Kichwa Kontena
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 661
- 564
hujaelewa ndugu eti??Kwani maafisa wa jeshi wako mererani? Mwinzio kasema tarehe 20 wewe unasema 23 huoni kuwa ni matukio mawili tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujaelewa ndugu eti??Kwani maafisa wa jeshi wako mererani? Mwinzio kasema tarehe 20 wewe unasema 23 huoni kuwa ni matukio mawili tofauti.
Lugha baba ya kuongea na TrumpNilistuka kodogo nilidhani MAREKANI
Bila shaka ataambatana na mshauri wake mkuu Dr BashiteRais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa Mererani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa Mererani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.
Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.
Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.
Bila shaka ataambatana na mshauri wake mkuu Dr BashiteRais Magufuli anategemea kufanya ziara Hapa Mererani kuanzia Jumatano ya wiki ijayo. Hii ni kwa mujibu wa mnyetishaji wangu niliekutana nae hapa Mererani asubuhi ya leo nikiwa kwenye shughuli zangu.
Bado haijawekwa wazi lengo hasa la ujio huu mzito katika eneo hili maarufu katika uchimbaji wa madini aina ya Tanzanite. tuendelee kutega sikio.
Please naomba Moderators hii ibaki kuwa tetesi mpaka itakapothibitishwa na mamlaka husika.