Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lizaboni kakomenti mara moja tu kapotea, bado nasubiri comment ya Chabruma.Siku hizi Lumumba wanashindana kuleta umbea ili wapande vyeo kimwendokasi. Lizaboni anapitwa kwa umbea sasa hivi
Wakati fulani wanafunzi walimwendea Yesu baada yakutoa mfano wa magugu ndani ya shamba la ngano na nia yao ilikuwa nikumta Yesu awatenge wana wanuru na wa giza lakini yeye akawaambia yaecheni magugu yamee katikati ya ngano maana mvunaji ikifika wakati wakuvuna atayatenga bilashaka ngano kule gugu kule.Mheshimiwa Rais,
Nakuandikia kama raia mwema, anayekutakia mema. Najua una mema na nchi, ila umezungukwa na manyoka. Nina uhakika siwezi kuja ikulu kukuona, ntapata matatizo zaidi ya kuzawadiwa kwa kuwa raia mwema. Mheshimiwa rais, naomba nikushauri kitu kimoja. Kuwa makini na vijana uliowapa madaraka makubwa. Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha.
Huyu ni kijana anayeaminika ndani ya chama chetu. Ni kijana anayetoa matamko kila kukicha. Ni kijana wako. Mkuu wa mkoa. Sitaongea mengi kwa leo, ila nakupa tu dondoo kumhusu huyu nyoka anayegawa fedha sijui ni za nini, lakini Kanagawa fedha nyingi sana, ambazo sijaelwa zinafanya kazi gani.
Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi. Hii ilikuwa ni usiku mida ya saa 2.30. Hichi kikao kiliwajumuisha viongozi wa awamu ya 4. Pamoja na waziri mmoja wa sasa, kijana ambaye aligombea urais.
Mheshimiwa Rais, kuna vikao vingi vya siri vinavyofanyika usiku, vingine siwezi hata kukumbuka tarehe, lakini ni ambazo huyu kijana anashiriki . Baadhi ya watu anaoshirikiana nao, ni watu ambao tayari umewatumbua au hawana nafasi kwenye serikali ila wapo ndani ya chama. Moja ya watu anaokutana nao sana ni mwana wa mfalme ambaye anatuhumiwa kwenye kashfa nyingi. pamoja na rafiki yako Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM
Kumbuka, huyu kijana ana mahusiano makubwa sana na hiyo familia ya mfalme aliyepita. Siwezi kuamini, ghafla akawasaliti na kukuunga wewe mkono. Mara utawala wa awamu ya nne ulikuwa mbovu, thubutu. Mh. Rais, huyu kijana unayemfahamu fika ni nyoka. Mikakati yake ni kukuangusha keither either kwa kujua au kutokujua. Ni remote anayekuwa controlled na watu wenye nguvu nyingi sana ndani ya CCM. Angalia matamko yake.
Ukawa bwana hata kuyunga uongo hamjui poleniMheshimiwa Rais,
Nakuandikia kama raia mwema, anayekutakia mema. Najua una mema na nchi, ila umezungukwa na manyoka. Nina uhakika siwezi kuja ikulu kukuona, ntapata matatizo zaidi ya kuzawadiwa kwa kuwa raia mwema. Mheshimiwa rais, naomba nikushauri kitu kimoja. Kuwa makini na vijana uliowapa madaraka makubwa. Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha.
Huyu ni kijana anayeaminika ndani ya chama chetu. Ni kijana anayetoa matamko kila kukicha. Ni kijana wako. Mkuu wa mkoa. Sitaongea mengi kwa leo, ila nakupa tu dondoo kumhusu huyu nyoka anayegawa fedha sijui ni za nini, lakini Kanagawa fedha nyingi sana, ambazo sijaelwa zinafanya kazi gani.
Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi. Hii ilikuwa ni usiku mida ya saa 2.30. Hichi kikao kiliwajumuisha viongozi wa awamu ya 4. Pamoja na waziri mmoja wa sasa, kijana ambaye aligombea urais.
Mheshimiwa Rais, kuna vikao vingi vya siri vinavyofanyika usiku, vingine siwezi hata kukumbuka tarehe, lakini ni ambazo huyu kijana anashiriki . Baadhi ya watu anaoshirikiana nao, ni watu ambao tayari umewatumbua au hawana nafasi kwenye serikali ila wapo ndani ya chama. Moja ya watu anaokutana nao sana ni mwana wa mfalme ambaye anatuhumiwa kwenye kashfa nyingi. pamoja na rafiki yako Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM
Kumbuka, huyu kijana ana mahusiano makubwa sana na hiyo familia ya mfalme aliyepita. Siwezi kuamini, ghafla akawasaliti na kukuunga wewe mkono. Mara utawala wa awamu ya nne ulikuwa mbovu, thubutu. Mh. Rais, huyu kijana unayemfahamu fika ni nyoka. Mikakati yake ni kukuangusha keither either kwa kujua au kutokujua. Ni remote anayekuwa controlled na watu wenye nguvu nyingi sana ndani ya CCM. Angalia matamko yake.
Yana ukweli haya? We wakati huo wanaongea unakuta huko wapi? Maana hii ni siri kubwa sana we umejuaje kama sio mwenzao? Umeamua kumwaga mboga sio.Mheshimiwa Rais,
Nakuandikia kama raia mwema, anayekutakia mema. Najua una mema na nchi, ila umezungukwa na manyoka. Nina uhakika siwezi kuja ikulu kukuona, ntapata matatizo zaidi ya kuzawadiwa kwa kuwa raia mwema. Mheshimiwa rais, naomba nikushauri kitu kimoja. Kuwa makini na vijana uliowapa madaraka makubwa. Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha.
Huyu ni kijana anayeaminika ndani ya chama chetu. Ni kijana anayetoa matamko kila kukicha. Ni kijana wako. Mkuu wa mkoa. Sitaongea mengi kwa leo, ila nakupa tu dondoo kumhusu huyu nyoka anayegawa fedha sijui ni za nini, lakini Kanagawa fedha nyingi sana, ambazo sijaelwa zinafanya kazi gani.
Mheshimiwa Rais, Tarehe 14 mwezi wa April mchana kwenye moja ya mahoteli makubwa jijini, huyu kijana alikuwa na mmoja wa aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje, wakiongea mambo ya siri. Wakiwa ni watu watatu tu. Na moja ya vitu ambavyo niligundua, ilikuwa ni kuwachezeshea recording kwenye simu, ambayo ilikuwa ni kikao kizito, na sauti yako ilikuwemo. Tarehe 6 July, walikuwa pamoja maeneo ya Mikocheni, huyu kijana wako alikuwa mwenyewe kwenye gari aina ya Rav4 nyeusi yenye vioo vyeusi. Hii ilikuwa ni usiku mida ya saa 2.30. Hichi kikao kiliwajumuisha viongozi wa awamu ya 4. Pamoja na waziri mmoja wa sasa, kijana ambaye aligombea urais.
Mheshimiwa Rais, kuna vikao vingi vya siri vinavyofanyika usiku, vingine siwezi hata kukumbuka tarehe, lakini ni ambazo huyu kijana anashiriki . Baadhi ya watu anaoshirikiana nao, ni watu ambao tayari umewatumbua au hawana nafasi kwenye serikali ila wapo ndani ya chama. Moja ya watu anaokutana nao sana ni mwana wa mfalme ambaye anatuhumiwa kwenye kashfa nyingi. pamoja na rafiki yako Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM
Kumbuka, huyu kijana ana mahusiano makubwa sana na hiyo familia ya mfalme aliyepita. Siwezi kuamini, ghafla akawasaliti na kukuunga wewe mkono. Mara utawala wa awamu ya nne ulikuwa mbovu, thubutu. Mh. Rais, huyu kijana unayemfahamu fika ni nyoka. Mikakati yake ni kukuangusha keither either kwa kujua au kutokujua. Ni remote anayekuwa controlled na watu wenye nguvu nyingi sana ndani ya CCM. Angalia matamko yake.
bro sio 'kuyunga'' ni kutunga samahani lakiniUkawa bwana hata kuyunga uongo hamjui poleni
Asante mkuu barikiwabro sio 'kuyunga'' ni kutunga samahani lakini
anytime mkuuAsante mkuu barikiwa
Mkuu tusubiri tuone, kwa kweli hapo nina limited knowledge..... Saivi fear ina drive kila kitu ....anaendana na kasi ipi, ya matamko na amri hewa?
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaSiku hizi Lumumba wanashindana kuleta umbea ili wapande vyeo kimwendokasi.Lizaboni anapitwa kwa umbea sasa hivi