Tetesi: Rais Magufuli kufanya ziara Mirerani mkoani Manyara tarehe 20 Septemba 2017

Tetesi: Rais Magufuli kufanya ziara Mirerani mkoani Manyara tarehe 20 Septemba 2017

Waterloo

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
25,356
Reaction score
38,922
Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa Mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa Mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.

Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.

Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
 
Habari za weekend wadau!

kama heading inavyojieleza Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.

Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.

Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
Anaenda kuwaapisha (kuwapa kamisheni) maofisa wa JWTZ 23/09 pale TMA nahisi .
 
Nilistuka kodogo nilidhani MAREKANI

Thubutu yake, aende MAREKANI anao ubavu wa kutema ung'eng'e?
Hili la Tanzania kutuhumiwa kuwa inashirikiana na North Korea kwenye biashara kamsukumia Waziri wa Mambo ya nje utafikiri Mahiga ndiyo Mkuu wa nchi...teh tehe!! Aibu.

Aende tu maana tumeshamzoe kwa sasa tunamwita MZEE WA KIKI ZA MADINI..!!!
 
Akitoka hapo anaenda kuwapa kamisheni maafisa wa TMA
 
UN anampeleka waziri kujibu tuhuma..
Kwenye sherehe za send off anaenda mwenyewe..
misibani *$#*$%&
 
Back
Top Bottom