KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,797
unawajua watz kwa mizaha hawachokiSawa lakini ndio uache kula papai...naona wengine wanakata mipapai hiyo ni mizaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unawajua watz kwa mizaha hawachokiSawa lakini ndio uache kula papai...naona wengine wanakata mipapai hiyo ni mizaha
Kuna mtu mmoja wa idara nyeti aliniambia kuwa ipo siku nchi hii itakita sehemu mbaya na kuitoa hapo haitakuwa kazi rahisiNashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kiongozi wa nchi ambayo literacy level ya watu wake iko chini hawezi akatumia fasihi au nahau kuongea na taifa.Please usitake kuleta tafasri zako uchwaraBado tuna safari ndefu sana kuelewa mambo!
Alichokiongelea Rais ni tofauti sana na kilivyopokelewa na kueleweka kwa walio wengi... tusijitoe ufahamu, ni bora tukatafakari alilolisema kiongozi mkuu wa nchi linawezekanaje na kwanini?
Isije ukawa na wewe janjajanja unawaambia wenzio wakati uko kwenye handaki! Au ndio mambo ya TEAM ROHO MBAYA? Wenzio wafe baadae uanze kuwakashufuKuna baadhi ya watu mnapenda kusikia habari mbaya tu kuhusu corona.
Mkisikia corona imeua watu sabini kwa mpigo basi roho zenu kwatu!
Hakuna cha corona. Watu wafanye kazi na maisha yaendelee.
Ujuaji tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu upotoshaji haikubaliki
Hivi vifaa vimetengenezwa hapa hapa Tanzania? Au tumenunua? Kama tumenunua tunatest ubora wake tukiwa tumeshalipa pesa na vifaa vipo nchini? Je aliyependekeza vinunuliwe bado yupo kazi? Je hao wafanyakazi aka akina Kilango Malecela wanaomdanganya rais bado wapo kazini?Sijui watu wanapata faida gani juu ya huu upotoshaji,nyie watu bwana!
Alichokimaanisha rais ni kutaka kuonesha madhaifu ya hivi vipimo au wapimaji ,yaani haiwekani papai .mbuzi au kuku kuwa na corona
Na rais alifanya hivi ili kutaka kubaini ubora wa hivi vipimo vya korona ikiwezekana pia wapimaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tuna safari ndefu sana kuelewa mambo!
Alichokiongelea Rais ni tofauti sana na kilivyopokelewa na kueleweka kwa walio wengi... tusijitoe ufahamu, ni bora tukatafakari alilolisema kiongozi mkuu wa nchi linawezekanaje na kwanini?
Kuanzia leo sili tena mapapai.mbuzi, Vina Korona.Kaka mkuu kashasema
Sasa oil ya gari nayo ni positive nawaza sijui nipaki tu nimwage oil yote?? Wadau tupeane mbinu nimechanganyikiwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuhalisia ugonjwa wa COVID-19 upo na kuchukua tahadhari ni muhimu. Ila kitu kinachoshangaza ni kwamba hili tatizo linakuzwa zaidi kuliko uhalasia ambacho si kitu kizuri...Okay tumekuelewa kaka mtaalamu,kwa hiyo tusiogope Corona maana ni ugonjwa wa kawaida tu hata Mbuzi na Papai wanao..
Au tuamini kwamba wataalamu wa Maabara ya Taifa wanatumiwa na mabeberu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja aliniambia kuwa wanaplan yao wakiikamilisha basi nchi itapa neema saba. Huyo pia yuko idara nyeti.Kuna mtu mmoja wa idara nyeti aliniambia kuwa ipo siku nchi hii itakita sehemu mbaya na kuitoa hapo haitakuwa kazi rahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamaabara zetu wamenunuliwa na mabeberu ili wapotoshe Taifa sisi hatuna Covid19
Nawaza sana juu yakauli za baba saaingine nabaki tu sina majibu
1.Tengua uteuzi wa Waziri na Naibu wake
2.Tengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Maabara
3.Nunua Mashine mpya yakupimia japo hata ukinunua utanunua kwa mabeberu haohao
Kabla ya kuongea hebu tufikirie juu ya haya
4 Mm nashukuru kwa mambo matatu hivi ameongea Leo
1.Kusema Ligi anafikiria ianze
2.Marufuku kuzika usiku
3.Watu kuruhusiwa kusafirisha misiba yao
Haya na pongeza sana ila yale juu pale tujadili
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂 loh!Kama kweli maambukizi yamepatikana katika sample ya vitu hivi..please kaa mbali na vitu vifuatavyo:
MBUZI!
PAPAI!
FENESI!
Popote vilipo keep your distance..........
Inasikitisha sana kwa nguvu kazi kushinda mitandaoni kushabikia mambo ya ajabu, nawaona hata kule twitter yaani wanajadili upuuzi tupu. Sisi kama taifa ni vyema tukajitathimini kwa kweli..Mkuu unadhani watu waliozoea kusiliza nyimbo za mipasho na magazeti ya udaku kila saa wana uwezo wa kufuatilia mambo na kuanalyze? UMEBEA NA USHABIKI WA KISIASA NDIYO USIO NA TIJA NDIYO UMETAMALAKI HAPA TZ!
Anayekumiliki kashasema wewe piga makofi tu.Huu upotoshaji haikubaliki