Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dogo umeacha kujichua?Hizo sample za papai ,petroli zina damu? Sample wamechukuaje?
Tatizo mnadhani kila jambo huwekwa adharani hii Ni inji si banda la kuku wako wa kinyeji Apo uwani,nyie tulieni serikali inakazi kubwa sana inafanya basi tuuh amfahamu
[/QUOTE
ulicho kiandika sijui kama unakielewa
Hata waliokufa kwa COVID-19 wata mind sana.Tangu igundulike kuwa test kits za covid-19 ni feki
Wale walioambiwa wamepona wanajisikiaje?
Watuambie wasiogope, kwanza wao ndo wenye kinga na point 3 toka covid-19.
Waliokufa wamemaliza hawahitaji hata chanjo.Hata waliokufa kwa COVID-19 wata mind sana.
Wamesingiziwa kwamba wamekufa kwa COVID-19Waliokufa wamemaliza hawahitaji hata chanjo.
Mtu mwenye Akili timamu ambayo aivuji awez kuamini maneno ya mchungaji wa chato hata siku moja ukiachilia kuwa alipata PhD fake nakushauriwa na mtu aliyepata zero form Four bd mchungaji nimuongo sana na muhuni.
Hujisikii vibaya kuandika cc badala ya Sisi, tena Hadi kwenye heading?
Sent using Jamii Forums mobile app