Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
😅😅😅😅😅 mbuzi,papai hadi mfagio una corona kudambegeresi,tutkiona cha moto mwaka huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TZ ni kiboko kmmmae! Yani hadi fenesi lina Corona?
sawasawa mkuu ila kiongozi wetu si nasikia mtaalam wa kemia basi hapana shaka atakuwa anafaham mbinu nyingi katika haya mambo ya kikemiaMkuu Rais alikua live akiongea huko kwao Chato. Nimeangalia Ayo TV
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kupimwa na kukutwa positive ,,wakati huoneshi dalili hizo ni character za waafrika wengi,wuhan wameripoti maambukizi 1000 kati yao 800 walikuwa hawaoneshi dalili Carrie's na ni waafrikaNdo maana yake. Sasa kuhusu vifo vinavyotokea kila siku sjui ana lipi la kusema
Huyu ana matatizo ya akili, tumpumzisheAmeyasema hayo leo wakati wa kumuapisha Waziri wa Sheria na katiba kuwa vyombo vya usalama vilipenyeza sampuli kutoka kwenye mananasi, mafenesi, mbuzi, kondoo, nk kwa siri na kuzifanya ni za binadamu. Jambo la kushangaza matokeo ya baadhi ya sampuli hizo au yalionyesha yana maambukizi ya corona.
"...tunawasiliana na Madagascar na wamehaidi kututumia dawa inayotibu covid 19...." JPM
Mambo ni mengi ngija niweke clip ya video!
Chanzo ITV....
in fact bila kupepesa wewe ndie mwongo unaepotosha umma kwa ambao hawajamsikiliza.Nashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetafakali sana mkuuDuuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sample lilichukuliwa kitaalamu.....labda kama maabara walizicontaminate, ila huoni kwa kucontaminate tunatengeneza takwimu fake na kuzua taharuki fake!Sample zinawezekana zilikuwa contaminated na mtu mwenye corona!halafu hata india chui alikutwa na corona so siyo jambo la kushangaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni noma huduma za afya tz hakuna kitu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TZ ni kiboko kmmmae! Yani hadi fenesi lina Corona?
Watu wengi wanachangia hii Mada pasipo kuelewa Rais anamaanisha nini.
Rais Yeye analenga huwezo wa wataalum wetu , maabara zetu kupima huu Ugonjwa.
Kumbe maabara za Tanzania unaweza peleka mafenesi ukawadanganya ni sample ya damu wakakubali.
Ameyasema hayo leo wakati wa kumuapisha Waziri wa Sheria na katiba kuwa vyombo vya usalama vilipenyeza sampuli kutoka kwenye mananasi, mafenesi, mbuzi, kondoo, nk kwa siri na kuzifanya ni za binadamu. Jambo la kushangaza matokeo ya baadhi ya sampuli hizo au yalionyesha yana maambukizi ya corona.
"...tunawasiliana na Madagascar na wamehaidi kututumia dawa inayotibu covid 19...." JPM
Mambo ni mengi ngija niweke clip ya video!
Chanzo ITV....