Hivi kudogosha maana yake ni nini mkuu?Ziara ya kikazi Zanzibar ni sawa, ila yeye kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi si sawa, utaratibu wa maadhimisho ya sherehe ya mapinduzi ni wa kiboya unamdogosha na kumzalilisha Raisi wa Muungano - ambaye ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu
Raisi wa Jamuhuri ya Muungano ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu (TISS, Tanzania Peoples Defence Force, Police Force, Prison, Migration, JKT na nk. viko under his command) lakini anaingia uwanjani wa kwanza, hasalimii wananchi wa taifa lake - akiwa amepanda gari lile la heshima 'jeep iliyowazi', hakagui gwaride....hii haiko sawaAnadhalilishwa vipi?
UMETUMWA???Raisi wa Jamuhuri ya Muungano ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu (TISS, Tanzania Peoples Defence Force, Police Force, Prison, Migration, JKT na nk. viko under his command) lakini anaingia uwanjani wa kwanza, hasalimii wananchi wa taifa lake - akiwa amepanda gari lile la heshima 'jeep iliyowazi', hakagui gwaride....hii haiko sawa
Akishakanyaga tu Zanzibar anakuwa kama diwani, kama huamini subiri hiyo tarehe 12 utaona nani rais na amiri jeshi mkuu wa eneo lile, ni rahisi mno kumtambua make sherehe haianzi kama yeye hajafika, atakuwa mwisho kuingia, atakagua gwaride, atapigiwa mizinga,nk.Ishu za usalama wa taifa ni ishu za kitaifa(union matters) so rais wa Zanzibar sio mahala pake
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni Makao Makuu hayawezi kufichwa na hakuna sababu.Bado tuanze kuona wakitangaza na nafasi za ajira tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anadhalilishwa vipi?
[/QUOTE
Wa mwisho kuingia Uwanjani ndiye Mkuu na ndiye atakayepigiwa MIZINGA.
Siyo kudhalilishana huko?
Huyu jamaa siamehamia dodoma anafata nini huku dar
Ziara ya kikazi Dsm au Zanzibar?
Nilikiwa nasema sio mbaya kama angekaimisha. Lakini sio mbaya maana TV zitakuwa live si unajua tena?Ishu za usalama wa taifa ni ishu za kitaifa(union matters) so rais wa Zanzibar sio mahala pake
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar nchi lazima uelewe iloRaisi wa Jamuhuri ya Muungano ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu (TISS, Tanzania Peoples Defence Force, Police Force, Prison, Migration, JKT na nk. viko under his command) lakini anaingia uwanjani wa kwanza, hasalimii wananchi wa taifa lake - akiwa amepanda gari lile la heshima 'jeep iliyowazi', hakagui gwaride....hii haiko sawa
Mwambieni kuna barua kutoka baraza LA congress iko mezani kwake, inamtaka Aaache mambo yake ya kishenzi LA sivyo itatumwa droneBaada ya likizo ya mwisho wa mwaka, kesho Rais Magufuli ataanza ziara ya siku 5 Zanzibar ikiwa ni pamoja na kuhudhuria sherehe ya mapinduzi Zanzibar tarehe 12 mwezi huu.
Pia Mh. Rais atazindua jengo la makao makuu ya Usalama wa Taifa kisiwani Zanzibar katika ziara yake
Utakufa na stress hilo ni Chama kubwa lao siyo saccos ya Chadema!Ndio maana leo nimepanda boti na malofa na walevi wa ccm kwenda zanzibar, hapa ndio napata picha ya kuwa ule umati tunaoaminishwa kuwa unasimamisha msafara wa mkulu kumbe huwa ni fix tu,huwa wanasombwaView attachment 1317526View attachment 1317527
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi zanzibar ni koloni la Tanganyika ?Atazindua jengo la kukandamiza wazanzibari.
Una mtukana Rais wewe kweli? Usije ukaanza kulialia kama anavyolia Kabendera. Ngoja tukuingize kwenye orodha!! mliberali be informed!!Mwambieni kuna barua kutoka baraza LA congress iko mezani kwake, inamtaka Aaache mambo yake ya kishenzi LA sivyo itatumwa drone