Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Zilizonunuliwa na nani ?
Kama vifaa tiba ni feki siyo kosa la wagonjwa na wananchi ni kosa la serikali yake.

Kama wataalamu hawana uwezo wa kupima still kosa ni la serikali yake tu.

Alichokifanya jamaa ni sawa na kujisafisha mavi kwa kutumia kinyesi cha chooni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu rais wetu hata sijui Kama anajua anachokifanya? Wewe hushangai anavyoimba watanzania tusitiwe hofu wakati huo huo amejifungia ndani as if yupo matenity leave
 
Kuna baadhi ya watu mnapenda kusikia habari mbaya tu kuhusu corona.

Mkisikia corona imeua watu sabini kwa mpigo basi roho zenu kwatu!

Hakuna cha corona. Watu wafanye kazi na maisha yaendelee.

Ujuaji tu!



Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba mkulu aje Dar au Dom tupige kazi. Kuna viwanda vya kumwaga vya kuzindua


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli machine ya kupimia sample za binadamu unapeleka mapapai halafu unategemea matokeo sahihi?

tuna vichaa wengi mitaani.

characteristics katika sample za binadamu ambazo machine inazipima lazima zijulikane. Wewe ukipeleka takataka utapata majibu takataka.
 
Raisi Ni original thinker sio sawa na chadema ambao huwa hawana Chao original husubiria Magufuli aongee ndipo wao wadakie!!!!
Nimesikia Kama anataka kuagiza dawa Madagascar,je nyungu na maombi ya original thinker vimebuma?
 
nmekuuliza swali umejibu essay ndefu kinoma [emoji23]

kuna kipindi ulkua unashangilia madudu yake ambayo sisi tuliona sio sawa na wewe uliona sawa

hata mimi sina chama hao wenzake ufipa nawaponda sana wanapokosea
Ndiyo tatizo la nyie mnaochangia kwa ushabiki na siyo facts. Ukiwa unachangia kishabiki utakuwa unaunga mkono upende mmoja tu regardless unafanya upumbavu. Na ndiyo walivyo watu wengi hapa. Lakini mimi huwa nakosoa pale mtu anapokosea na kusifia pale mtu anapofanya vizuri. Hii suala la corona Magufuli anatuangamiza. Sasa hivi kuna vifo vingi mno. Wanaficha. Halafu kwa upumbavu wake bado anahamasisha watu waendeleze mukusanyiko kwa hoja za kijinga kabisa. Unataka nimsifie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh. Ameeleza vyema
Sas kama ulpmwa ukaambiwa uko positive then ukapelekwa labda amana walpo wagonjwa halisi ukambukzwa ukaanza kuumwa rasmi sasa
Hapo utajuaje sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi umesetiwa kama robot? Nimekuuliza huu utafiti kaufanyia kwenye maabara gani?
Napenda nikifanya argument kama kuna swali unajibu then tunaendelea ndio vizuri.

Kuniita nimesetiwa kama robot kisa tu sikubaliani na hoja zako sio vizuri, je wewe umesetiwa na robot pia?

Kafanya maabara ya taifa
 
Hivi kweli kuna mtu amekosa cha kufanya kabisa akaamua kufanya hayo mambo.
Yaani mtu anakimbizana na mbuzi, kondoo na sungura na kuwafanyia nasal swab.

Halafu anaona haitoshi, anafukuza ndege kware mpaka anamdaka, anampanua mdomo na kumwingizia kile kijiti chenye pamba kupata sample.

Mtu huyo huyo anakwenda sokoni ananunua mapapai na mafenesi na yenyewe anayafanyia nasal swab.

Samples zote hizi hazitoshi! Anachukua na oil ya gari.
Halafu huu uchafu wote unakusanywa na kupelekwa maabara ya taifa kwa vipimo.

Kama taifa tunasikitisha sana.
 
Ila bado nayafakari sipati majibu mh kasema walipeleka sample za mapapai na kondoo mbuzi etc bila wao kujua wataamu wamahabara!hivi kweli qualified laboratory technician washindwe ku distinguishe kati ya sample ya fenesi na binadamu kweli !

!wanafanya nini hapo maabara mpaka sasa kama ni kweli maana watatua sasa hao ndo best lab wetu wanchi kumbuka tumewapeleka training na kuwakabidhi roho za watanzania 55m

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubaya ni kuwa hawawezi kujitetea, na aliyeyasema hayo alijua kuwa hawawezi kujitetea, very sad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nmekuuliza swali umejibu essay ndefu kinoma [emoji23]

kuna kipindi ulkua unashangilia madudu yake ambayo sisi tuliona sio sawa na wewe uliona sawa

hata mimi sina chama hao wenzake ufipa nawaponda sana wanapokosea

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuona umeniuliza jambo dogo lakini bila kukufafanulia kwenye nchi iliyojaa ushabiki mbuzi namna hii nina uhakika hutaelewa. Kama madudu gani aliyofanya nikashangilia? Be specific!
 
Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.

Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!

Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.

Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
Kumuapisha Waziri hakiwa Chato siyo kufanya kazi!? Mkoje ninyi! Kwa nini mnatulazimisha kuwaita majina yasiyofaa!?
 
Back
Top Bottom