Teknolojia bila akili Ni ujinga mtupu😱😱😱😱😱😱 hari inatisha kwakweli hadi kwenye papai na mbuzi, it seems like we have advanced technology than any developed country
Mkuu weka akiba ya uongo hakuna mahaki kataja vitunguu.Nashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Covid19 haipimi damu, bali ute,au vimiminika.Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii National Covid-19 Referral Laboratory jijini Dar es Salaam - Tujiulize hofu ya wataalamu wa maabara Kuu kufanyia kazi sampuli za kushukiwa za COVID-19 ni kutokana na mazingingira hatarishi ya maabara kukosa vifaa kinga, vifaa kazi, vifaa batili / feki toka nje au ni uzembe wa wakuu wa Maabara ya Taifa. Tuliona madaktari na manesi wakikimbia washukiwa wa ugonjwa wa corona labda hata hawa Laboratory technicians wanahofia maisha yao kutokana na sekta ya afya kukosa vifaa vya kuwakinga na maambukizi kutokana na serikali kutowekeza ipasavyo ktk sekta hii ya afya
Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli Mimi niko mataifa haya mpaka na sijawahi kusikia hicho kitu. Au weka chanzo Cha kuaminika hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye Corona wanapima sampuli za damu?Duh noma hii
Watu wengi wanachangia hii Mada pasipo kuelewa Rais anamaanisha nini.
Rais Yeye analenga huwezo wa wataalum wetu , maabara zetu kupima huu Ugonjwa.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 sijui kama nimeshawahi kucheka JF kama leo, mkuu umetisha sanaView attachment 1438680Piga nyungu wewe ooohhh
hatuna jinsi acha tufurahi🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 sijui kama nimeshawahi kucheka JF kama leo, mkuu umetisha sana
Mnawaza posho tu, CHADEMA hawawazi posho wanawaza uhai wao na familia zao.Yupo sahihi,kwani wana ruhusa ya Spika? Atawalipa Mwenyekiti wao,kila kitu/sehemu kuna utaratibu na ni lazima ufuatwe.
macson
Na ndio maana kamteua Mwigulu nchemba, kuanzia Leo usitegemee kusikia wagonjwa wapya au waliofariki na covid-19Nashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
our president ni kipanga asee naona hii itawazindua mataifa mengine wajipangeTeknolojia bila akili Ni ujinga mtupu
Wao wametupa teknolojia ya kupiga corona Raisi ka challenge hiyo.teknolojia sababu ana akili