Tetesi: Rais Magufuli, Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha

Tetesi: Rais Magufuli, Kuna kijana unayemuamini sana ambaye yumo kwenye kundi la kukuangusha

Acha unaaa.....pengine huyo ndio kijana pekee aneendana na awamu yetu ya kasi tu.....
Kuchagua watu ni jambo moja, watu hao kukutumikia ni jambo jingine..(hata wakiwa ndugu zako wa kuongea lugha ya kuzaliwa)

Anyway, its about time, karma is a bitch.
anaendana na kasi ipi, ya matamko na amri hewa?
 
Huyo kijana anapendwa mnoo na mkuu wa nchi.Kuna tetesi ataukwaa uwaziri muda si mrefu.
 
Ndugu yangu PM Sokoine pamoja na msafara na walinzi kibao alitoka Dom hakufika Dar aliishia Dakawa!!
Tafuta hiyo habari, inatisha lazima tustuke aliyeumwa na nyoka akiona ungongo anastuka!!
 
Wewe usingesema ili wamtoe hakujiandaa kuongoza kila siku matamko,fukuza,teua na visasi.Kama ni makondakta anafanya hivyo nitaanza KUFUNGA NA KUOMBA AFANIKISHE MIPANGO YAKE.Au ndio maana juzi kampa makavu na issue ya machinga?
 
Hongera mkuu kwa kujitoa mhanga. Mimi niliogopa kusema maana siku hizi kauli mbiu yao ni "MCHOCHEZI"
 
Wewe huwezi mchongea Makonda Kifala.
Magufuli ana vyanzo vya habari kuliko unavyofikri wewe.
Pole yako sana, hapa kazi tu, majungu hayana nafasi awamu ya Tano.
Inawezekana makonda anamichezo michafu anataka amuangushe Mtakatifu uchwara
 
Ndugu yangu PM Sokoine pamoja na msafara na walinzi kibao alitoka Dom hakufika Dar aliishia Dakawa!!
Tafuta hiyo habari, inatisha lazima tustuke aliyeumwa na nyoka akiona ungongo anastuka!!
Mkuu watu wenye mpango wa kumpiga raisi ambush awawezi kumshirikisha makonda watawatafuta watu waliowahi kupanga ulinzi wa raisi or those with military knowledge.

Wale walinzi anaotembea nao watakuwa armed to with stand ambush kwa muda kadhaa kabla ya msaada kufika na kuhakikisha magari yote yako pembeni nadhani kuondoa risk zote za ajali gari limezungukwa. I don't think you can get to him easily.

Ulinzi wa raisi sio mchezo na Makonda kama subotage anayoweza fanya ni kuwatia watu hasira na going by his background and where he is today nakataa ushiriki he is not that brave he has alot to loose than gain kwenye mkakati wa kumujumu raisi.

That is my personal take maana kuna mijitu inajifanya inajua mambo ya usalama humu.
 
Ni waatanzania wachache sana serikalini wanaofanya kazi kwa niaba ya Taifa!
 
Kesho asbh atakutana na barua yake kupitia tv yake pendwa na nakala ingine mlangoni kwake
 
Naanza ku connect dots, baada ya rais kusema machinga wasibugudhiwe yeye juzi kawagiza maDC wa Dar kuwaondoa machinga ndani ya siku saba, what a coincidence.
 
Back
Top Bottom