Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

inakuwaje mashine za kupima corona zinaonyesha +ve kwa vitu amabvyo havina DNA ya mwanadamu...kama ni kweli sasa tutaanzaje kuwa na imani na majibu kutoka kwenye hizo maabara...Mungu atusaidie
 
Tunaomba wataaalamu wa maabara watusaidie kwenye hili!!!inawezekana vipi?
 
Kama hili jambo tulilotangaziwa leo ni kweli sio cheap politics kuna maswali mengi sana ya kujibu. Ambayo mimi kwa hekima yalitakiwa yafanyiwe uchunguzi wa kisanyasi kwanza kabla yakutangazwa kwa umma maana madhara yake yanaweza kuwa mengi kuliko faida. Swala lolote la kitaalamu ni muhimu sana kutafuta majibu yakitaalamu kabla hayajatangazwa kwa umma.



inakuwaje mashine za kupima corona zinaonyesha +ve kwa vitu amabvyo havina DNA ya mwanadamu...kama ni kweli sasa tutaanzaje kuwa na imani na majibu kutoka kwenye hizo maabara...Mungu atusaidie
 
Watu wamaabara zetu wamenunuliwa na mabeberu ili wapotoshe Taifa sisi hatuna Covid19
Nawaza sana juu yakauli za baba saaingine nabaki tu sina majibu
1.Tengua uteuzi wa Waziri na Naibu wake
2.Tengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Maabara
3.Nunua Mashine mpya yakupimia japo hata ukinunua utanunua kwa mabeberu haohao
Kabla ya kuongea hebu tufikirie juu ya haya

4 Mm nashukuru kwa mambo matatu hivi ameongea Leo
1.Kusema Ligi anafikiria ianze
2.Marufuku kuzika usiku
3.Watu kuruhusiwa kusafirisha misiba yao
Haya na pongeza sana ila yale juu pale tujadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papai jamani
JPEG_20200503_194636_772803491838708917.jpg
 
Sijui watu wanapata faida gani juu ya huu upotoshaji,nyie watu bwana!

Alichokimaanisha rais ni kutaka kuonesha madhaifu ya hivi vipimo au wapimaji ,yaani haiwekani papai .mbuzi au kuku kuwa na corona

Na rais alifanya hivi ili kutaka kubaini ubora wa hivi vipimo vya korona ikiwezekana pia wapimaji


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hili jambo tulilotangaziwa leo ni kweli sio cheap politics kuna maswali mengi sana ya kujibu. Ambayo mimi kwa hekima yalitakiwa yafanyiwe uchunguzi wa kisanyasi kwanza kabla yakutangazwa kwa umma maana madhara yake yanaweza kuwa mengi kuliko faida. Swala lolote la kitaalamu ni muhimu sana kutafuta majibu yakitaalamu kabla hayajatangazwa kwa umma.

upo sawa kabisa kiongozi
 
Sijui watu wanapata faida gani juu ya huu upotoshaji,nyie watu bwana!

Alichokimaanisha rais ni kutaka kuonesha madhaifu ya hivi vipimo au wapimaji ,yaani haiwekani papai .mbuzi au kuku kuwa na corona

Na rais alifanya hivi ili kutaka kubaini ubora wa hivi vipimo vya korona ikiwezekana pia wapimaji


Sent using Jamii Forums mobile app

sasa wewe haujaelewa nini hapo....
 
Wanabodi,

Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona

Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake.
Je? Tatizo ni vipimo tulivyonavyo au Tatizo ni utalaamu wa watu wa maabara
Je?Ni nani alituuzia hivyo vifaa

Kwa hiyo nchi za Marekani,China na ulaya ni waongo kwa idadi za vifo wanavyotutangazia na yale mazishi ni maigizo

Je? Ni wakati wa kuacha kula mbuzi,mapapai na vyote vilivyoonyesha Positive

Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa na kushauri nchi zingine zijaribu kupima sample zingine za mimea na wanyama kwa kutumia vipimo vya corona.

Soma hapa > Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria - JamiiForums
Kipimo cha ukimwi ukapimie malaria unatazamia kikupe majibu gani?
Mambo mengine magufuli anajidhaliisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom