Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Mererani.Ivi sio "mererani"?
Thubutu!!!Nilistuka kodogo nilidhani MAREKANI
Ni kweli. karibu
sijasema atawaapishia pale TMA no wataapia uwanja wa Amri AbeidNadhani sio TMA this time. Amri Abeid Kaluta
Nimo ankal..karibu bata la Chuga!Akitoka hapo anaenda kuwapa kamisheni maafisa wa TMA
kutembea tu kama mtalii wa ndani.
Kwani maafisa wa jeshi wako mererani? Mwinzio kasema tarehe 20 wewe unasema 23 huoni kuwa ni matukio mawili tofauti.Anaenda kuwaapisha (kuwapa kamisheni) maofisa wa JWTZ 23/09 pale TMA nahisi .