Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Yeye amesema chama Cha mapinduzi (CCM) yeye Kama mwenyekiti hawawezi kumpitisha aliyempita umri, rejea hata mh. Mstaafu JK alisema hivyo. kwahiyo hapo Katiba haihusiki, usi-genaralize. Bali ni ndani ya chama na utaratibu wao.
 
Kwa kuwa hakuna mwenye sifa ya kupeperusha bendera ya chama 2025 nashauri mzee baba aendeleze tu kijiti maana ana sifa zote za kuwa kim un Jung!!
 
Lukuvi alimkodi Harmonize akampa milioni 60 aende akaimbe isimani wakati wapiga kura wake hata uhakika wa maji hawana.

Ikumbukwe Lukuvi ni mbunge wa isimani kwa miaka 20 mfululizo.
2005-2010 William Lukuvi alikosa Ubunge, hivyo katika muda huo akawa RC wa Dodoma na Dar es Salaam.

Tuweke sawa kumbukumbu zetu
 
...
Analiondolea baraza la mawaziri mashindano ya kufanya kazi kwa kuusaka urais 2025
Alichokifanya ni kitu KIZURI MNOOO.

Kwani mara nyingi hiki kipindi cha pili hususani miaka 3 ya mwisho. Mambo huwa hayaendeshwi tena kiweledi zaidi ya MIPANGO YA KISIASA kubaki SERIKALI "ijayo".

Hesabu za mh.JPM ni kali Sana. Hataki AHARIBIWE MIPANGO YAKE kwa kuwa watu wanataka kujenga "kesho" yao na ya "rais Mwingine"!
 
Kwa kauli hiyo, sasa vijana wa CCM wataanza kujikomba komba kwa mzee, kulamba viatu na kuchongeleana, majungu nk - yaani kila mmoja kwa style yake ili mradi tu kujaribu kumfurahisha mzee kuelekea 2025...
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Hajasema wanakatazwa na pia Katiba haichagui mgombea. Shortly ametoa clue ili kupunguza mihemko ndio maana akasema hata yeye hakupanga kuwa Rais.... kama una "akili" chukua hili neno ...."hivi vitu vinapangwa" ...
 
Asante JPM wewe ndie nabii na mteule kwa sasa usemalo linakuwa. Huo ukuu na mamlaka anao Muumba sasa huu uungu mtu sijui!!!
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Tayari atakuwa na mtu wake anayemuandaa. Otherwise hakuna sababu ya kuwazuia au kuwanyima haki yao ya kugombea kama wana uwezo.

Biden sasa anapiga 78 na amechaguliwa kwa kishindo ..... why not Kabudi or Lukuvi?
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Sasa mkuu asingeyasema hayo ungejuaje ya moyoni mwake?

Labda kama kama ulitaka kumshauri a-change mtazamo.
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Well, it is not the first time ndugu huyu kuisigina Katiba hadharani.

Labda hiki anachokisema kinaihusu CCM zaidi na ndio mpango wao. Vyama vingine bado vinaweza kwenda na watu kama Cheyo, Mrema, Lipumba, Maalim Seif etc
 
Hajasema wanakatazwa na pia Katiba haichagui mgombea. Shortly ametoa clue ili kupunguza mihemko ndio maana akasema hata yeye hakupanga kuwa Rais.... kama una "akili" chukua hili neno ...."hivi vitu vinapangwa" ...
Kasema aliyemzidi umri asijidanganye kupoteza pesa zake, hakuna kitu kama hicho hata ndani ya katiba ya CCM
 
JPM kajisemea ukweli. Huwezi kutokea huko unakotoka UKAPEWA tu Urais kindezi. Kuna kitengo kimekaa mahali fulani kinapanga na kuamua nani apewe Nchi

Kwa kifupi tu ni kwamba Rais huwa ameshateuliwa by the time mnaenda kupiga kura vituoni. Hili halijaanza mwaka 1985 wala 2020.
 
Sasa mkuu asingeyasema hayo ungejuaje ya moyoni mwake?

Labda kama kama ulitaka kumshauri a-change mtazamo.
Imagine mtu kama Lukuvi kama alikuwa na ndoto ya kugombea sasa mwenyekiti wako wa chama na Amiri jeshi mkuu ameshasema hautoshi unadhani anajisikiaje, yeye anatakiwa amalize muda wake aache demokrasia ndani ya Chama ifanye maamuzi apatikane mtu wa kugombea siyo yeye kutoa maamuzi
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Hayo ni mambo ya CCM mzee
 
Back
Top Bottom