Tetesi: Rais Magufuli kufanya ziara Mirerani mkoani Manyara tarehe 20 Septemba 2017

Tetesi: Rais Magufuli kufanya ziara Mirerani mkoani Manyara tarehe 20 Septemba 2017

Dah! Umenikumbusha mbali. Mirerani zamani bhana. Enzi zile wanapolo wakifaidi matunda ya rasilimali zetu directly. Ilikuwa full raha hadi Mkapa alipokuja kuwauzia makaburu wa Tanzanite One.

Mzunguko wa ela ukapunguwa sana na crime na ujambazi vikaongezeka. Kule kulikuwa ni kama ndoto ya vijana wengi tu ambao walitegemea kama njia rahisi ya kujipatia utajiri.

Wengi matumizi yao wengine wangeweza kuyaita ni ya hovyo, lakini kiukweli pesa nyingi ilibaki kwenye mzunguko hapa nchini na ilisaidia sana maisha ya wananchi. Vijana walijenga, kuwekeza nk. Serikali inataka kutengeneza mabilionea na wakati kule mabilionea walikuwa wanapatikana fasta tu. Mamilionea wa hundred millions and higher kibao.

Serikali lichotakiwa kufanya ni kuweka tu utaratibu mzuri ili wasikose mapato. However wangewaachia wanapolo na wazawa wengine kuendelea na uchimbaji kama ilivyokuwa hapo awali.

Pia Mererani penyewe ukipatizama huwezi kuamini ndipo inapotoka Tanzanite. Yani jiwe ambalo marekani kuna channel ya Tv ambayo ni full dedicated to Tanzanite and only Tanzanite sales. Yani uki switch hiyo channel ni mauzo ya Tanzanite tu. Sasa tunafahamu ni kiasi gani ilivyo ghali kuhost hiyo channel.

Kwa US pia kuna miji ambayo gold iliwahi kugunduliwa. Wenyewe walikuwa wakiita "gold rush" Kuna "The California gold rush", The Georgia gold rush", watu walihamia hayo maeneo kwa wingi kwasababu hiyo.

Lakini serikali zao hazikuwafanyia kama jinsi Mkapa alivyotufanyia. Nina uhakika anafahamu historia na alifanya tofauti kwasababu ni kweli aliamini kuwa anaongoza malofa, na kweli akafanya makosa hadi leo wananchi wa kawaida ni maumivu.

Huko USA na kwingineko, hayo maeneo hata madini hayo yalipokuja kuisha, kulibakia miundo mbinu ya nguvu na shughuli nyingine za kiuchumi kama viwanda nk., pia kutokana na wahamiaji, maeneo hayo yalipanuka na kuwa miji muhimu.

Yani unapopita hayo maeneo, unashangaa maendeleo yaliyopo maana hakuna rasilimali, lakini unapoambiwa kuhusu uwepo wa rasilimali hizo huko nyuma, unajiuliza maswali mengi sana na pia kufunguka na kuona kumbe sisi ni wazembe kweli kweli. Kumbe kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya maendeleo ya eneo flani na rasilimali zilizopo.

Kwa kifupi, ukipaangali, ukaambiwa pako hivyo kwasababu ya rasilimali zilizokuwepo, basi unakubali moja kwa moja maana unafahamu thamani ya gold. Lakini kwetu ni kinyume.

Naskia tajiri wa marekani ambaye ndo ananunua Tanzanite nyingi pengine kuliko wanunuaji wote, alienda Mererani, alashangaa sana, akauliza "huku ndiko inakotoka Tanzanite?

Kipindi hicho barabara yenyewe ni makorongo haifai. Naskia alitoa msaada flani, sina uhakika ilikuwa ni ujenzi wa barabara au kitu gani.
 
Dah! Umenikumbusha mbali. Mererani zamani bhana. Enzi zile wanapolo wakifaidi matunda ya rasilimali zetu directly. Ilikuwa full raha hadi Mkapa alipokuja kuwauzia makaburu wa Tanzanite One.

Mzunguko wa ela ukapunguwa sana na crime na ujambazi vikaongezeka. Kule kulikuwa ni kama ndoto ya vijana wengi tu ambao walitegemea kama njia rahisi ya kujipatia utajiri.

Wengi matumizi yao wengine wangeweza kuyaita ni ya hovyo, lakini kiukweli pesa nyingi ilibaki kwenye mzunguko hapa nchini na ilisaidia sana maisha ya wananchi. Vijana walijenga, kuwekeza nk.

Serikali lichotakiwa kufanya ni kuweka tu utaratibu mzuri ili wasikose mapato. However wangewaachia wanapolo na wazawa wengine kuendelea na uchimbaji kama ilivyokuwa hapo awali.

Pia Mererani penyewe ukipatizama huwezi kuamini ndipo inapotoka Tanzanite. Yani jiwe ambalo marekani kuna channel ya Tv ambayo ni full dedicated to Tanzanite and only Tanzanite sales. Yani uki switch hiyo channel ni mauzo ya Tanzanite tu. Sasa tunafahamu ni kiasi gani ilivyo ghali kuhost hiyo channel.

Kwa US pia kuna miji ambayo gold iliwahi kugunduliwa. Wenyewe walikuwa wakiita "gold rush" Kuna "The California gold rush", The Georgia gold rush", watu walihamia hayo maeneo kwa wingi kwasababu hiyo.

Lakini serikali zao hazikuwafanyia kama jinsi Mkapa alivyotufanyia. Nina uhakika anafahamu historia na alifanya tofauti kwasababu ni kweli aliamini kuwa anaongoza malofa, na kweli akatufanya makosa hadi leo wananchi wa kawaida ni maumivu.

Huko USA na kwingineko, hayo maeneo hata madini hayo yalipokuja kuisha, kulibakia miundo mbinu ya nguvu na shughuli nyingine za kiuchumi kama viwanda nk., pia kutokana na wahamiaji, maeneo hayo yalipanuka na kuwa miji muhimu.

Yani unapopita hayo maeneo, unashangaa, lakini unapoambiwa kuhusu uwepo wa rasilimali hizo huko nyuma, unajiuliza maswali mengi sana na pia kufunguka na kuona kumbe sisi ni wazembe kweli kweli.
sana kiongozi watu walipiga hela sana enzi hizo nakumbuka jamaa tuliokuwa wote shuleni waliacha wakatorokea machimboni.wengine walifanikiwa na sasa ni matajiri wakubwa tu.ila wengine walichezea hiyo pesa kwa starehe saa hizi wapo wanaishi kijanja janja mjini.
 
Wana Appolo wapewe vitalu na baadhi viende kwa wawekezaji wanaoeleweka
 
Mjiandae kisaikolojia.

Nakumbuka akiwa waziri wa ujenzi (History) aliweka jiwe la msingi kuanza ujenzi wa barabara ya KIA-Mirerani nadhani sasa anakwenda kuzindua baada ya kuwa ujenzi wa barabara hiyo umekamilika hadi pale eneo la EPZ.

Ni matumaini yangu kuwa sasa atakuja na ahadi ya kujenga tena kuelekea Narco (Dododma) kupitia Orkesumet, Kiteto hasa kwa sasa kwa kuwa njia hiyo inaweza kurahisiha usafiri kwa wanaokwenda Dodoma (makao makuu ya nchi) kupitia njia hiyo!
 
Nilijua Marekani, mwili ukasisimuka. Kama Huko mavumbini aende tu
 
Habari za weekend wadau!

kama heading inavyojieleza Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.

Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.

Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
Nani amekuambia utangaze ziara za Rais
 
Habari za weekend wadau!

kama heading inavyojieleza Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.

Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.

Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
Ndo nani mkuu
 
Habari za weekend wadau!

kama heading inavyojieleza Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.

Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.

Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
Ndo nani mkuu
 
Habari za weekend wadau!

kama heading inavyojieleza Rais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa mirerani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa mirerani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.

Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.

Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
Sema "Kama albadir ikiwa haijampata..."
 
Back
Top Bottom