Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Taarifa ya uhakika kuhusu wagonjwa corona waliopo hivi sasa hasa baada ya kugundua kwamba idadi iliyotangazwa imehusisha matunda(mafenesi na mapapai) na wanyama kama Mbuzi.

Tunahitaji ufafanuzi zaidi kuhusu matunda(mapapai na mafenesi)haya yaliyotajwa pamoja na Mbuzi. Je kuanzia sasa wananchi hatukiwi kuyala matunda haya pamoja na nyama ya Mbuzi ni ikiwezekana kuyateketeza huku mitaani kwa kuepusha maambukizi zaidi?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama haujui wewe ndiye unayeonekana mjinga na kilaza mkubwa na hauna hoja wala point...
Mwenye hoja na point ni mzee wa kujifukiza siyo. Anasema watu waondoe hofu wakati yeye ana hofu ya kunguru!
 

Mkuu GUSSIE nashukuru kwa bandiko zuri. Naomba unitoe kidogo ujinga, hivi nini kinapelekwa kupimwa ili kubaini huyu MTU ameshambuliwa au hajaambuzwa Coronavirus? Naomba wataalam muliopo hapa JF mtutoe tongotongo.

Ahsante
 
Wewe jiulize kwanini watu wanazikwa usiku na wanakataza kupiga picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi kaona BBC inamsema sana kaamua kuilipua. Huyu mzee hataki udhaifu wake ujulikane. Hata alipokuwa waziri mara nyingi sana JK alikuwa anamgombezaga. Yani ndivyo alivyo na ukimsikiliza unaweza kufa na akakukana vilevile. Yani simuamini hata kidogo na akisema kitu nakipuuza muda huo huo bila kusubiri sekunde!
 
TULISHASEMA VIFAA VYOTE VILIVYOTOKA CHINA VINA MATATIZO HAMKUTUSIKIA....SASA NDIYO HAYO YANAYOTOKEA. TANGU LINI VIFAA VYA CHINA VINAFANYA KAZI VIZURI?
 
Kwani hizo sample zinazopelekwa ni nini damu au kitu gani?

Kama ni damu inamaana Mapapai na mafenesi nayo yana damu?

Nielewesheni jamani huyu Maliyamungu ameshanichanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipimo vya korona vimelalamikiwa sana sio na Magufuli tu wewe hauoni kama kuna shida na hivyo vipimo ? Haiwezekani uchukuliwe ute wa papai uonekane una korona
unamuamini sana jiwe
 
Instrument and human error ni kitu cha kawaida katika Sayansi.

Human error inaweza kusababishwa na mpimaji kutokuwa makini au msafirishaji au muandaaji wa sample au mazingira ya utunzaji sample kabla ya kupima.

Instrument error nayo ni kitu cha kawaida. Ndiyo maana hata zile torch za barabarani, mtu akipatikana na speed ya 55, hastahili kuadhibiwa kwa sababu torch ina maximum error 10%. Kwa hiyo inaposoma 50km/hr, inaweza kuwa 45 au 55km/hr. Askari wasioelewa huwa wanadai eti amekusamehe. Kitu ambacho siyo kweli. Vifaa vingi vya kisayansi huonenesha percentage error (plus or minus). Na baadhi ya vifaa hutakiwa kufanyiwa re-callibration kila baada ya idadi fulani ya readings.

Kama hupeleki samples nje ya nchi yako, na una mashine moja tu, utawezaje kuhakiki ubora wa readings zako? Kisayansi, unahitaji kuwa na mashine angalao kiwango cha chini 3, lakini ni vema zaidi kuwa nazo 5. Kila baada ya readings idadi fulani, samples teule zinatakiwa kupimwa na maabara zote 5 ili kuona kama zote zitaleta majibu yanayofanana. Zile/ile ambayo inatofautiana na nyingine, inafanyiwa re-callibration.

Alichokiongelea Rais, kwa vipimo vya kimaabara, siyo jambo la ajabu.

Ushauri - tuongeze vipimo. Na sasa hivi vipo vipimo vya kisasa ambavyo ni automated. Vinatoa majibu haraka zaidi na vinapunguza human error.

Lakini hata kama vipimo vikiongezwa, kama maabara hazina utaratibu wa kufanya uhakiki kila baada ya muda fulani, haitasaidia kitu. Lakini nijuavyo, huwa wanakuwa na control samples kwaajili ya kucheck accuracy ya vifaa kila baada ya idadi fulani ya readings. Na kama ukiwa na control samples, huna haja ya kutumia mashine nyingine kuhakiki ubora wa kipimo chako maana una uwezo kuhakikisha mwenye kwa kuitumia mashine yako hiyo moja.

Observation aliyoisema Rais ni njema, japo kauli ya kusema kuna watu wanatumiwa, siamini kama ilikuwa sahihi. Tuwafikirie kwa mema wataalam wetu mpaka pale wanapotudhirisha kuwa imani yetu kwao haikuwa sahihi. Na pia Rais ameharakisha mno kuyatamka aliyoyatamka. Alikuwa na uwezo wa kuelekeza queries zake kwa wahusika. Kama anataka, baadaye angekuwa kuwaambia wananchi matatizo yaliyokuwepo na suluhu iliyopatikana. Siyo kuja kulalamika kwa raia wakati hajapata majibu ya wataalam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asa tukusikilize wewe au?
 
Mtaalamu sio huyo amewahokoa leo
 
Huyu mtawala anachekesha hivi kama aligundua kuwa matokeo ya nasal and mouth swap yana
mashaka yeye kama kiongozi mkuu wa nchi alichukuwa hatua gani?
Ilikuwa yeye atuagizie test kits zilizo sahihi badala ya yeye kulalamika kana kwamba ni mpita njia.
Mbona huku nyuma alikuwa anaingilia kila idara na kutatua matatizo mara mmoja.
Au yeye kama mkemia PHD holder atengeneze test kit yake.Kwani wanaotengeneza kits hizo wanatokea sayari nyingine?
Tumechoka na drama.
 
Una uhakika gani alichosema jiwe ni kweli, huwezi sema 90% ni wajinga utuombe radhi. Huwezi sema wanajiandikia tu positive na negative labda vifaa ndivyo havina accuracy na precision inayotakiwa na hii inaweza sababishwa na mambo mengi. Kiufupi jiwe aaminiki kwa kiwango hicho. Watu wa maabara lazima wavalidate vifaa vyao against known standards. Kiufupi kuna kitu hakiko sawa toka kwa hotuba ya leo.
 
Sema umechoka ebho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…