Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Kipengele gani cha katiba kinaelekeza hivyo? Ndio maana mimi namuelewa sana Tundu Lissu linapokuja suala la utawala wa sheria. Kwa maneno hayo ya Mh. JPM ina maana hicho tayari ni kigezo wakati wa kupitisha mgombea, kitu ambacho ni kinyume na katiba.
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Naona maamuzi ya mtu mmoja yameanza kufanya kazi
 
Kuweni waelewa. Mheshimiwa raisi amesema “mtu wa umri wake asijidanganye kugombea uraisi “.
Hakusema “hairuhusiwi”.
Maana ya kutokujidanganya maana yake hataruhusiwa kugombea, maana kugombea lazima mgombea adhaminiwe na chama cha siasa na mwenyekiti amesema mtu wa umri huo asijidanganye, akigombea atateuliwa na nani? Na wewe uwe mwelewa
 
Kipengele gani cha katiba kinaelekeza hivyo ? Ndio maana mimi namuelewa sana Tundu Lissu linapokuja suala la utawala wa sheria . Kwa maneno hayo ya Mh. JPM ina maana hicho tayari ni kigezo wakati wa kupitisha mgombea, kitu ambacho ni kinyume na katiba.
Katiba siyo kipaumbele tena
 
Kwa jinsi watu wanavyo changia naona asilimia chache saana wamemwelewa Rais, ngoja niendelee kufuatilia,

"Haya mambo yanapangwa" [emoji118]
 
Maana ya kutokujidanganya maana yake hataruhusiwa kugombea, maana kugombea lazima mgombea adhaminiwe na chama cha siasa, na mwenyekiti amesema mtu wa umri huo asijidanganye, akigombea atateuliwa na nani? Na wewe uwe mwelewa
Tusubiri abadilishe katiba kuhusiana na hilo swala la umri. Tusiseme mengi sana.
Pia tuombe uzima kufika2015, tuuone umri wa mgonbea uraisi wa CCM.
 
Kitendo cha Mh Rais kutamka hadharani kuwa mtu yeyote aliyemzidi umri asijidanganye kuomba nafasi hiyo ni kwenda kinyume kabisa na katiba ya Nchi.

Hakuna sehemu katika katiba ya Nchi yetu inayomkataza mtu yeyote kugombea nafasi ya Urais kwa kigezo cha umri mkubwa.

Washauri wa Rais jaribuni kumshauri Bwana Mkubwa kuna kauli akizisema ninaleta mtafaruku mkubwa sana katika jamii.
Isitoshe anayetakiwa kuchagua Rais ni wananchi na sio mtu mmoja
 
Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli amesema uchaguzi mkuu wa 2025 utatoa fursa kwa vijana kwa sababu zaidi ya 65% ya wapiga kura ni vijana

Rais Magufuli ametoa mfano wa mh Lukuvi kwamba hawezi kuwa Rais wa JMT 2025 kwa sababu atakuwa na miaka zaidi ya 70.


Maendeleo hayana vyama!

=======

RAIS MAGUFULI: Hakuna mtu alitegemea Mwinyi atakuwa Rais wa Zanzibar lakini pia Mwinyi katika kipindi chake chote hakuutafuta Urais, vitu hivi vinapangwa. Hakuna mtu alijua profesa Ibrahim atakuwa Jaji mkuu wa Tanzania hata mimi sikujua kama nitakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Kwa sababu katika miaka yote ishirini nikiwa waziri na nikiwa mbunge sikuwahi kuomba hata ujumbe wa NEC.

Sikuwahi, wajumbe wa NEC walikuwa wakina Lukuvi, tangu aingie mle ni mjumbe wa NEC lakini Urais hakuupata na sina uhakika kama ataupata Urais. Wewe sasa hivi ana miaka sitini na kitu, tukapendekeze kwenye central committee tukachague Rais anaenizidi umri mimi, ndio ukweli.

Maneno mengine yanaumiza lakini nataka niwaeleze muwe mnajitayarisha kisaikolojia kusudi msipoteze hata hela zenu, hata wewe profesa Kabudi huwezi ukawa Rais, najua haya mambo ni magumu lakini huo ndio ukweli.

Mzee Kikwete wakati anaondoka, alisema hataona Rais ambae anamzidi umri wake, sasa muangalie mimi nina umri gani nitakapokuwa namaliza, ujipimie kuanzia kwenye umri pale. Yaani Malecela tumpendekeze awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, haiwezekani! Ameshakuwa mstaafu, tunamheshimu, tunampenda.

Najua mmenyamaza kwa hiyo inawezekana umekaa na jirani yako ambae ndie atakuwa Rais ambae labda ni kijana zaidi kwa sababu 65% ya watanzania ni vijana na hivi ndivyo vilivyomsaidia Mwinyi kushinda kule, wapiga kura ni vijana wether you like or not huo ndio ukweli, sasa huwezi ukawapelekea wapiga kura mtu ambae sio saizi yao.

Maneno yanauma lakini si mmeniomba niseme hapa, mimi nilikuwa nimekaa kimya tu leo nisiseme, nilikuwa nachomekea tu.
Hahaha,fumbo mfumbie mjinga mwerevu atalitegua..

Mwinyi alitayarishwa zamani sana kuwa atakuwa Raisi wa Zanzibar..

Mwinyi hamalizikii hapo,atafata nyayo za Baba Ake,ni yeye ndie atakae kuwa Raisi wa Jamuhiri ya Tanzania akiondoka Magufuli

Kama Magufuli ataondoka

Tuweka hakiba ya maneno
 
Isitoshe anayetakiwa kuchagua Rais ni wananchi na sio mtu mmoja
Kama wananchi walichagua tarehe 28/10/2020 halafu Tume ikateua bila kujali chaguo la wananchi wakafuata maagizo vilevile maagizo yatatolewa kwa wajumbe
 
Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli amesema uchaguzi mkuu wa 2025 utatoa fursa kwa vijana kwa sababu zaidi ya 65% ya wapiga kura ni vijana

Rais Magufuli ametoa mfano wa mh Lukuvi kwamba hawezi kuwa Rais wa JMT 2025 kwa sababu atakuwa na miaka zaidi ya 70.


Maendeleo hayana vyama!

=======

RAIS MAGUFULI: Hakuna mtu alitegemea Mwinyi atakuwa Rais wa Zanzibar lakini pia Mwinyi katika kipindi chake chote hakuutafuta Urais, vitu hivi vinapangwa. Hakuna mtu alijua profesa Ibrahim atakuwa Jaji mkuu wa Tanzania hata mimi sikujua kama nitakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Kwa sababu katika miaka yote ishirini nikiwa waziri na nikiwa mbunge sikuwahi kuomba hata ujumbe wa NEC.

Sikuwahi, wajumbe wa NEC walikuwa wakina Lukuvi, tangu aingie mle ni mjumbe wa NEC lakini Urais hakuupata na sina uhakika kama ataupata Urais. Wewe sasa hivi ana miaka sitini na kitu, tukapendekeze kwenye central committee tukachague Rais anaenizidi umri mimi, ndio ukweli.

Maneno mengine yanaumiza lakini nataka niwaeleze muwe mnajitayarisha kisaikolojia kusudi msipoteze hata hela zenu, hata wewe profesa Kabudi huwezi ukawa Rais, najua haya mambo ni magumu lakini huo ndio ukweli.

Mzee Kikwete wakati anaondoka, alisema hataona Rais ambae anamzidi umri wake, sasa muangalie mimi nina umri gani nitakapokuwa namaliza, ujipimie kuanzia kwenye umri pale. Yaani Malecela tumpendekeze awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, haiwezekani! Ameshakuwa mstaafu, tunamheshimu, tunampenda.

Najua mmenyamaza kwa hiyo inawezekana umekaa na jirani yako ambae ndie atakuwa Rais ambae labda ni kijana zaidi kwa sababu 65% ya watanzania ni vijana na hivi ndivyo vilivyomsaidia Mwinyi kushinda kule, wapiga kura ni vijana wether you like or not huo ndio ukweli, sasa huwezi ukawapelekea wapiga kura mtu ambae sio saizi yao.

Maneno yanauma lakini si mmeniomba niseme hapa, mimi nilikuwa nimekaa kimya tu leo nisiseme, nilikuwa nachomekea tu.
Haya ndio matatizo ya mdomo kuongea bila kuwasiliana na ubongo. Ndio maana wenzetu wa watu wanaitwa speech writer/editor et ela..
 
Hii siyo sawa, anataka kuminya haki za watu za kuchaguliwa.

Katiba haijasema Rais lazima awe na umri mdogo kuliko Magufuli!

Sisi Watanzania tunahitaji raisi anayetufaa, umri siyo ishu na hatupangiwi na Magufuli umri wa mtu anayetufaa kuwa raisi isipokuwa katiba ya nchi tu!
Raisi hakupangii lakini anasema Kwa kutumia chama chake , hajasema vyama vyote wasipeleke wagombea wenye umri zaidi ya 70. Kwa upande wake maana kila chama kina Sera zake.
 
Akina Lukuvi na watu waliomzidi umri wana haki ya kugombea uraisi.

Huyu Magufuli kwa kauli yake anataka kutwambia kuwa wananchi wakimchagua mtu wa chama chochote mwenye umri kymzidi yeye kuwa raisi atafanya kila mbinu ili asiwe rais kwa sababu anaamini raisi lazima awe mdogo kuliko yeye!.

Nchi haiongozwi kwa matakwa ya mtu, nchi inaongozwa kwa sheria

Hakuna sheria inayozuia mtu mwenye umri mkubwa kuliko Magufuli kuwa raisi

Haya ni mambo ya ajabu sana!
Kamati ya CCM ikimptisha mtu ndio mnakuja kuchagua mbona uko local Sana wewe . Kwa mwenyekiti ambae ni raisi ndani ya chama atatumia nafasi yke kbl y kultw km mgombea wa chama cha mapinduzi
 
Lukuvi alimkodi Harmonize akampa milioni 60 aende akaimbe Isimani wakati wapiga kura wake hata uhakika wa maji hawana.

Ikumbukwe Lukuvi ni mbunge wa Isimani kwa miaka 20 mfululizo.
Kumbe na wewe ulimuamini Msigwa..!! Maskini ya Mungu
 
Lukuvi alimkodi Harmonize akampa milioni 60 aende akaimbe Isimani wakati wapiga kura wake hata uhakika wa maji hawana.

Ikumbukwe Lukuvi ni mbunge wa Isimani kwa miaka 20 mfululizo.
Alikuwa Mkuu wa mkoa wa dar es salaam kipindi gani?
 
'Hivi vitu huwa vinapangwa…hakuna mtu alitegemea kuwa Mwinyi au mimi ningekuwa Rais…'

Nmekuwa nawakumbusha vijana humu kuwa CCM haijawahi kwenda Dodoma kuchagua mgombea Urais ikiwa haina jina la Mgombea

Kuna watu bado wanaamini JK hadi anaenda Dodoma kuchagua Mgombea Urais alikuwa hajui kuwa JPM ndie Mgombea
 
Back
Top Bottom