Hayo majengo ya TISS zamani yalikuwa Siri Sasa hivi yanaanikwa tu Kama karanga hadharani kila mtu ayajue
Something is wrong somewhere
Kila kitu international protitutes unawajua? Sio wale la Jollys clubSo humo Pombe hawauzi,malaya hamna au anafanyaje biashara?
dodge
Tutarajie kuona mizoga ikiokotwa pale forozani ikielea jamaa wameingia rasmiLeo ndio umejua kuwa kuna tatizo? Ila kwa sasa idara ya utekaji imeingia rasmi Zanzibar
TISS ni Public Office mkuu na watu wanaenda kupata huduma kama ofisi zingine za serikali ila kuna uwezekana wateja wanaoenda siyo wengi sana kwa sababu wanaenda kwa purposes maalum.Kujulikana kwa watu what for? Ofisi ya TISS sio public office ya kutoa huduma kwa public.Kuwa watu wote waijue ili iweje?
Hayo ni maneno mtoto ya chama cha mapunduzi....hapo vpMh Amani Abeid Karume uwa anapenda sna Kauli hii MAPINDUZI MAPINDUZI...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu za usalama wa taifa ni ishu za kitaifa(union matters) so rais wa Zanzibar sio mahala pake
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziara ya kikazi Zanzibar ni sawa, ila yeye kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi si sawa, utaratibu wa maadhimisho ya sherehe ya mapinduzi ni wa kiboya unamdogosha na kumzalilisha Raisi wa Muungano - ambaye ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu
Nahisi ni harakati za kuanza kampeni kidogokidogo kabla ya wakati wenyeweSawa kabisa. Tunaamini atafanya yale yale ambayo hufanya akiwa katika ziara zake huku bara
Huku...wapo siku nyingi toka 1964!Hatimaye Wasiojulikana wamejisogeza Zanzibar...Wazanzibara jiandaeni kuanza kupotezwa!
Ukizungua TISS lazima wakunyooshe
Wale wapinga Muungano, Wafanya vurugu/fujo wajiandae
Waliofanya hivyo wanajua protokoli kuliko wewe.. ...Raisi wa Jamuhuri ya Muungano ndiye Raisi wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu (TISS, Tanzania Peoples Defence Force, Police Force, Prison, Migration, JKT na nk. viko under his command) lakini anaingia uwanjani wa kwanza, hasalimii wananchi wa taifa lake - akiwa amepanda gari lile la heshima 'jeep iliyowazi', hakagui gwaride....hii haiko sawa
Siri kwetu tu ila kwa wenye dunia si siriHayo majengo ya TISS zamani yalikuwa Siri Sasa hivi yanaanikwa tu Kama karanga hadharani kila mtu ayajue
Something is wrong somewhere