Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanajeshi mstaafu!Jamaa ni soldier?
Mbona alistaafu mapema sana kabla ya 55+ yrs na kuanza kazi uandishi wa habari?Ni mwanajeshi mstaafu!
Jeshini ukikaa kwenye ukoplo kwa muda mrefu wanakustaafisha!Mbona alistaafu mapema sana kabla ya 55+ yrs na kuanza kazi uandishi wa habari?
Mwanajeshi mstaafu mpigania teuziNi mwanajeshi mstaafu!
Ndio anaenda Mtwara mjini!Mwanajeshi mstaafu mpigania teuzi
huyu nae atulie kamati imeshateuliwa kuchunguza sasa yeye anacoclude vipimo ndio tatizo anauakika...Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amewataka wananchi kutoitafsiri vibaya hotuba ya Rais Magufuli na kuacha kula mapapai.
Makonda amesema Rais Magufuli kama mkemia kitaaluma alihisi kuna tatizo kwenye matokeo yanayotangazwa hivyo akaamua kufanya utafiti wa ubora wa kipimo.
Sampuli zilizotumika ni kwa ajili ya kupima ubora wa kipimo na siyo virusi....
Sitaki kuamini kuwa hujui kuwa waandishi wa Tanzania wanapangiwa maswali ya kuuliza,,Hili jambo linapaswa kujibiwa Na wataalamu kiuhalisia.Huu Ni wakati wa waandishi Wa habari kuuliza maswali ya msingi kwa wataalamu Wa Afya.
Hapa kazi tuWanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake...
Wakati mtoto anasubili Baba afe ili arithi Mali baba nae anasubili mtoto afe ili apangishe chumba anachokaa anachokaa mwanae Hatari sanaWanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake...
Kuna viongozi nchi hii wanashindwa kuwajibika na gunia la misumari wanawaangushia wengine ili wao waonekane wemaHahahaaaa...... Wataalamu ndio hao bwashee!
Utajichosha bure kunifuatilia, nilikua hapa since then, sibishani na Wapuuzi
Huyo si ndio dokta majibu basi si aende huko maabara akatumbue maana kwa vyovyote tu kosa ni lao km mashine mbovu walishindwaje kujua afu pia kisayansi mashine zoOte kabla haijanunuliwa lazima ifanyiwe test sasa imekuaje hz ni propaganda tuWanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake...