Hivi tunaonekana majinga kivipi?
Anayetuona sisi wajinga huwenda
ndiyo pumbafu sana
Rais kaongea kwa lugha rahisi tu haihitaji wewe uwe na elimu yoyote ili
uweze kumuelewa rais alichoongea
Uwe tu na uwezo wa kusikia utamuele
Hao waandishi walioandika hizo habari kuna shida mahali ama ni propaganda ama ni lugha tatizo
Kauli ya rais ni simpo tu
Kwamba :Vipimo vya corona katika maabara kuu Tanzania ni feki
Sasa ujinga ni nini hapo
Vipimo vimenunuliwa kutoka nchi gani?
Na hizo habari mbaya mmezisikia kutoka nchi gani?
Propaganda:huwenda watengeneza vipimo wamebadili story na nyie wajinga wachache mmeshatekwa akili na kuwaona wao ndiyo wako sahihi
Kwani pia mmewahi kusikia India ikikataa vipimo vya corona kutoka China kuwa havina ufanisi? Ni feki kwa kifupi
Majuzi tu India walikataa vipimo vya China
Nchi zetu haziko makini kinachokuja huwa tunaona ni bora wakati wote bila kuchunguza Leo watu sameshtuka kuchunguza na imebainika
Manakuja hapa kutetea shudu
Sasa nendeni mkapimwe tuwaweke Quarantine
Sent using
Jamii Forums mobile app