Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Huyu ana matatizo ya akili, tumpumzishe
 
In fact wewe
in fact bila kupepesa wewe ndie mwongo unaepotosha umma kwa ambao hawajamsikiliza.
Ulichokiandika si alichozungumza, ni tafsiri yako kwa uelewa wako.
next time unapoandika tafadhali andika kama kilivyozungumzwa na si kutafsiri watu wajadili tafsiri yako, huu ndio ule unaoitwa upotoshaji
 
Itakuepo vifaa vya kupimia ni feki vitakuepo vimetokea china .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…