mtukufu anateua watu ili kuwakomoa wapinzani anasahau kuwa wateuliwa ni double argent, mtukufu angekuwa makini angelijiweka karibu na wapinzani, analazimisha uadui na upinzani ili kuwafurahisha maadui wake ndani ya chamaAcha unaaa.....pengine huyo ndio kijana pekee aneendana na awamu yetu ya kasi tu.....
Kuchagua watu ni jambo moja, watu hao kukutumikia ni jambo jingine..(hata wakiwa ndugu zako wa kuongea lugha ya kuzaliwa)
Anyway, its about time, karma is a bitch.