UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ni vipimo vyetu tulivyonavyo.Mmmh, huyu mzee ana uhakika lakini? Mbona hatujasikia sehemu nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea professionally mkuu. Kudos.Mkuu hii maabara ni ya pili kuwa accredited baada ya ile ya hospitali ya rufaa Mbeya.
Binafsi siwezi kusema chochote Kwa sasa, nasikilizia tu. Kuna shida kwenye maabara na wataalam wetu na shida kubwa ipo kwenye bajeti ya uendeshaji wa hizi maabara na kutowajibika ipasavyo kwa baadhi ya wataalam katika utendaji kazi kwa kutozingatia standard operating procedures zinavyotaka.
Ila nahisi hapa imetumika lugha flani kuficha ukweli. Pengine hayo mapapai na mafenesi yanawakilisha kitu flani. Inaweza ikawa kweli sampuli za mtu mmoja zimepelekwa kwa majina tofauti na majibu yakawa positive na negative at the same time while it was from the same person. Ni mawazo yangu tuu.Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tunatafuta solution ,hatuna muda wa kupoteza.Sema umechoka ebho
Wanapima swab, siyo damu. Swab ni kama una unaingiza kitu kinachochukua majimaji kwenye sehemu ambayo unaamini kama mtu ana maambukizi ni lazima utakipata kisababishi.Mkuu GUSSIE nashukuru kwa bandiko zuri. Naomba unitoe kidogo ujinga, hivi nini kinapelekwa kupimwa ili kubaini huyu MTU ameshambuliwa au hajaambuzwa Coronavirus? Naomba wataalam muliopo hapa JF mtutoe tongotongo.
Ahsante
Siku nyingine jipange fikia guest house kama una muda mchache huko kama bajeti inaruhusu otherwise kwenye miji ya watu utateseka.Ila nyie watu wakatili wa nafsi aiseee...
Kuangalia tuu TBC inahitaji roho ngumu,
Sasa kumwangalia Huyo jamaa TBC inahitaji uwe bandidu na nusu.
Nilienda ugenini, wanaangalia TBC mda wote, Maisha yangu ile jioni yalikua magumu sanaaa, nje kuna mvua, chumbn hakwendeki maana unasubr mwongozo wa wenyeji, kuvaa earphones utaonekana wa ajabu, kuchezea simu mda wote nako hakuleti picha nzuri,
Bahat nzuri mtoto akawa anakuja kuniongelesha kila mambo yakiwa magumu, mtoto wa mzee ambaye ndie mwenyeji wangu ndie alikua anamtuma dogo aje maana alijua.
Yaani yule Mzee mwenye nyumb anashangilia kila kitu asee, half anakuongelesha u comment...
Nilijitahd kuonesha unafk wa hali ya juu ile siku huku unajichekesha la sivyo naharibu hata kilichonipeleka,
Mpk nikahisi ana ni challenge kuona how deep i can handle pressure.
Baadae Mwanaye akanipa pole maana alijua ninavyoteseka.
Ila asikwambie mtu unafk wa nafsi yako unachoma moyoo aisee, naondoka huku najishangaa, hv kweli n mm wa kumshangilia yule jamaa... Nilitamani nikatubu.
Na huwezi ukanishangaa,
Maana haya sasa wewe umesikiliza, ulichoambulia ndio hicho, umefurahia?
Wanapima swab, siyo damu. Swab ni kama una unaingiza kitu kinachochukua majimaji kwenye sehemu ambayo unaamini kama mtu ana maambukizi ni lazima utakipata kisababishi.
Naona kwa suala la corona, wanaingiza kitu puani kinaitwa viral nose swab au wanaweza kuingiza kooni kitu kinachoitwa throat swab. Mchukuaji sample anakuwa kama anapangusa ndani ya pua yako au kwenye kooo ili kuweza kupata sample ya kupeleka maabara.
Lakini kuna taratibu za kuchukua. Siyo unakutana tu na mtu barabarani unaamua kumchukua sample. Samples hizi zinatakiwa kuchukuliwa kwenye chumba chenye ubaridi na negative pressure, na sample inabidi itunzwe kwenye vifaa maalum. Kosa katika uchukuaji, usafirishaji, vinaweza kuchangia kutoa majibu yasiyo sahihi.
Sample hizo za mbuzi zilichukuliwaje? Zilisafirishwaje, zilitunzwahe? Na vipi kuhusiana na reagents zinazotumika, zinaweza kutumika kwa wanyama kama mbuzi au tunda kama papai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu hayo ni mambo ya kitaalamu wala hakupaswa kuwavizia kama ni kweli kafanya hivyo. Naamini wataalamu wa wizara wanafanya kazi yao na kama kweli aligundua hilo angewasiliana na waziri ili warekebishe kasoro. Yote haya anayafanya lakini tayari mgeni Korona tunaye na inawezekana akatufanyizia sana siku si nyingi (siombei). Anafikiri anafunika kombe mwanaharamu apite lakini kuna tatizo kubwa kwake.Hili la Mkuu wa nchi kupima Mbuzi na mapapai badala ya kupima watu, imetudhalilisha sisi Kama watanzania nimeona kule Kenya wameanza kutucheka na kutudhalilisha wakiandika kuwa kenya twapima binadamu Tanzania wao wapima mbuzi na mapapai, aiseee tumeanza kuchekwa Kama watoto wadogo, wakuuu hiii kitu imeshangaza Sana inamaana Mkuu wa nchi haaamini kuwa corona ipo?
Ninajiuliza kuwa tungekuwa na maaambukizi mengi Kama kenya Au Africa kusini Au zile nchi za ulaya ingekuaje? Ninasikitika Sana na kauli Kama hiii Ya mtu msomi kuhisi kuwa corona ni uongo huku anarudi kusema kuwa corona kweli ipo tuchukue hatua, sasa Mimi sielewi huku unasema kuwa corona kweli ipo huku unasema kuwa mabeberu wanatumika huku hao hao mabeberu unafaham kuwa ndio wenye idadi kubwa ya wagonjwa wa corona had majirani zako wako Juu kwa maaambukizi inamaaana wanakubeberu Halafu kwao wanaongeza Namba kwako wanakushusha?
Vipimo huviamini Wakati ndivyo vinavyopima kwao huko? Hivi ikitokea huyu akawa na maamabukizi Kama nchi zingne si ndio atatembea akiimba kuwa ameletewa corona? Haki ya MUNGU huyu Mkuu amedhalilisha nchi na kila Siku analete mambo ya hovyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana hata wanaokufa wanadanganya kumhujumu mheshimiwa rais
Kuna njia mbili So far za uchunguzi wa maambukizi haya ya Coronvirus Disease 2019 ( COVID-19) ... au ifanyike Chest CT scanMkuu GUSSIE nashukuru kwa bandiko zuri. Naomba unitoe kidogo ujinga, hivi nini kinapelekwa kupimwa ili kubaini huyu MTU ameshambuliwa au hajaambuzwa Coronavirus? Naomba wataalam muliopo hapa JF mtutoe tongotongo.
Ahsante
Hapana mkuu sio damuKwenye Corona wanapima sampuli za damu?
Good question. It's like testing for malaria in urine.Mimi ni mbumbumbu wa science kabisa,naomba kuuliza wana science,Je kipimo kilichoundwa kupima sampuli A kinaweza kutumika kupima sampuli X na tukaamini matokeo ya sampuli x?
dahKumbe maabara za Tanzania unaweza peleka mafenesi ukawadanganya ni sample ya damu wakakubali.