tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
hata mimi nakubaliana na wwPamoja na kwamba simkubali makonda, mnamuonea kwa sababu hana uwezo wa kupanga mikakati yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi nakubaliana na wwPamoja na kwamba simkubali makonda, mnamuonea kwa sababu hana uwezo wa kupanga mikakati yoyote
hii serikali imekua ya kimbea na majungu na muasisi wke ni baba jesc.a mwenyewe......!! kazi mnayo nyie watanzania.Mheshimiwa Rais,
Nakuandikia kama raia mwema, anayekutakia mema. Najua una mema na nchi, ila umezungukwa na manyoka. Nina uhakika siwezi kuja ikulu kukuona, ntapata matatizo zaidi ya kuzawadiwa kwa kuwa raia mwema. Mheshimiwa rais, naomba nikushauri kitu kimoja. Kuwa makini na vijana uliowapa madaraka makubwa. Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha.
Huyu ni kijana anayeaminika ndani ya chama chetu. Ni kijana anayetoa matamko kila kukicha. Ni kijana wako. Mkuu wa mkoa. Sitaongea mengi kwa leo, ila nakupa tu dondoo kumhusu huyu nyoka anayegawa fedha sijui ni za nini, lakini Kanagawa fedha nyingi sana, ambazo sijaelwa zinafanya kazi gani.
Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi. Hii ilikuwa ni usiku mida ya saa 2.30. Hichi kikao kiliwajumuisha viongozi wa awamu ya 4. Pamoja na waziri mmoja wa sasa, kijana ambaye aligombea urais.
Mheshimiwa Rais, kuna vikao vingi vya siri vinavyofanyika usiku, vingine siwezi hata kukumbuka tarehe, lakini ni ambazo huyu kijana anashiriki . Baadhi ya watu anaoshirikiana nao, ni watu ambao tayari umewatumbua au hawana nafasi kwenye serikali ila wapo ndani ya chama. Moja ya watu anaokutana nao sana ni mwana wa mfalme ambaye anatuhumiwa kwenye kashfa nyingi. pamoja na rafiki yako Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM
Kumbuka, huyu kijana ana mahusiano makubwa sana na hiyo familia ya mfalme aliyepita. Siwezi kuamini, ghafla akawasaliti na kukuunga wewe mkono. Mara utawala wa awamu ya nne ulikuwa mbovu, thubutu. Mh. Rais, huyu kijana unayemfahamu fika ni nyoka. Mikakati yake ni kukuangusha keither either kwa kujua au kutokujua. Ni remote anayekuwa controlled na watu wenye nguvu nyingi sana ndani ya CCM. Angalia matamko yake.
ulijuaje kuwa ni makonda?au ndiye nini funguka unajua mengi.Wewe huwezi mchongea Makonda Kifala.
Magufuli ana vyanzo vya habari kuliko unavyofikri wewe.
Pole yako sana, hapa kazi tu, majungu hayana nafasi awamu ya Tano.
Ni kweli yeye hawezi lakini anapangiwa.Pamoja na kwamba simkubali makonda, mnamuonea kwa sababu hana uwezo wa kupanga mikakati yoyote
Mimi pia nimecheka sana japo sasa haya mambo naamini yatashughuliwa kiuweledi na mkuu wa nchi tuombe tu apate nafasi kulisoma andikoNimesoma na kucheka kwa sauti,Watu wasiwe serious sana awamu hii.
Ngedere anapopeleka kesi ya Mtoto wa chui kwa mama Chui.Mheshimiwa Rais,
Nakuandikia kama raia mwema, anayekutakia mema. Najua una mema na nchi, ila umezungukwa na manyoka. Nina uhakika siwezi kuja ikulu kukuona, ntapata matatizo zaidi ya kuzawadiwa kwa kuwa raia mwema. Mheshimiwa rais, naomba nikushauri kitu kimoja. Kuwa makini na vijana uliowapa madaraka makubwa. Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha.
Huyu ni kijana anayeaminika ndani ya chama chetu. Ni kijana anayetoa matamko kila kukicha. Ni kijana wako. Mkuu wa mkoa. Sitaongea mengi kwa leo, ila nakupa tu dondoo kumhusu huyu nyoka anayegawa fedha sijui ni za nini, lakini Kanagawa fedha nyingi sana, ambazo sijaelwa zinafanya kazi gani.
Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi. Hii ilikuwa ni usiku mida ya saa 2.30. Hichi kikao kiliwajumuisha viongozi wa awamu ya 4. Pamoja na waziri mmoja wa sasa, kijana ambaye aligombea urais.
Mheshimiwa Rais, kuna vikao vingi vya siri vinavyofanyika usiku, vingine siwezi hata kukumbuka tarehe, lakini ni ambazo huyu kijana anashiriki . Baadhi ya watu anaoshirikiana nao, ni watu ambao tayari umewatumbua au hawana nafasi kwenye serikali ila wapo ndani ya chama. Moja ya watu anaokutana nao sana ni mwana wa mfalme ambaye anatuhumiwa kwenye kashfa nyingi. pamoja na rafiki yako Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM
Kumbuka, huyu kijana ana mahusiano makubwa sana na hiyo familia ya mfalme aliyepita. Siwezi kuamini, ghafla akawasaliti na kukuunga wewe mkono. Mara utawala wa awamu ya nne ulikuwa mbovu, thubutu. Mh. Rais, huyu kijana unayemfahamu fika ni nyoka. Mikakati yake ni kukuangusha keither either kwa kujua au kutokujua. Ni remote anayekuwa controlled na watu wenye nguvu nyingi sana ndani ya CCM. Angalia matamko yake.
Kwanini mnaulizana?si ana kusaidia kubeba mikoba.Mleta mada umekuwa lini na huruma kwa Rais? Makubwa haya.
Mkuu kwa upande flani unaweza ukawa umesema ukweli lakini kumbuka kua wakati wa kutia ni CCM kulikua na wagombea zaidi ya 30, Usidhani wote wanafurahia mkuu kukalia nafasi ile japo ni wanaccm wote. Usizunngumzie mapinduzi kitu ambacho hakina taswira kwetu ila fikiria kua 2020 kuna uchaguzi na sio wote wananaofurahia maamuzi ya mkuu ya sasa hata kama ni wanaccm.Hawa ndio wanaoweza kumkwamisha majukumu yake wananchi wakapoteza imani nae kabla ya 2020. Wachawi wake sio UKAWA ni CCM wenyewe.Mtoa mada umekurupuka!
1. Serekali hii haijaingia madarakani kwa Mapinduzi , Bali kidemokrasia hivyo 'Hakuna UADUI Kati ya awamu hii na awamu iliyopita.
2. Wale wanaopata matatizo ya kutumbuliwa 'Wanaondolewa tu kutoka kwenye madaraka ' lkn mahusiano Yao kijamii yanaendelea.
3.Taasis ya Urais ina Mtandao mkubwa uitwao 'USALAMA WA TAIFA ' hivyo Kiongozi akiwa 'Mnafiki' habari hufika kwa Mkuu haraka KULIKO unavyoweza kuamini!
4. Tuwatie Moyo viongozi wetu ili waweze kutuvusha. Baadhi ya 'Matamko' yanaweza kua yamekosewa lkn hadi sasa hakuna Athari yoyote kwa Mwananchi . Then Kiongozi anaendelea kupata Uzoefu na hatimae Ni UFANISI ZAIDI
Mkuu hii mikoba ya Lisabon ulikabidhiwa lini?.Mheshimiwa Rais,
Nakuandikia kama raia mwema, anayekutakia mema. Najua una mema na nchi, ila umezungukwa na manyoka. Nina uhakika siwezi kuja ikulu kukuona, ntapata matatizo zaidi ya kuzawadiwa kwa kuwa raia mwema. Mheshimiwa rais, naomba nikushauri kitu kimoja. Kuwa makini na vijana uliowapa madaraka makubwa. Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha.
Huyu ni kijana anayeaminika ndani ya chama chetu. Ni kijana anayetoa matamko kila kukicha. Ni kijana wako. Mkuu wa mkoa. Sitaongea mengi kwa leo, ila nakupa tu dondoo kumhusu huyu nyoka anayegawa fedha sijui ni za nini, lakini Kanagawa fedha nyingi sana, ambazo sijaelwa zinafanya kazi gani.
Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi. Hii ilikuwa ni usiku mida ya saa 2.30. Hichi kikao kiliwajumuisha viongozi wa awamu ya 4. Pamoja na waziri mmoja wa sasa, kijana ambaye aligombea urais.
Mheshimiwa Rais, kuna vikao vingi vya siri vinavyofanyika usiku, vingine siwezi hata kukumbuka tarehe, lakini ni ambazo huyu kijana anashiriki . Baadhi ya watu anaoshirikiana nao, ni watu ambao tayari umewatumbua au hawana nafasi kwenye serikali ila wapo ndani ya chama. Moja ya watu anaokutana nao sana ni mwana wa mfalme ambaye anatuhumiwa kwenye kashfa nyingi. pamoja na rafiki yako Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM
Kumbuka, huyu kijana ana mahusiano makubwa sana na hiyo familia ya mfalme aliyepita. Siwezi kuamini, ghafla akawasaliti na kukuunga wewe mkono. Mara utawala wa awamu ya nne ulikuwa mbovu, thubutu. Mh. Rais, huyu kijana unayemfahamu fika ni nyoka. Mikakati yake ni kukuangusha keither either kwa kujua au kutokujua. Ni remote anayekuwa controlled na watu wenye nguvu nyingi sana ndani ya CCM. Angalia matamko yake.
Jamaa hakuna athari yoyote kwa mwananchi hili LA sukari hujaoona au una maana ya mwananchi wa wapiMtoa mada umekurupuka!
1. Serekali hii haijaingia madarakani kwa Mapinduzi , Bali kidemokrasia hivyo 'Hakuna UADUI Kati ya awamu hii na awamu iliyopita.
2. Wale wanaopata matatizo ya kutumbuliwa 'Wanaondolewa tu kutoka kwenye madaraka ' lkn mahusiano Yao kijamii yanaendelea.
3.Taasis ya Urais ina Mtandao mkubwa uitwao 'USALAMA WA TAIFA ' hivyo Kiongozi akiwa 'Mnafiki' habari hufika kwa Mkuu haraka KULIKO unavyoweza kuamini!
4. Tuwatie Moyo viongozi wetu ili waweze kutuvusha. Baadhi ya 'Matamko' yanaweza kua yamekosewa lkn hadi sasa hakuna Athari yoyote kwa Mwananchi . Then Kiongozi anaendelea kupata Uzoefu na hatimae Ni UFANISI ZAIDI