Tetesi: Rais Magufuli 'kuutumbua' Mwenge wa Uhuru

Tetesi: Rais Magufuli 'kuutumbua' Mwenge wa Uhuru

Baada ya Rais John P. Magufuli kubadili na kuokoa fedha kwenye sherehe za Uhuru na Muungano,sasa Mwenge wa Uhuru uko njiani kutumbuliwa. Taarifa za kishushushu zinaonesha kuwa tayari Rais Magufuli ameitisha faili la Mwenge huo na kupata maelezo ya kutosha na kutisha kuhusu Mwenge huo.

Taarifa zinaonesha kuwa Rais Magufuli ameguswa na kutikiswa na matumizi makubwa yanayofanyika wakati wa mbio za Mwenge nchi nzima. Rais anapanga kutumbua Mwenge huo ambao sasa ni kero badala ya kuwa hero hapa nchini.

Wangapi wanaafiki bila unafiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
HUyo anayeratibu shughuli za mwenge kila mwaka aseme mapato na matumizi ya miaka 10 iliyopita.Pesa zinazobaki huenda wapi??????
 
Kwamba unataka kutuaminisha nchi ambazo hazikimbizi mwenge haziko huru?
Kila mtu ana namna zake sio rahisi hivi unajua hata gharama za memorial day, dooms day, independence day nchi za wenzetu.

Siku ndege ya vita ikitua marekani inayorudisha wanajeshi waliokuwa vitani jamaa wakisema tufanye propaganda wanaweza tumia karibu million kwa 5 siku kwa sababu ya welcome home propaganda tu; sasa kama wewe unaona hiyo anasa utaki kujua wanatumia kiasi kwenye memorial day kila mwaka nationally.

Nyie mwenge tu tayari hoo auna faida hivi ungeweza kuishi mahala popote Tanzania kwa amani au bila ya kubaguliwa au amani uliyoikuta unadhani ilikuwa rahisi kwa watunga propaganda kuitengeza watu awakuwa wajinga kutaka kuufanya mwenge kama symbol ya umoja?

Tatizo lenu amna heshima na watu waliowajengea mazingira mliyoyakuta haya mambo sio rahisi na yanahitaji akili god bless JKN sio wapuuzi tuliokuwa nao leo.
 
Kuna wengine hapa na hasa wengi wao hawakuwepo wakati wwe na nyerere mnaanzisha mwenge. Kwa kuwa wewe unajua, toa hapa sababu hizo ili wtu wakuelewe na wasimamie kutetea ukimbizwaji wa huo mwenge. Kama hujui, nyamaza. hakuna nyongeza.
Mkuu wangu huwa tunajitahidi tu kuweka akiba za maneno, mwenge ni ushirikina tu nothing else, lazimanujiulize mtu anajazajwe ujinga hadi anaenda kujilipuwa au watu waliopigana vita ya majimaji walikuwa na akili gani.

Ukitaka kuniamini subiri uchaguzi uje wananchi wana hasira halafu ccm waje na zile santuri za mshirikina wao Marehemu komba uone wakimbiza mwenge wanavyopagawa akili.

Natowa ushauri kwa wote tuanze kuwafundisha watoto kuanzia majumbani kwamba mwenge ni maagano ya kishetani ni marufuku kwa mtoto hata kuuangali mwenge hivi live, watawala wengi wa zamani walitumia giza kuwatawala watu muda mrefu.
 
Hapana kazi yake ni kukuamsha wewe mtanzania kwamba sisi sio koloni la mtu ni nchi huru na tunayojitegemea na kila raia anajukumu la kulinda uhuru wa Tanzania hizo ndio sababu za mwenge; na kila mwaka unapita kwa sababu ya kukumbushana sasa ukiona mtu anaupinga hajui Tanzania imejengwa vipi au huo umoja umejengwa vipi.

mambo ya uhuru is irrelevant sasaivi...serikali ifanye kazi na wananchi wafanye kazi kujikwamua kiuchumi

Mwenge ni spending tu haina banefit yoyote...Na ni mikusanyiko inayochangia sana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI

Ndio maana hata President alifutilia mbali sherehe za Uhuru
 
Kila mtu ana namna zake sio rahisi hivi unajua hata gharama za memorial day, dooms day, independence day nchi za wenzetu.

Siku ndege ya vita ikitua marekani inayorudisha wanajeshi waliokuwa vitani jamaa wakisema tufanye propaganda wanaweza tumia karibu million 5 siku tu kwa sababu ya welcome home propaganda; sasa kama wewe unaona hiyo anasa utaki kujua wanatumia kiasi kwenye memorial day kila mwaka nationally.

Nyie mwenge tu tayari hoo auna faida hivi ungeweza kuishi mahala popote Tanzania kwa amani au bila ya kubaguliwa popote au amani uliyoikuta au unadhani watu walikuwa wajinga kutaka kuufanya mwenge kama symbol ya umoja?

Tatizo lenu amna heshima na watu waliowajengea mazingira mliyoyakuta haya mambo sio rahisi na yanahitaji akili god bless JKN.
Kauli za makada wa ccm wakiongozwa na Hamprey Polepole mitandani na runingani,

"Marekani wapumbavu sana, wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Lakini hawafahamu ukweli huu hapa:

Fact 1
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

Fact 2
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000) kwa mwaka. Hii ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15
Hakika Marekani wanatuonea wivu!

Fact 3
Bajeti ya Serikali ya Shirikisho la Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6 na kiasi hiki ni 21% tu ya GDP ya nchi!

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya kasimbioni chao!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Dr aniandikie Bruffen kabisa maana Diclofenac imebuma
 
Mkuu wangu huwa tunajitahidi tu kuweka akiba za maneno, mwenge ni ushirikina tu nothing else, lazimanujiulize mtu anajazajwe ujinga hadi anaenda kujilipuwa au watu waliopigana vita ya majimaji walikuwa na akili gani.

Ukitaka kuniamini subiri uchaguzi uje wananchi wana hasira halafu ccm waje na zile santuri za mshirikina wao Marehemu komba uone wakimbiza mwenge wanavyopagawa akili.

Natowa ushauri kwa wote tuanze kuwafundisha watoto kuanzia majumbani kwamba mwenge ni maagano ya kishetani ni marufuku kwa mtoto hata kuuangali mwenge hivi live, watawala wengi wa zamani walitumia giza kuwatawala watu muda mrefu.


Mkuu, ahsante sana. Nilitaka aliyekuwa anadai kwamba kina Nyerere walikuwa na akili sana kuanzisha mwenge na kwamba wanaochallenge wachunguzwe uraia na uzalendo wao, atuambie hapa mchana kweupe kwamba huo mwenge ni wa lazima kwa namna gani hata usiwe na mbadala kwa gharama yoyote?

Nadhani atajibu.
 
Akiutumbua, Mimi nitakuwa wa kwanza kwenda geti la IKULU kunya mavi. Na nitawekwa ndani kwasababu ya Mwenge wa Uhuru.
 
Mkuu, ahsante sana. Nilitaka aliyekuwa anadai kwamba kina Nyerere walikuwa na akili sana kuanzisha mwenge na kwamba wanaochallenge wachunguzwe uraia na uzalendo wao, atuambie hapa mchana kweupe kwamba huo mwenge ni wa lazima kwa namna gani hata usiwe na mbadala kwa gharama yoyote?

Nadhani atajibu.
Huyo atapambana mpaka tone la mwisho la damu, nina swahiba wangu sherehe hizi muungano alikuwa anasubili tu kuchukuwa tender ya printing tshirt na vipeperushi lakini ndio hivyo imebuma, kwa wanufaika wa haya matumizi ya hovyo yupo tayari hapa JF abishane na members wote akijivika koti la uzalendo wakati hana hata chembe ya huo uzalendo ni roho ya ubinafsi na choyo ndio inamsumbuwa.
 
Labda atasema uwe unakimbizwa kila baada ya miaka 3....! Kuokoa fedha nyingi za kukimbiza kila mwaka!
 
Kauli za makada wa ccm wakiongozwa na Hamprey Polepole mitandani na runingani,

"Marekani wapumbavu sana, wanatuonea wivu kwa kuwa Symbion haitapata ulaji wa umeme"!

Lakini hawafahamu ukweli huu hapa:

Fact 1
Bajeti ya Tanzania (ambayo haijawahi kutekelezwa kwa hata 75%) ni shilingi TRLIONI 22 kwa mwaka!

Fact 2
Bajeti ya jimbo la California pekee ni Dola Bilioni 122.6 kwa mwaka, sawa na shilingi TRILIONI 245.2 (exchange rate ya $1 kwa TZS 2,000) kwa mwaka. Hii ni sawa na Bajeti ya Tanzania kwa miaka 11.15
Hakika Marekani wanatuonea wivu!

Fact 3
Bajeti ya Serikali ya Shirikisho la Marekani (US Federal Budget) kwa mwaka 2015 ni Dola Trilioni 3.8 ambazo ni sawa na shilingi TRILIONI 7,600. Hiki kiasi ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa MIAKA 345 NA MIEZI 6 na kiasi hiki ni 21% tu ya GDP ya nchi!

Kichwa kinaniuma sana sijui kwa nini hawa wamarekani wanatuonea wivu kwa ajili ya kasimbioni chao!

Kichwa kinaniuma sana, nimemwomba Dr aniandikie Bruffen kabisa maana Diclofenac imebuma
Lord have mercy sasa nationalism building kwa sababu ya kukuza uzalendo wako kwa taifa lako ina uhusiano gani na uzembe unaofanya na mtu mwingine serikarini.

What America earns its their business; lakini ikifika hatua wewe unaweza kuacha national interest zako kwa sababu ya ushabiki wa nje we have a problem na aisaidii kabisa. When it comes to america interest trust me money is not an isse these are the people that went into civil war kisa kuna watu walitaka kutoka nje ya states au jaribu kujifanya unataka kuichukua Porto Rico halafu uone.

Sasa hadi kuwapa watu hizo fikra na kuwa na public support sio rahisi kabisa ndio maana uwezi kuona athari zinazochangia kwa kuvunjwa zile zana muhimu za propaganda za taifa lako; ata sijui naanzia wapi because you seem not to get the concept at all.

Ndugu if anything hawa jamaa they should be worried a lot more because of the numbers ya watu kama wewe, the trend of losing more people with patriotic concepts kushinda those who are being worn over; that is a reason enough to invest more on nationalism thought kuliko wakati wowote tuko pabaya.

Kwa wenye kuweza kudadavua kilichojiri kwenye chaguzi na kauli ya jana za seif wanaweza kuona negative impact.

Me out for now.
 
Upumzike hata mwaka mmoja billions zake zitumike kufanya kitu. Na pia watumishi wa halimashauri wapumzike kukatwa michango....!
 
Labda atasema uwe unakimbizwa kila baada ya miaka 3....! Kuokoa fedha nyingi za kukimbiza kila mwaka!


Ukimbizwe mara moja baada ya miaka kadhaa ajii ya nini? Nini umuhimu wa huo mwenge kukimbizwa? Ni sawa na dawa za kuua mazalia ya mbu kwamba labda lazima kila mwaka inyunyiziwe ili kuokoa maisha ya watu na matumizi makbuwa ya fedha katika tiba? Naomba tusaidiane tu juu ya umuhimu wa huu mwenge.
 
Baada ya Rais John P. Magufuli kubadili na kuokoa fedha kwenye sherehe za Uhuru na Muungano,sasa Mwenge wa Uhuru uko njiani kutumbuliwa. Taarifa za kishushushu zinaonesha kuwa tayari Rais Magufuli ameitisha faili la Mwenge huo na kupata maelezo ya kutosha na kutisha kuhusu Mwenge huo.

Taarifa zinaonesha kuwa Rais Magufuli ameguswa na kutikiswa na matumizi makubwa yanayofanyika wakati wa mbio za Mwenge nchi nzima. Rais anapanga kutumbua Mwenge huo ambao sasa ni kero badala ya kuwa hero hapa nchini.

Wangapi wanaafiki bila unafiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
ataongeza ushujaa akifanya ivo
 
hakuna kitu kinachonikera na kuniudhi km mwenge ukiondoka huo bas tz itakuwa haikamatiki kiuchumi mwenge ni uchawi mkubwa wa maendeleo unakimbiza mwenge kwa gharama ya 50bil kuzindua mradi wa 50mil
 
Kila mtu ana namna zake sio rahisi hivi unajua hata gharama za memorial day, dooms day, independence day nchi za wenzetu.

Siku ndege ya vita ikitua marekani inayorudisha wanajeshi waliokuwa vitani jamaa wakisema tufanye propaganda wanaweza tumia karibu million kwa 5 siku kwa sababu ya welcome home propaganda tu; sasa kama wewe unaona hiyo anasa utaki kujua wanatumia kiasi kwenye memorial day kila mwaka nationally.

Nyie mwenge tu tayari hoo auna faida hivi ungeweza kuishi mahala popote Tanzania kwa amani au bila ya kubaguliwa au amani uliyoikuta unadhani ilikuwa rahisi kwa watunga propaganda kuitengeza watu awakuwa wajinga kutaka kuufanya mwenge kama symbol ya umoja?

Tatizo lenu amna heshima na watu waliowajengea mazingira mliyoyakuta haya mambo sio rahisi na yanahitaji akili god bless JKN sio wapuuzi tuliokuwa nao leo.
Hili ni tatizo kubwa la ninyi wazee wetu wa miaka hii,kweli sisi wa leo ni wapuuzi kama unavyosema ,ila nitakushangaa kutuita wapuuzi wakati ukweli wenyewe wa jambo hamjatuambia ,hivyo kila mtu anatumia hisia zake kuelezea anachokijua ,kama unaujua ukweli na pengine ni siri isiyotakiwa kuwekwa wazi ,ungeheshimu michango ya hawa unaowaita wapuuzi au ungeweka wazi ukweli wenyewe
 
Huuu mwenge ni alama ya ushirikina unapaswa utupwa kati kati ya bahari for ever tena utupwe ukiwa unawaka
IMEANDIKWA......."Ole wao wakimbizao mioto na mwenge maana watapata laana vizazi hadi zizazi" .............
Mh.Rais usipate taabu ni nani aliyetuloga.......
 
Back
Top Bottom