Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,901
- 410
Ni angalizo zuri, acha muda uamue sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe wakati ule kabla ya JK kukabidhi uenyekiti kwa JPM ulipotuletea ngonjera zako za Luhwavi na Mh Lukuvi ulikuwa na huruma na nani? acha wenzio nao waseme yao.Mleta mada umekuwa lini na huruma kwa Rais? Makubwa haya.
anaendana na kasi ipi, ya matamko na amri hewa?Acha unaaa.....pengine huyo ndio kijana pekee aneendana na awamu yetu ya kasi tu.....
Kuchagua watu ni jambo moja, watu hao kukutumikia ni jambo jingine..(hata wakiwa ndugu zako wa kuongea lugha ya kuzaliwa)
Anyway, its about time, karma is a bitch.
Anaingilia kazi zako huyuMleta mada umekuwa lini na huruma kwa Rais? Makubwa haya.
Mkuki umechoma penyeweMleta mada umekuwa lini na huruma kwa Rais? Makubwa haya.
Inawezekana makonda anamichezo michafu anataka amuangushe Mtakatifu uchwaraWewe huwezi mchongea Makonda Kifala.
Magufuli ana vyanzo vya habari kuliko unavyofikri wewe.
Pole yako sana, hapa kazi tu, majungu hayana nafasi awamu ya Tano.
Mkuu watu wenye mpango wa kumpiga raisi ambush awawezi kumshirikisha makonda watawatafuta watu waliowahi kupanga ulinzi wa raisi or those with military knowledge.Ndugu yangu PM Sokoine pamoja na msafara na walinzi kibao alitoka Dom hakufika Dar aliishia Dakawa!!
Tafuta hiyo habari, inatisha lazima tustuke aliyeumwa na nyoka akiona ungongo anastuka!!
Hata kama rais anayo taarifa ulitegemea yeye ailete JF.Yaan kwa akili yako ndogo hufikilii tu mpka ww kuwa na taarifa rais asiwe nazo?
Yaan kwa akili yako ndogo hufikilii tu mpka ww kuwa na taarifa rais asiwe nazo?
Siku hizi Lumumba wanashindana kuleta umbea ili wapande vyeo kimwendokasi.Lizaboni anapitwa kwa umbea sasa hiviMkuki umechoma penyewe
MakondaMleta mada umekuwa lini na huruma kwa Rais? Makubwa haya.