuache unafiki tumefikishwa hapa kwa sababu ya watu wawili tu Ndugai na Tulia waliokuwa wakicheza ala za mpiga zumari Magufuri aliyekuwa akiwapa maelekezo ya kupingana na kila jambo linaloletwa na baadhi ya wawakilishi wa wananchi
Tongo tongo zipi wakati wewe mwenyewe una matongotongo? Unawezaje kujua chochote wakati umekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM mpaka umejitoa fahamu zoteWatu wajinga wajinga kama ninyi hebu msome bandiko langu no 140, immediate kabla la hili.
Utaelimika na kukusaidia kuondoa tongo tongo za kisiasa.
Kumbuka mbunge ni diwani.Je ni kweli mbunge huyu atakuwa akitoka bungeni haingii hata kwenye vikao vya council kwa miaka yote mitano?Mbunge ni mjumbe wa bodi ya barabara,aulizie barabara bungeni ashindwe kufuatilia jimbon kwake?Auote!
Lobbying ndio. Demokrasia yenyewe.
1.Unapayuka bungeni
2. Unapata ahadi ya utekelezaji.
3.Unafuatilia kwa karibu vyombo vya utekelezaji na aliyeahidi bungeni.
Kuishia step no 1 ni kwa novices kama Halima, anapayuka bungeni bila ufuatiliaji.
Yeye anaishia kuandamana kwa mambo yasiyo wahusu wana Kawe halafu anaishia selo.
No time kufuatilia ya bungeni maana Halima ana makesi kibao yasiyowahusu wana Kawe.
Bora tumpunzishe aendelee na makesi yake anayoyahusudu, ili Gwajima afanye kazi tutakayomtuma.
Mkuu tulia kama unanyolewa!Tongo tongo zipi wakati wewe mwenyewe una matongotongo? Unawezaje kujua chochote wakati umekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM mpaka umejitoa fahamu zote
Hivi wana Kawe si watanzania wanaolipa kodi...kwa nini serikali usisikilize maombi ya mwakilishi wao hata kama ni mpinzani...?Elewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandamana na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Tatizo kubwa la Halima ni kujifanya mjuaji kwa kisias, wa town.Kumbuka mbunge ni diwani.Je ni kweli mbunge huyu atakuwa akitoka bungeni haingii hata kwenye vikao vya council kwa miaka yote mitano?Mbunge ni mjumbe wa bodi ya barabara,aulizie barabara bungeni ashindwe kufuatilia jimbon kwake?
jambo la pili ambalo unakwepa lakini mkuu amelizungumzia mara nyingi nila kutokupeleka chakula kwa mtoto wa kambo (whether it was a joke lakini imesaidia ku justify kwa nini kuna baadhi ya mambo hayakwenda).
Hatred towards watu wenye mawazo tofauti,impact yake ndiyo hii sasa.
Mpeni Gwajima mpate maendeleo.
Hivi kwa akili yako Finyu Rais anauliza kama Kuna Mradi unaotakiwa kutekelezwa Jimbo la KAWE, ambao Mbunge wake anasumbua sumbua kuulizia ili autekeleze na anasema majibu yakaja Hamna! Na wewe Zuzu Unaamini....!Elewa na ufikiri vizuri juu ya tamko la Mh Magufuli.
Kupayuka bungeni kila mwenye mdomo anaweza, hata asiye na akili.
LOBBYING, lobbying, lobbying.
Elewa hilo.
Halima hajui kitu lobbying, miaka yote kumi hajawahi ku lobby miradi kwa ajili ya wana Kawe.
Muda wake anautumia kuandamana na kutiwa mahabusu.
Hana muda wa ku lobby.
Vitu haviji kwa kupayuka bungeni.
Bahati mbaya huna akili ya kuelewa fumbo.Hivi kwa akili yako Finyu Rais anauliza kama Kuna Mradi unaotakiwa kutekelezwa Jimbo la KAWE, ambao Mbunge wake anasumbua sumbua kuulizia ili autekeleze na anasema majibu yakaja Hamna! Na wewe Zuzu Unaamini....!
Sisi Raia wa kawaida Hatutaki Uongozi wa namna hiyo, tunataka Rais ambaye sio mpaka aulize Nani anasumbua sumbua ili atekeleze miradi ya Maendeleo!
Kama anajua kuna umuhimu wa Uwepo wa maji sehemu flani ambako Maji hakuna, kwa Dhati anaona Wananchi wanavyopata shida, tunataka atende, sasa Kama CCM huwa wanauliza kwanza kuhusu kusumbuliwa ndo watende.....thats why we want to change them this time......
Mkuu mbona unakuwa kama santuri ya zilipendwa.Hivi wana Kawe si watanzania wanaolipa kodi...kwa nini serikali usisikilize maombi ya mwakilishi wao hata kama ni mpinzani...?