Mkuu huyu rais wetu hata sijui Kama anajua anachokifanya? Wewe hushangai anavyoimba watanzania tusitiwe hofu wakati huo huo amejifungia ndani as if yupo matenity leaveZilizonunuliwa na nani ?
Kama vifaa tiba ni feki siyo kosa la wagonjwa na wananchi ni kosa la serikali yake.
Kama wataalamu hawana uwezo wa kupima still kosa ni la serikali yake tu.
Alichokifanya jamaa ni sawa na kujisafisha mavi kwa kutumia kinyesi cha chooni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba mkulu aje Dar au Dom tupige kazi. Kuna viwanda vya kumwaga vya kuzinduaKuna baadhi ya watu mnapenda kusikia habari mbaya tu kuhusu corona.
Mkisikia corona imeua watu sabini kwa mpigo basi roho zenu kwatu!
Hakuna cha corona. Watu wafanye kazi na maisha yaendelee.
Ujuaji tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumwa wewe sio bure, uchumi ukifa watoto wako watalishwa na m..i yako auMwambie achague kuua uchumi ili aokoe watu. Izi porojo porojo zake kwa sasa hazina maana yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi naona aibu sana, Kenya wanatuona kama wafuasi wa Kinje.Ishu ni wewe kuogopa kuchekwa na wakenya?
Kama vipi hamia kenya basi.
Nimesikia Kama anataka kuagiza dawa Madagascar,je nyungu na maombi ya original thinker vimebuma?Raisi Ni original thinker sio sawa na chadema ambao huwa hawana Chao original husubiria Magufuli aongee ndipo wao wadakie!!!!
Ndiyo tatizo la nyie mnaochangia kwa ushabiki na siyo facts. Ukiwa unachangia kishabiki utakuwa unaunga mkono upende mmoja tu regardless unafanya upumbavu. Na ndiyo walivyo watu wengi hapa. Lakini mimi huwa nakosoa pale mtu anapokosea na kusifia pale mtu anapofanya vizuri. Hii suala la corona Magufuli anatuangamiza. Sasa hivi kuna vifo vingi mno. Wanaficha. Halafu kwa upumbavu wake bado anahamasisha watu waendeleze mukusanyiko kwa hoja za kijinga kabisa. Unataka nimsifie?
OkWatanzania tusirudie makosa tushajifunza hatuna kiongozi hapa
Napenda nikifanya argument kama kuna swali unajibu then tunaendelea ndio vizuri.Vipi umesetiwa kama robot? Nimekuuliza huu utafiti kaufanyia kwenye maabara gani?
Hata wanaozikwa ni mbwa na paka sio watu, nyie mbona wagumu kuelewa?Hayo maneno angeongea akiwa Magogoni au Dodoma.. Sasa yeye amekula kona huko kisha anaongea maneno ya ajabu huku anaona kabisa kuongezeka kwa mazishi ya usiku.. Sijui yanazikwa mipapai ile[emoji848]
Hivi kwanini wanazika usiku, mbona hajawakataza.Vipimo vya corona hawapimi damu, wanapima puani kamasi na mdomoni matemate karibu na koo
Ubaya ni kuwa hawawezi kujitetea, na aliyeyasema hayo alijua kuwa hawawezi kujitetea, very sad.Ila bado nayafakari sipati majibu mh kasema walipeleka sample za mapapai na kondoo mbuzi etc bila wao kujua wataamu wamahabara!hivi kweli qualified laboratory technician washindwe ku distinguishe kati ya sample ya fenesi na binadamu kweli !
!wanafanya nini hapo maabara mpaka sasa kama ni kweli maana watatua sasa hao ndo best lab wetu wanchi kumbuka tumewapeleka training na kuwakabidhi roho za watanzania 55m
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuona umeniuliza jambo dogo lakini bila kukufafanulia kwenye nchi iliyojaa ushabiki mbuzi namna hii nina uhakika hutaelewa. Kama madudu gani aliyofanya nikashangilia? Be specific!nmekuuliza swali umejibu essay ndefu kinoma [emoji23]
kuna kipindi ulkua unashangilia madudu yake ambayo sisi tuliona sio sawa na wewe uliona sawa
hata mimi sina chama hao wenzake ufipa nawaponda sana wanapokosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumuapisha Waziri hakiwa Chato siyo kufanya kazi!? Mkoje ninyi! Kwa nini mnatulazimisha kuwaita majina yasiyofaa!?Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.
Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!
Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.
Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
haya tumalize mkuuUnaweza kuona umeniuliza jambo dogo lakini bila kukufafanulia kwenye nchi iliyojaa ushabiki mbuzi namna hii nina uhakika hutaelewa. Kama madudu gani aliyofanya nikashangilia? Be specific!