mtukufu anateua watu ili kuwakomoa wapinzani anasahau kuwa wateuliwa ni double argent, mtukufu angekuwa makini angelijiweka karibu na wapinzani, analazimisha uadui na upinzani ili kuwafurahisha maadui wake ndani ya chamaAcha unaaa.....pengine huyo ndio kijana pekee aneendana na awamu yetu ya kasi tu.....
Kuchagua watu ni jambo moja, watu hao kukutumikia ni jambo jingine..(hata wakiwa ndugu zako wa kuongea lugha ya kuzaliwa)
Anyway, its about time, karma is a bitch.
Mkuu, kuna jambo Mtukufu anafanya litainua taifa siku za usoni tusubiri tuone....mtukufu anateua watu ili kuwakomoa wapinzani anasahau kuwa wateuliwa ni double argent, mtukufu angekuwa makini angelijiweka karibu na wapinzani, analazimisha uadui na upinzani ili kuwafurahisha maadui wake ndani ya chama
Kusema ukweli,raisi magufuli hafai kuongoza taifa hili lenye tofauti za imani,makabila na itikadi. Tunajipeleka pabaya sana. Huyu mtu hafai kuwa raisi wa nchi. Ndio hapa sasa tunaona majawabu ya siasa katika kazi maana kama usalama wa taifa wanapotoa ushauri na kuzingatiwa tusingefika hapa,maana vetting ingezingatiwa.
Tumlaumu nani? Kikwete and co. Maana baada ya hapo ndio magufuli akaukwa uraisi huo lakini hakuwahi kufikiriwa.
Kingine, hakuna muda ambao nchi imekuwa more sensitive katika ukanda zaidi kuliko ilivyokuwa nyuma huko kuhusu udini. Naamini pia,siasa zetu za nje pia zinabadilika kwa kile ambacho magufuli haelewi mambo yanavyokwenda. Sio kila kitu kwenye dunia hii aliyoumba Mungu kina make sense. Yeye anataka kufanya vitu sababu vina make sense wakati vingine ni karata na maamuzi ya haraka katka kufanikisha jambo. Magufuli atatuletea matatizo makubwa kama hatazibitiwa.
Wale wanaosema hakuna Mungu umewapa max nyingi. Iddi Amin aliua walemavu kuwa ni mizigo. Hata Japan kijana aliingia wodini akaua wazee na walemavu kuwa ni mizigo...Angalia usije dhibitiwa wewe na ukoo wako wote Panya uliolaaniwa na kuleta kiumbe kilicholaaniwa Dunia hii!
Watu wengine mko hapa Duniani kama mizigo tu, ukiniuliza mimi hata mkifa sawa tu!
Angalia usije dhibitiwa wewe na ukoo wako wote Panya uliolaaniwa na kuleta kiumbe kilicholaaniwa Dunia hii!
Watu wengine mko hapa Duniani kama mizigo tu, ukiniuliza mimi hata mkifa sawa tu!
Yuda alikuwa karibu sana na Yesu Kristo na hata alimwamini kuwa mtunza fedha.Mheshimiwa hii taarifa inabidi aifanyie kazi. Wasaliti ktk jamii huwa ni watu wa karibu sana na mhusika. Hakuna msaliti asie kuwa mtu wa karibu.
Sidhani kama ungeacha kuchukua plate namba za hilo gari.Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi.
Watu wanakomba pesa kwenye magunia kabisa sembuse twiga. Who cares?Wakati Twiga anachungulia dirisha la Air Quarter, hiyo "security apparatus" ilikua "inajamiana"?
Hivi ni kweli waziri mkuu wa uingereza alitoa Bil 6 msaada wa maafa kwa waaanga wa tetemeko Kagera?Mleta mada umekuwa lini na huruma kwa Rais? Makubwa haya.